Kiukweli nawashangaa wakenya, hivi wametuzidi Watanzania kwa lipi?

Kiukweli nawashangaa wakenya, hivi wametuzidi Watanzania kwa lipi?

Let me guess... You're Jiwe Supporter ambao mnadhani uzalendo ni kuficha ficha mambo!!! Btw, ukichukua mfano wa corona, sasa kwanini watu wasikejeli kwamba Tanzania wanaficha wakati hata mtoto wa darasa la pili anafahamu hilo?!

Corona updates kwa Tz, ni hii hapa chini, ambayo tangu May 09, inaonekana hajaongezeka mgonjwa hata mmoja!
Serikali iliacha kutoa update kwa maana ambayo waliona inafaa kwa nchi pia kwa namna nyingine updates za Corona hazikusaidii lolote katika kuleta ugali mezani kuna magonjwa mengi yalikuwepo na yapo na yanaendelea kuwepo na yanaua sana zaid ya hata hyo Corona kaa ukijua Inshu ya corona ilkua overated sana ndo mana kwenye maandamano ya USA hujaona effects kubwa ya ugonjwa compared walivyokuwa street wakiandamana.

HAPA NDO TUNAKUJA KUJUA KUWA SISI TUNAPENDA KUFANYA YASIOTUHUSU NA KUACHA YA MAANA YANAYOTUHUSU pia tusihamishe magoli turud kwenye mana naomba wewe uwe sample ya watu mnajinyima uhuru wa kufanya kaz ukisubir filimbi ipulizwe
 
Kidhungu
Exposure
Afya ( hivi umewahi kusikia mkenya kaugua kaya tz kutibiwa!) Labda kwa mganga wa kienye

Elimu ( mnapeleka watoto Kenya)
Hata. Miundo mbinu

Viwanda

Uelewa wa mambo ( ukiomba kazi na mkenya mtanzania hapati)

Hata comedian wa Kenya na tz ni tofauti kabsa hebu muangalie pastor wanjiku,Erik omondi kisha mtizame mc pilipili,iddra nk)/

Pesa yao inadhaman kuzid yetu mfano Tsh 20+ ni sawa na Ksh 1/=

Angalia majiji yao kisha angalia yetu Nairobi vs DSM

Wao hawana magari ya mitumba wananunua brand new sisi tunadeal na used

Wao sio wavivu kama sisi

Wamawekeza Tanzania makampuni ( uniliver) mabenk ( Kenya commercial bank ) kcb sisi sijui kama tuna kampuni Kenya kama IPO nijuze

Wanabidhaa nyingi kwenye maduka yetu limbo,ndala una onazoendea maliwato,sabuni nk cjui ss tunauza nn Kenya labda mahindi na bia

Labda tumewazidi mamiziki ya kingese ya bongoflavour

Kuhusu masuala ya uchumi NINAKUELEWA NINAKUPATA NA KUKUUNGA MKONO KABISA,KIVIPI?

Historia ya wakoloni inaibeba KENYA KIELIMU NA KIUCHUMI.......

MKOLONI alijijengea miundombinu Bora nchini Kenya KWA kuwasomesha VYEMA WALUO...zaidi ya watu wa "mlima Kenya".......

WaLUO walipata SCHOLARSHIPS bwerere kwenda masomoni ng'ambo ili warudi wawe makarani na makatibu wa mfumo wa kikoloni.....

Kiingereza kikaenea.....uchumi wa mwingereza hasa KAHAWA na CHAI ukasimikwa vyema hapo +254.

WaLUO waliorudi toka uingereza wakawa madaktari wazuri Sana na kumbuka WaLUO wanavyoupenda USTAARABU WA MWINGEREZA.....huwa Mambo Yao ni mulemule.......

Huko NI nyuma....tumeshatoka....

La muhimu NI kumuona MAGUFULI anavunja barriers zilizotuacha nyuma ya Kenya KIUCHUMI na KIELIMU.....

Magufuli is a really zealout son of Tanzania,let him be prompt again so that we can ascend to the prosperity.....

God bless our president Magufuli aaameen aaaamen!!
 
Serikali iliacha kutoa update kwa maana ambayo waliona inafaa kwa nchi pia kwa namna nyingine updates za Corona hazikusaidii lolote katika kuleta ugali mezani kuna magonjwa mengi yalikuwepo na yapo na yanaendelea kuwepo na yanaua sana zaid ya hata hyo Corona kaa ukijua Inshu ya corona ilkua overated sana ndo mana kwenye maandamano ya USA hujaona effects kubwa ya ugonjwa compared walivyokuwa street wakiandamana HAPA NDO TUNAKUJA KUJUA KUWA SISI TUNAPENDA KUFANYA YASIOTUHUSU NA KUACHA YA MAANA YANAYOTUHUSU pia tusihamishe magoli turud kwenye mana naomba wewe uwe sample ya watu mnajinyima uhuru wa kufanya kaz ukisubir filimbi ipulizwe

Nondo ya UHAKIKA.
 
Uniliver sio ya Kenya itafute vizuri uijue ila kifupi makampuni mengi yamefungua office kuu Kenya kwa maana ya base ya East Africa ukiangalia kenya hakuna security sana compare na TANZANIA sababu (Sera za serikali) pili Jamaa walivyokuwa wanakuja kuwekeza waliokuwa wanawapokea walikuwa wanawaambia msiwalipe hao hzo pesa n nyingi mno hzo zileten wakibisha wanaanza kupigwa fitna.

PIA JIULIZE KAMPUNI KUBWA ZA CHAKULA AU MADAWA DUNIANI KWANINI WANAFUNGUA VIWANDA KWENYE NCHI ZENYE MIGOGORO nakupa mfano wa nchi (Kenya Angola Congo Zimbabwe)na kampuni (Nestle uniliver GSK Bic Henkel na zingine)alafu jiulize kwann kampun nyingi zinaofisi Mauritius
 
Let me guess... You're Jiwe Supporter ambao mnadhani uzalendo ni kuficha ficha mambo!!! Btw, ukichukua mfano wa corona, sasa kwanini watu wasikejeli kwamba Tanzania wanaficha wakati hata mtoto wa darasa la pili anafahamu hilo?!...
who told u so
 
Kuna mataikun kenya wao wanaiba pesa ya serikali alafu haiendi bank sijui uswis au Mauritania mara wanunua nyumba Dubai wao wakipata hela wanaenda kwenye kampun flan Europe huko au Asia au popote DUNIANI anawapa deal anawaambia Nina kianzio hiki jamaa wanaufyata ila tz mtu anaiba anajenga hekalu ananunua ndinga Kali na full kuhonga sasa hapo unategemea Nini
 
Pia nadhani serikali kupitia vijana waliopata dhamana nivema wakaintroduce bank ya kununua mawazo hii itasaidia kubust uchumi Mana TANZANIA inasifa zote kuanzia eneo rasilimali watu na mengine mengi shida n elimu na kitu exposure
 
Serikali iliacha kutoa update kwa maana ambayo waliona inafaa kwa nchi pia kwa namna nyingine updates za Corona hazikusaidii lolote katika kuleta ugali mezani kuna magonjwa mengi yalikuwepo na yapo na yanaendelea kuwepo na yanaua sana zaid ya hata hyo Corona kaa ukijua Inshu ya corona ilkua overated sana ndo mana kwenye maandamano ya USA hujaona effects kubwa ya ugonjwa compared walivyokuwa street wakiandamana HAPA NDO TUNAKUJA KUJUA KUWA SISI TUNAPENDA KUFANYA YASIOTUHUSU NA KUACHA YA MAANA YANAYOTUHUSU pia tusihamishe magoli turud kwenye mana naomba wewe uwe sample ya watu mnajinyima uhuru wa kufanya kaz ukisubir filimbi ipulizwe
Basi acheni kulia lia mkiona Wamarekani wanaendelea kutoa updates kwa watu wao kwa sababu bado wao wanaona umuhimu wa kufanya hivyo kuliko kuwadanganya wananchi wao kwamba mambo yapo shwari wakati sio!

Halafu seems wala hujui hata unachokiongea... typical Magufuli Supporter!! Hayo magonjwa mengine yanayoua kuliko hiyo corona uambukizaji wake ni sawa na corona?! Hata aibu huoni unapodai ugonjwa ulikuwa overrated! Hivi kuna rais aliyeonesha jeuri kwenye corona kama rais wa Brazil?! Kama ugonjwa upo overrated, unataka kusema watu zaidi ya 75,000 wanaotaja kufa Brazil ile idadi sio ya kweli?!

Hivi kuna rais mwenye akili timamu anayeweza kukubali kuorodhesha maelefu ya vifo wakati hivyo vifo havikutokea?! Wale Madagascar ambao mlifuata dawa kwao unataka kusema ni wapumbavu hivi majuzi walivyopiga lockdown baada ya kuthibitika kikombe chao kwamba ni usanii tu?!

Btw, hivi unafahamu what's going on duniani hadi unafikia kudai eti ndo maana hata maandamano ya US hayakuleta effect?!

Hivi una habari kuna baadhi ya States ndani ya US zimerudisha tena lockdown wakati zilikuwa eased?! Majuzi tu hapa hata Los Angeles walianza kuachia mambo pole pole, lakini hivi sasa wamekaza kwa mara nyingine!!

Texas na kwenyewe kuna hati hati ya kurudisha tena lockdowns, ikabidi Gavana atoe msisitizo wananchi watumie zaidi masks ili kuondoa uwezekano wa kurudisha lockdowns!
 
Fanya biashara na wakenya ndo utajua wametuzidia wapi, ama kaa kenya ata kwa wiki nzima especially naii ndo utajua kenya ikoje maswali yako yatapungua
 
Uniliver sio ya Kenya itafute vizuri uijue ila kifupi makampuni mengi yamefungua office kuu Kenya kwa maana ya base ya East Africa ukiangalia kenya hakuna security sana compare na TANZANIA sababu (Sera za serikali) pili Jamaa walivyokuwa wanakuja kuwekeza waliokuwa wanawapokea walikuwa wanawaambia msiwalipe hao hzo pesa n nyingi mno hzo zileten wakibisha wanaanzupa kupigwa fitna PIA JIULIZE KAMPUNI KUBWA ZA CHAKULA AU MADAWA DUNIANI KWANINI WANAFUNGUA VIWANDA KWENYE NCHI ZENYE MIGOGORO nakupa mfano wa nchi (Kenya Angola Congo Zimbabwe)na kampuni (Nestle uniliver GSK Bic Henkel na zingine)alafu jiulize kwann kampun nyingi zinaofisi Mauritius
Upper cut ya mwakinyo hiyo...
 
Wanategemea nje lakini sio kwa kuitegemea tz kiviiiile, wanaitegemea tz kwa malaghafi kiasi za viwandani
Pwani yote ya Kenya wanaitegemea Tanzania..Tanga kwa chakula........
1.Mahindi
2.Mchele
3.Maharagwe
4.Choroko
5.Nazi
6.Mihogo
7.Nyanya
8.Karoti
9.Pilipili Hoho
10.Viungo vya PILAU NA BIRIANI
11.Tangawizi kutoka Upareni Kilimanjaro
12.Pilipili mtama,Giligilani,karafuu etc....

Mahitaji hayo hupelekwa mpaka Kaskazini mashariki ya Kenya....
 
Uniliver sio ya Kenya itafute vizuri uijue ila kifupi makampuni mengi yamefungua office kuu Kenya kwa maana ya base ya East Africa ukiangalia kenya hakuna security sana compare na TANZANIA sababu (Sera za serikali) pili Jamaa walivyokuwa wanakuja kuwekeza waliokuwa wanawapokea walikuwa wanawaambia msiwalipe hao hzo pesa n nyingi mno hzo zileten wakibisha wanaanza kupigwa fitna PIA JIULIZE KAMPUNI KUBWA ZA CHAKULA AU MADAWA DUNIANI KWANINI WANAFUNGUA VIWANDA KWENYE NCHI ZENYE MIGOGORO nakupa mfano wa nchi (Kenya Angola Congo Zimbabwe)na kampuni (Nestle uniliver GSK Bic Henkel na zingine)alafu jiulize kwann kampun nyingi zinaofisi Mauritius
Kenya security ilianza kupungua baada ya Al Shabaab kuanza mashambulizi! Je, ni lini multinational companies zimeanza kuweka base yake Kenya?!

Hivi unatakiwa kurudi darasani kufahamu hata ofisi nyingi za UN zipo Nairobi compared to Tanzania?! Sasa kama hizo kampuni unadai zimewekeza nchi zenye migogoro, na hao UN walioweka ofisi nyingi Nairobi ni kwa sababu kuna migogoro?!

Unafahamu Unilever wameingia lini Kenya na Zimbabwe hadi udai wapo huko kwa sababu nchi hizo zina migogoro?! Hivi unatakiwa kukumbushwa kwamba Unilever ni kampuni ya Kiingereza, na KE na Zimbabwe Waingereza walifanya kama kwao?!

Seriously unahusisha Nestle na migogoro ya KE na ZW?! Hivi unafahamu Nestle waliingia lini kwenye hizo nchi?! Hivi unatakiwa kukumbushwa kwamba dairy industry ya KE na ZW ni kubwa sana compared to TZ?! Sasa kwa mazingira kama hayo bado unahusisha uwepo wa Nestle kwa hizo nchi na uwepo wa migogoro?!!
 
Kenya security ilianza kupungua baada ya Al Shabaab kuanza mashambulizi! Je, ni lini multinational companies zimeanza kuweka base yake Kenya?!

Hivi unatakiwa kurudi darasani kufahamu hata ofisi nyingi za UN zipo Nairobi compared to Tanzania?! Sasa kama hizo kampuni unadai zimewekeza nchi zenye migogoro, na hao UN walioweka ofisi nyingi Nairobi ni kwa sababu kuna migogoro?!

Unafahamu Unilever wameingia lini Kenya na Zimbabwe hadi udai wapo huko kwa sababu nchi hizo zina migogoro?! Hivi unatakiwa kukumbushwa kwamba Unilever ni kampuni ya Kiingereza, na KE na Zimbabwe Waingereza walifanya kama kwao?!

Seriously unahusisha Nestle na migogoro ya KE na ZW?! Hivi unafahamu Nestle waliingia lini kwenye hizo nchi?! Hivi unatakiwa kukumbushwa kwamba dairy industry ya KE na ZW ni kubwa sana compared to TZ?! Sasa kwa mazingira kama hayo bado unahusisha uwepo wa Nestle kwa hizo nchi na uwepo wa migogoro?!!
Nimezunguza kifupi ili ujipe maswali pia tukisema security ya NCHI tunaangalia majirani zake wapoje inamana vita ya Somalia imeanza juzi au Sudan kimeanza kunuka juzi Mugabe kawa Rais Zimbabwe kwa umri wa mtu mzima na ndio alieanza purukushani na wazungu Sasa kaangalie kuna factories ngap zilianzishwa tena kipindi Mugabe kawa mbongo Nenda Congo kule kuna Vita tokea miaka ya sabini kwann Nestle kaenda kufungua kiwanda huko tena kitu ambacho sio hotcake kwa NCHI husika Ynot TANZANIA ambapo kuna resources zote had bandari? NCHI Kama Mauritius kwann kampun nyingi zinaofisi pale? Tuje kwenye Inshu ya Kenya wale Jamaa wametuzidi ujanja kiasi na kauwizi kazuri kila hela anayopata anahakikisha inazaa ndomana ukiwa Nairobi haushangai kuona nyumba n bati kuanzia ukuta had kuezeka hata gari zao n vidogo vidogo tuu sio Kama huku sisi ukipata pesa unanunua gar tena cc 2500 alafu unaanza kupiga hesabu za kulima kwasimu UJANJA NI KUPATA PESA JICHANGANYE NA PESA YAKO IZAE BAADA YA KUONA BIASHARA IMESIMAMA JENGA NUNUA GARI Nenda kawaulizie kina Cris kirubi ujue watu wanajua kupiga PESA mie huyu mzee namkubali sana yan ndio mana wazee wa EPA wanakuja kuuza mchoro wanapiga PESA watu wanaanza majungu
 
Inshort Kenya Kuna waungaji waungaji wengi sana ndo hao wakijabongo wanajambisha watu wakiondoka mnabaki wakenya noma ndio n noma ila wanajiamin mno hata kama n darasa la saba pia n wez hatar mie n Shahid ya haya ninayokwambia
 
Back
Top Bottom