Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
I second. Hata hivyo Maneno matupu hayavunji mfupa. Tuunde sasa kamati ya kuratibu zoezi hiliHaiwezekani hali ilivyongumu alafu watu wanachukulia mzaa maisha ya watanzania.
Taifa lina rasilimali lukuki lakini umaskini umetamalaki kila kona ya Tanzania. Watu wanaishi maisha ya kubangaiza kula kwa tabu, kuvaa kwa tabu hata kulala kwa tabu.
Leo hii ni siasa za unafiki zinaendelea tu na maneno maneno tu lakini serikali haina msaada wa namna yoyote kwa wananchi.
Halafu watu wanaconspire kipuuzi na kuwaona raia wajinga na mafala!
Kwa nini hakuna jitihada za kuwaondoa hawa wanaodharau wananchi?
Hivi vyama vyote vilivyopo havifai. Tupate chama chenye nia thabiti kuwakomboa watanzania.
Unapaswa utueleze unaunda weye hicho chama kipya.Kuandika tu uzi na kusukumia wengine wakuundie hicho chama nao ni udumavu.Unda chako!Haiwezekani hali ilivyongumu alafu watu wanachukulia mzaa maisha ya watanzania.
Taifa lina rasilimali lukuki lakini umaskini umetamalaki kila kona ya Tanzania. Watu wanaishi maisha ya kubangaiza kula kwa tabu, kuvaa kwa tabu hata kulala kwa tabu.
Leo hii ni siasa za unafiki zinaendelea tu na maneno maneno tu lakini serikali haina msaada wa namna yoyote kwa wananchi.
Halafu watu wanaconspire kipuuzi na kuwaona raia wajinga na mafala!
Kwa nini hakuna jitihada za kuwaondoa hawa wanaodharau wananchi?
Hivi vyama vyote vilivyopo havifai. Tupate chama chenye nia thabiti kuwakomboa watanzania.
Tununue vyama vilivyopo tuweke utawala wetu kwa mfano UDP ya cheo halafu Mzee apewe chake aishie, wazalendo tuweke uongozi wetuHaiwezekani hali ilivyongumu alafu watu wanachukulia mzaa maisha ya watanzania.
Taifa lina rasilimali lukuki lakini umaskini umetamalaki kila kona ya Tanzania. Watu wanaishi maisha ya kubangaiza kula kwa tabu, kuvaa kwa tabu hata kulala kwa tabu.
Leo hii ni siasa za unafiki zinaendelea tu na maneno maneno tu lakini serikali haina msaada wa namna yoyote kwa wananchi.
Halafu watu wanaconspire kipuuzi na kuwaona raia wajinga na mafala!
Kwa nini hakuna jitihada za kuwaondoa hawa wanaodharau wananchi?
Hivi vyama vyote vilivyopo havifai. Tupate chama chenye nia thabiti kuwakomboa watanzania.
Ndio kilichobaki..tofauti na hapo hakuna.Tuunde majeshi ili tupindue?
Si kile chenye picha ya magufuli???Haiwezekani hali ilivyongumu alafu watu wanachukulia mzaa maisha ya watanzania.
Taifa lina rasilimali lukuki lakini umaskini umetamalaki kila kona ya Tanzania. Watu wanaishi maisha ya kubangaiza kula kwa tabu, kuvaa kwa tabu hata kulala kwa tabu.
Leo hii ni siasa za unafiki zinaendelea tu na maneno maneno tu lakini serikali haina msaada wa namna yoyote kwa wananchi.
Halafu watu wanaconspire kipuuzi na kuwaona raia wajinga na mafala!
Kwa nini hakuna jitihada za kuwaondoa hawa wanaodharau wananchi?
Hivi vyama vyote vilivyopo havifai. Tupate chama chenye nia thabiti kuwakomboa watanzania.
Wanachama wake watoke Mbinguni.Haiwezekani hali ilivyongumu alafu watu wanachukulia mzaa maisha ya watanzania.
Taifa lina rasilimali lukuki lakini umaskini umetamalaki kila kona ya Tanzania. Watu wanaishi maisha ya kubangaiza kula kwa tabu, kuvaa kwa tabu hata kulala kwa tabu.
Leo hii ni siasa za unafiki zinaendelea tu na maneno maneno tu lakini serikali haina msaada wa namna yoyote kwa wananchi.
Halafu watu wanaconspire kipuuzi na kuwaona raia wajinga na mafala!
Kwa nini hakuna jitihada za kuwaondoa hawa wanaodharau wananchi?
Hivi vyama vyote vilivyopo havifai. Tupate chama chenye nia thabiti kuwakomboa watanzania.