1.Elimu
2.UCHUMI
3.Ujasiriamali
4.Afya
5.Umaarufu duniani
6.Heshima ya nchi ulimwenguni
7.Uelewa
8.Sayansi
9.Teknolojia
10.Lugha ya KIINGEREZA,ambayo ni lugha kuu sasa ulimwenguni.
11.Kukuza mazingira
12.Tuzo la NOBEL, Waangari Maathai.
13.KATIBA BORA
14.DEMOKRASIA
15.Maendeleo ya ujumla.
16.Uzalishaji wa kilimo na viwanda
17.Viwanda
18.Ubunifu(inventions and innovation)
19.Bajeti kubwa ukanda huu wote.
20.Jeshi -vifaa vya kisasa kabisa na midege.
21.Mashirika makubwa
22.Shirika kubwa la ndege
23.Viongozi wanaoweza kuweka masilahi yao chini hili kuungana kuitetea nchi,
24.Kimo cha watu,watanzania wengi ni mbilikimo,kutokana na kukosa lishe bora au kutokuchanganya damu,labda mbilikimo wa kikongo.Wakenya wamechanganya damu kati ya makundi yote ya Kiafrika yaani CUSHITES,NILOTES na BANTUS.
25.Sekta ya huduma(services sector)
26.Watu maarufu kabisa ulimwenguni....BARRACK OBAMA,LUPITA NYONGO,WAANGARI MAATHAI,N.K
27.DIVERSITY-Yaani jamii za aina yote duniani ni raia wa Kenya, ALL RACES ,CUSHITES,NILOTES,BANTUS,WHITES,ASIAN INDIANS,N.K
28................