Kiundwe chama kipya kuwakomboa watanzania kiuchumi na kisiasa. Vilivyopo havina nia thabiti. CCM na wapinzani wanacollude kuwahadaa Watanzania

Kiundwe chama kipya kuwakomboa watanzania kiuchumi na kisiasa. Vilivyopo havina nia thabiti. CCM na wapinzani wanacollude kuwahadaa Watanzania

Haiwezekani hali ilivyongumu alafu watu wanachukulia mzaa maisha ya watanzania.

Taifa lina rasilimali lukuki lakini umaskini umetamalaki kila kona ya Tanzania. Watu wanaishi maisha ya kubangaiza kula kwa tabu, kuvaa kwa tabu hata kulala kwa tabu.

Leo hii ni siasa za unafiki zinaendelea tu na maneno maneno tu lakini serikali haina msaada wa namna yoyote kwa wananchi.

Halafu watu wanaconspire kipuuzi na kuwaona raia wajinga na mafala!

Kwa nini hakuna jitihada za kuwaondoa hawa wanaodharau wananchi?

Hivi vyama vyote vilivyopo havifai. Tupate chama chenye nia thabiti kuwakomboa watanzania.
I second. Hata hivyo Maneno matupu hayavunji mfupa. Tuunde sasa kamati ya kuratibu zoezi hili
 
Haiwezekani hali ilivyongumu alafu watu wanachukulia mzaa maisha ya watanzania.

Taifa lina rasilimali lukuki lakini umaskini umetamalaki kila kona ya Tanzania. Watu wanaishi maisha ya kubangaiza kula kwa tabu, kuvaa kwa tabu hata kulala kwa tabu.

Leo hii ni siasa za unafiki zinaendelea tu na maneno maneno tu lakini serikali haina msaada wa namna yoyote kwa wananchi.

Halafu watu wanaconspire kipuuzi na kuwaona raia wajinga na mafala!

Kwa nini hakuna jitihada za kuwaondoa hawa wanaodharau wananchi?

Hivi vyama vyote vilivyopo havifai. Tupate chama chenye nia thabiti kuwakomboa watanzania.
Unapaswa utueleze unaunda weye hicho chama kipya.Kuandika tu uzi na kusukumia wengine wakuundie hicho chama nao ni udumavu.Unda chako!
 
Haiwezekani hali ilivyongumu alafu watu wanachukulia mzaa maisha ya watanzania.

Taifa lina rasilimali lukuki lakini umaskini umetamalaki kila kona ya Tanzania. Watu wanaishi maisha ya kubangaiza kula kwa tabu, kuvaa kwa tabu hata kulala kwa tabu.

Leo hii ni siasa za unafiki zinaendelea tu na maneno maneno tu lakini serikali haina msaada wa namna yoyote kwa wananchi.

Halafu watu wanaconspire kipuuzi na kuwaona raia wajinga na mafala!

Kwa nini hakuna jitihada za kuwaondoa hawa wanaodharau wananchi?

Hivi vyama vyote vilivyopo havifai. Tupate chama chenye nia thabiti kuwakomboa watanzania.
Tununue vyama vilivyopo tuweke utawala wetu kwa mfano UDP ya cheo halafu Mzee apewe chake aishie, wazalendo tuweke uongozi wetu
 
Naona Chadema wameenda kumpa political mileage Samia ionekane anajali demokrasia kwa wafadhili .
 
Haiwezekani hali ilivyongumu alafu watu wanachukulia mzaa maisha ya watanzania.

Taifa lina rasilimali lukuki lakini umaskini umetamalaki kila kona ya Tanzania. Watu wanaishi maisha ya kubangaiza kula kwa tabu, kuvaa kwa tabu hata kulala kwa tabu.

Leo hii ni siasa za unafiki zinaendelea tu na maneno maneno tu lakini serikali haina msaada wa namna yoyote kwa wananchi.

Halafu watu wanaconspire kipuuzi na kuwaona raia wajinga na mafala!

Kwa nini hakuna jitihada za kuwaondoa hawa wanaodharau wananchi?

Hivi vyama vyote vilivyopo havifai. Tupate chama chenye nia thabiti kuwakomboa watanzania.
Si kile chenye picha ya magufuli???
 
CCM ndio chama pekee chenye itikadi inayoeoeleweka, msimamo na falsafa hao wengine wanaiga tu. Ukweli CCM ndio chama kitakacholeta mapinduzi ya kweli ya kiuchumi,kijamii na kisiasa kwa sababu CCM Ina ushirikiano mzuri na vyama rafiki Kama CCP Cha China miongoni mwa vyama ambavyo havijawahi kuyumba Kama ilivyo CCM hapa kwetu. CCM Hoyeeee........... Mama endelea kuupiga mwingiiiiiiiiiiiiiii
 
Haiwezekani hali ilivyongumu alafu watu wanachukulia mzaa maisha ya watanzania.

Taifa lina rasilimali lukuki lakini umaskini umetamalaki kila kona ya Tanzania. Watu wanaishi maisha ya kubangaiza kula kwa tabu, kuvaa kwa tabu hata kulala kwa tabu.

Leo hii ni siasa za unafiki zinaendelea tu na maneno maneno tu lakini serikali haina msaada wa namna yoyote kwa wananchi.

Halafu watu wanaconspire kipuuzi na kuwaona raia wajinga na mafala!

Kwa nini hakuna jitihada za kuwaondoa hawa wanaodharau wananchi?

Hivi vyama vyote vilivyopo havifai. Tupate chama chenye nia thabiti kuwakomboa watanzania.
Wanachama wake watoke Mbinguni.
 
Back
Top Bottom