Chadema ni majambazi makubwa yaliyojifichia kwenye uanaharakati wa kutetea matumbo yao!
Utukome kututajia chama kisicho na vigezo
Umoja party kisajiliwe kinafaa
Asante mkuu,Punguza chuki, umeipigia CCM kura, imejaa bungeni, imejaa halmashauri zote na manispaaa na mawaziri wote ni wa CCM , lakini kwa chuki zako, unailaumu CHADEMA kwa ugumu wa Maisha ulioletwa na CCM. Endelea kulaumu asiyeusika kwa kujifanya haumuoni muhusika mkuu CCM.
Kura uipr CCM lakini lawama za kushindwa kazi uitupie CHADEMA.
Inakusaidia nini kuandika haya wakati ukijua kabisa si kweli? Unaidanganya nafsi yako halafu unashangilia. Huu bila shaka ni u zombieChadema ni majambazi makubwa yaliyojifichia kwenye uanaharakati wa kutetea matumbo yao!
Utukome kututajia chama kisicho na vigezo
Asante mkuu,
Kwa sasa ni bora kuwa na chama kipya kabisa, si ccm wala chadema tena, hawa tumewaona nje ndani, wote ni wakiukaji wa katiba
Pole, hivi kwenye ratiba mpya, zamu ya kundi lenu kwenda kulinda na kufanya usafi malaloni ni wiki ya mwezi gani vile? Yaonekana haujaenda huko siku nyingi.Chadema ni matapeli
POLE ndugu, ni dhahiri kuwa shetani anakutesa na kukuyumbisha sana.Madhara ya kuwa na makalio makubwa na kuyatumia kufikiri.
Tumia hayo makalio kujamba sio kufikiri
Si kweli kwenye nini?Inakusaidia nini kuandika haya wakati ukijua kabisa si kweli? Unaidanganya nafsi yako halafu unashangilia. Huu bila shaka ni u zombie
Kile chama chenu cha Banyamulenge kinawndeleaje huko?Haiwezekani hali ilivyongumu alafu watu wanachukulia mzaa maisha ya watanzania.
Taifa lina rasilimali lukuki lakini umaskini umetamalaki kila kona ya Tanzania. Watu wanaishi maisha ya kubangaiza kula kwa tabu, kuvaa kwa tabu hata kulala kwa tabu.
Leo hii ni siasa za unafiki zinaendelea tu na maneno maneno tu lakini serikali haina msaada wa namna yoyote kwa wananchi.
Halafu watu wanaconspire kipuuzi na kuwaona raia wajinga na mafala!
Kwa nini hakuna jitihada za kuwaondoa hawa wanaodharau wananchi?
Hivi vyama vyote vilivyopo havifai. Tupate chama chenye nia thabiti kuwakomboa watanzania.
Si mumesajili Banyamulenge Party yenu au nayo haifai? ππππChonde chonde watanzania wazalendo na wenye wivu wa kuijenga nchi yetu!!
Wasukuma waundeHaiwezekani hali ilivyongumu alafu watu wanachukulia mzaa maisha ya watanzania.
Taifa lina rasilimali lukuki lakini umaskini umetamalaki kila kona ya Tanzania. Watu wanaishi maisha ya kubangaiza kula kwa tabu, kuvaa kwa tabu hata kulala kwa tabu.
Leo hii ni siasa za unafiki zinaendelea tu na maneno maneno tu lakini serikali haina msaada wa namna yoyote kwa wananchi.
Halafu watu wanaconspire kipuuzi na kuwaona raia wajinga na mafala!
Kwa nini hakuna jitihada za kuwaondoa hawa wanaodharau wananchi?
Hivi vyama vyote vilivyopo havifai. Tupate chama chenye nia thabiti kuwakomboa watanzania.
Ndio maana sijataja wachaga na wahayaWasukuma hawana uKabila. Wakifanya ukabila hali inachafuka.
Nikome wewe kibwengo wa Chukua chako mapemaSi mumesajili Banyamulenge Party yenu au nayo haifai? ππππ