instanbul
JF-Expert Member
- Jun 26, 2016
- 12,037
- 17,212
Utajiri wanatuzidi wapWakenya wametuzidi kiuchumi
Wametuzidi kwa viwanda
Wametuzidi kwa exposure
Wametuzidi kwa kujitambua
Wametuzidi kwa Utajiri
Wametuzidi kwa ujasiri wa kwenda nchi za nje.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utajiri wanatuzidi wapWakenya wametuzidi kiuchumi
Wametuzidi kwa viwanda
Wametuzidi kwa exposure
Wametuzidi kwa kujitambua
Wametuzidi kwa Utajiri
Wametuzidi kwa ujasiri wa kwenda nchi za nje.
Wametuzidi UELEWA kwa mbaali sanaWanajiona wazungu wakati ni weusi tii kama mkaa.
Elimu, Exposure, English language, Biashara, UchumiHabari za wakati huu,
Leo nimeamua niulize tu labda itaondoa utata kidogo. Kumekua na tendency ya Wakenya kujiona wapo juu kwa kila kitu kuliko Tanzania.
Tuongee fact; Wakenya walichoizidi Tanzania ni kipi?
Labda wamekuzidi wewe, usinisemee tafadhali.Wametuzidi UELEWA kwa mbaali sana
Wow!! Hicho ndo pekee ulichoweza kusema, and still you have a gut to refer others with ng'ombe.. what a pity!!Duh! Ngombe za namna hii bado zipo? Anyway endelea kuamini unachoamini
Inahusu 'wakenya/watanzania' kwa ujumla wao. Hivyo tu wakenya wametuzidi kwa uelewa narudia UELEWA nawe ni shahidiLabda wamekuzidi wewe, usinisemee tafadhali.
Narudia tena; wamekuzidi wewe sio mimi, umesikia?Inahusu 'wakenya/watanzania' kwa ujumla wao. Hivyo tu wakenya wametuzidi kwa uelewa narudia UELEWA nawe ni shahidi
Wewe ni shahidi hata ukijitoa. Nimerudia kusema wameTUZIDI uelewa kwa mbali sanaNarudia tena; wamekuzidi wewe sio mimi, umesikia?
Povu liko wapi. Wamekuzidi wewe, vipi unataka kulazimisha kila mtu awe na mawazo duni kama yako?Povu la nini? Wametuzidi sana tu. Inahitajika busara kuukabili ukweli.
kubali tu ukweli,, Wakenya wametuzidiPovu liko wapi. Wamekuzidi wewe, vipi unataka kulazimisha kila mtu awe na mawazo duni kama yako?
walikuibia nini Mkuu?Inshort Kenya Kuna waungaji waungaji wengi sana ndo hao wakijabongo wanajambisha watu wakiondoka mnabaki wakenya noma ndio n noma ila wanajiamin mno hata kama n darasa la saba pia n wez hatar mie n Shahid ya haya ninayokwambia
Labda wakenya wa Turkana.kubali tu ukweli,, Wakenya wametuzidi
Wametuzidi kuongea Kiingereza...tehtehtehHabari za wakati huu,
Leo nimeamua niulize tu labda itaondoa utata kidogo. Kumekuwa na tendency ya Wakenya kujiona wapo juu kwa kila kitu kuliko Tanzania.
Tuongee fact; Wakenya walichoizidi Tanzania ni kipi?
wametuzidi kunuka mdoko ama urefu wa kucha!!!halafu wewe ni mtz tokea lini???[emoji16]kubali tu ukweli,, Wakenya wametuzidi