Kiukweli nawashangaa wakenya, hivi wametuzidi Watanzania kwa lipi?

Kiukweli nawashangaa wakenya, hivi wametuzidi Watanzania kwa lipi?

Sio kwamba wametuzidi ila sisi wenyew hatujiamini halafu tumekuwa wanafki.

Usipojiamini ww mwenyewe hakuna atakayekuamini.
Huku mitandaoni watanzania kila kukicha wanatukana na kudharau viongozi wao lakn hilo Kwa wenzetu hulioni. Hata kama wanakosoa wanakosoa Kwa akili na hekima.

Chukulia mfano kwenye corona. Wakenya wakitoa ripoti kuwa wanawagonjwa 10 watanzania wanasifia kuwa hao wamesema ukweli lakn huku Tanzania wakisema wanawagonjwa 8 watanzania wanaanza kukejeli kuwa wanaficha taarifa.
FACT
 
habari za wakati huu,leo nimeamua niulize tu labda itaondoa utata kidogo.
kumekua na tendency ya wakenya kujiona wapo juu kwa kila kitu kuliko Tanzania.

tuongee fact wakenya walichoizid tanzania ni kipi?
View attachment 1510359
Kwani jirani yako akikuzidi kuna ubaya gani? Tatizo tunapenda kufunika ukweli ili tuoalilie uongo,huwa inatusaidia nini? Watanzania sisi ni waongo sana hata Mungu hapendi.

Angalia viongozi wetu wanavyotudanganya na baada ya miaka mitano wanarudi kutudanganya.Kenya wanajitahidi sana hata elimu wanayoitoa ni bora kuliko yetu.
 
Wakenya wetuzidi kujitambua kidogo kwenye mambo ya msingi
Mf: tz tupo lazi kuchangia harusi ila si kuchangia mtoto wa mwenzako aende shule, ila wakenya ukitaka ufunga ndoa jua utafanya kwa garama yako ila kama ninada ya mtoto kwenda shule hapo watakuchangia had card wengine uwa wanaandaa kabisaaa
 
Wakenya wetuzidi kujitambua kidogo kwenye mambo ya msingi
Mf: tz tupo lazi kuchangia harusi ila si kuchangia mtoto wa mwenzako aende shule, ila wakenya ukitaka ufunga ndoa jua utafanya kwa garama yako ila kama ninada ya mtoto kwenda shule hapo watakuchangia had card wengine uwa wanaandaa kabisaaa
hizo ni chain tu ambazo zimetengenezwa na zimekua norms sasa kwani kuchangia harusi ndo mtu anakua hajitambui
 
Halafu huwa ninashangaa Sana kukutana na watizedi wenzangu wenye mawazo Koko dhidi ya taifa hili Bora na la kipekee.......

Anzia Marsabit,nenda Daadab shuka mpaka Nakuru na MITAA ya Eastleigh Nairobi waulize wakenya WASIOKULA NA kulewa miraa ama kunusa gundi. Waulize Wakenya wasioupenda mfumo wa SOKO HURIA uliokosa CHECK AND BALANCE....

Uwaulizeje?

MNAIONAJE TANZANIA

Watakujibu HAKUNA nchi bora afrika iliyosimikwa vyema km taifa letu hili. Wengi hawatamsifia Sana mwalimu NYERERE kwa sababu ya propaganda kubwa aliyopigwa nayo dhidi ya falsafa zake za KIJAMAA na "WAJOMBA" wa nchi za magharibi. Watamsimanga kwa ZILE propaganda mfu na kilichojiri baada ya kufa kwa iliyokuwa jumuiya ya Afrika mashariki.

Ila WATAMSIFU SANA MAGUFULI kuliko baba wa taifa kwa kumuona km too visionary,too zealous and too dedicated KIUCHUMI.....nasema Tena KIUCHUMI........KIUCHUMI.

Ukitoka hapo nenda zako PWANI,uanzie MALINDI,Lamu uje "MAMBATHA" na uzunguke mtwapa,majengo,Likoni uende Beach Bamburi halafu uagize urojo wako upige stori na washkaji na warembo wa Mombasa.......hakika maneno Yao yatakuongezea MAPENZI JUU YA TAIFA LETU HILI......

Wataizungumza Tanzania kwa MAWANDA YA FURAHA pasipo CHUSHO.

Gavana Ali Joho ndio stori zake njema kuihusu Tanzania ndio Mana Mmanyema Ali Kiba alipewa mke na kina Joho.

All and all this nation is extraordinary,it's exquisiteness,it's awesomeness,it's vigilance on top of having the visionary, zealout and prompter leader president Magufuli it's just a matter of time to fly higher than now.
 
Tatizo la mtanzania yan hata jambo la kufanya yeye mwenyewe anasubir serikali ije imemfanyie sisi niwavivu mno kujiongeza alafu ukiona mwenzio katoboa unaanza majungu au uchawi wenzetu kule Kenya wanaukabila ila n wajanja wa kuunga unga sana ni wepesi sana kuongeza sifuri
 
Kingine sie bongo tunathamini sana kujenga kuliko kufanya pesa izunguke unakuta mtu ananunua gari la kutembelea kwanza pili kujenga alafu anasubiri kustaafu aanze kufuga au kulima
 
Habari za wakati huu,

Leo nimeamua niulize tu labda itaondoa utata kidogo. Kumekua na tendency ya Wakenya kujiona wapo juu kwa kila kitu kuliko Tanzania.

Tuongee fact; Wakenya walichoizidi Tanzania ni kipi?
Wakenya wametuacha mbali ktk baadhi ya vitu hasa vile muhimu. Awareness ya mtu mmoja mmoja.

Ni wapambanaji sana ona wsnaviutangaza utalii kwao ilihali sisi ndio tuna vivutio vingi.

Ila pia wametuzidi kwa rushwa
 
Hiv kuchangia harus alaf ukaacha kuchangia jiran yako ambae hana uwezo ili mtoto wake aende shule kipi bora?
hilo ni kutokana na nature ya watu husika unafikiri kenya wanashindwa kuchangia harusi? lakini wameweka elimu as priority na sisi numeweka norm as priority
 
Hiv kuchangia harus alaf ukaacha kuchangia jiran yako ambae hana uwezo ili mtoto wake aende shule kipi bora?

Unataka kusema MAJORITY ya wakenya wanachangia elimu za WATOTO wa majirani zao fukara na kutochangia HARUSI?!!!

Unataka kusema majority ya watizedi hawachangii elimu zaidi ya Bata za pombe harusini?!!!

Hapa umewaingiza wanyakyusa wote na wahaya wote?!!!

Unataka kusema kuwa kwa kupenda Bata elimu inashuka?!!! Je NI vipi elimu nchini Zambia na Malawi inaonekana kuwa JUU ilihali WACHEWA wa Malawi na Zambia wanaamkia VILABUNI,kushinda na "kulizamisha jua".......

Ama kwa kuwa wanaongea KIINGEREZA kuliko sisi?!!!
 
Habari za wakati huu,

Leo nimeamua niulize tu labda itaondoa utata kidogo. Kumekua na tendency ya Wakenya kujiona wapo juu kwa kila kitu kuliko Tanzania.

Tuongee fact; Wakenya walichoizidi Tanzania ni kipi?
Kidhungu
Exposure
Afya ( hivi umewahi kusikia mkenya kaugua kaya tz kutibiwa!) Labda kwa mganga wa kienye

Elimu ( mnapeleka watoto Kenya)
Hata. Miundo mbinu

Viwanda

Uelewa wa mambo ( ukiomba kazi na mkenya mtanzania hapati)

Hata comedian wa Kenya na tz ni tofauti kabsa hebu muangalie pastor wanjiku,Erik omondi kisha mtizame mc pilipili,iddra nk)/

Pesa yao inadhaman kuzid yetu mfano Tsh 20+ ni sawa na Ksh 1/=

Angalia majiji yao kisha angalia yetu Nairobi vs DSM

Wao hawana magari ya mitumba wananunua brand new sisi tunadeal na used

Wao sio wavivu kama sisi

Wamawekeza Tanzania makampuni ( uniliver) mabenk ( Kenya commercial bank ) kcb sisi sijui kama tuna kampuni Kenya kama IPO nijuze

Wanabidhaa nyingi kwenye maduka yetu limbo,ndala una onazoendea maliwato,sabuni nk cjui ss tunauza nn Kenya labda mahindi na bia

Labda tumewazidi mamiziki ya kingese ya bongoflavour
 
Sio kwamba wametuzidi ila sisi wenyew hatujiamini halafu tumekuwa wanafki.

Usipojiamini ww mwenyewe hakuna atakayekuamini.
Huku mitandaoni watanzania kila kukicha wanatukana na kudharau viongozi wao lakn hilo Kwa wenzetu hulioni. Hata kama wanakosoa wanakosoa Kwa akili na hekima.

Chukulia mfano kwenye corona. Wakenya wakitoa ripoti kuwa wanawagonjwa 10 watanzania wanasifia kuwa hao wamesema ukweli lakn huku Tanzania wakisema wanawagonjwa 8 watanzania wanaanza kukejeli kuwa wanaficha taarifa.
Let me guess... You're Jiwe Supporter ambao mnadhani uzalendo ni kuficha ficha mambo!!! Btw, ukichukua mfano wa corona, sasa kwanini watu wasikejeli kwamba Tanzania wanaficha wakati hata mtoto wa darasa la pili anafahamu hilo?!

Corona updates kwa Tz, ni hii hapa chini, ambayo tangu May 09, inaonekana hajaongezeka mgonjwa hata mmoja!!
Tz.png


Hivi kuna mtu mwenye akili timamu anayeweza kuamini upuuzi kama huo?! Au ndo mtu ukubali na kupongeza ujinga kama huo ili uonekane mzalendo?

Kinyume chake, KE updates ni hii hapa:-
KE.png


Again, hivi kuna mwenye akili timamu anayeweza kutilia shaka nia hiyo dhahiri ya KE ya kuweka mambo wazi?!

Mwanzoni mwa hili sakata niliwahi kusema hapa kwamba "COVID-19 ni Janga la Dunia! Hakuna nchi itakayohukumiwa kwa kuwa na waathirika wengi, lakini nchi zitahukumiwa kwa kujaribu kuficha ukweli!! Na kwamba, hata Visitors watakuwa more comfortable kutembelea nchi ambazo ukubwa wa janga unafahamika kuliko kwenda nchi ambayo ukubwa wa janga haufahamiki"

Leo hii Wazalendo Fake utawasikia "US wasitupangie, kwanza nchi yao ndo imeathirika zaidi kuliko sisi!" Hawa bado wanadhani concern ya watu ni nchi gani imeathirika zaidi kumbe concern ya watu ni ukubwa wa janga kwenye nchi husika!!

Hapa tena nakumbushia msemo ule ule kwamba, watu watazingatia usemi wa "Bora ya Shetani unayemjua kuliko Malaika Usiyemjua"!!
 
Wakenya wamewekeza tz makampuni na manenk
Kenya commercial bank ( kcb)
Uniliver nk sijajua ss tuna nn kenya

Tsh 20+/= sawa na ksh 1/=
 
Back
Top Bottom