Sapong sio sapongiSio sapongi hata kutuliza mpira hajui
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sapong sio sapongiSio sapongi hata kutuliza mpira hajui
na saa hizi washanunua sukari yao fungu mbili na unga nusu wanapika wale...Wakati Mudathir anasaini huo mkataba, yule kichwa maji hivi tunavyo ongea atakuwa ameshavuka tayari bahari kwenda kudeka kwa mama yake.
Kweli hii dunia haina usawa hata kidogo.
AnastahiriKlabu ya Yanga imethibitisha kumuongezea Mkataba wa miaka mow ili 2)kiungo Mudathir Yahya wenye kipengele cha kuongeza.
Mudathir alitua Yanga katika dirisha dogo la Januari mwaka huu na ameonyesha kiwango kikubwa kwenye mechi za mashindano alizocheza mpaka sasa.
View attachment 2570255
AhahahaHuyu ndio kampiga kitu Feisal akili ziruke (kidding)
Tulia kijana. Yanga ni timu kubwa. Ilichokifanya hapo ni kuboresha tu mkataba wa mchezaji.Hee Siku Zote hizo anacheza Alikuwa Bado kumsainisha....!
Utopolo dhulumati Sana...!
Mtaacha lini Kuvidhulumu Vichezaji visivyojielewa..?
Ndo Maana Fei Toto Kashtukia Mchezo..!
Yaan Kuna watu vichwa maji sana, afadhal Tate Mkuu umemjibu kistaarabu.Tulia kijana. Yanga ni timu kubwa. Ilichokifanya hapo ni kuboresha tu mkataba wa mchezaji.
Unafikiri angekuwa hajasainishwa, TFF wangepitishaje jina lake kwenye usajili?