Mzee wa utopolo aliwapaga jina moja amazing......halifiPole sana Mtani wangu, ni mapito tu mtakaa sawa Ndugu zangu Makolokolo [emoji23]
Ubinadamu ni kazi/The humanity is a work.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mzee wa utopolo aliwapaga jina moja amazing......halifiPole sana Mtani wangu, ni mapito tu mtakaa sawa Ndugu zangu Makolokolo [emoji23]
Ubinadamu ni kazi/The humanity is a work.
Kwa sasa tunawajibu wanchotaka kusikia..Mmekaa mndjadili habari ambayo haina hata source hii ndio sababu CCM ipo madarakani Hadi Sasa.
Ukame na ndizi wapi na wapi?Wewe angalia mtama.Hahaha nipo huku mitaa ya Hombolo naangalia shamba darasa la ndizi
Wee usije kuchekwa bureee 🤣 🤣 🤣 kuna mama analima ndizi hekari 20 hivi..kwa kumwagilia tuu...juzi tulikua huku na mkuu wa mkoa...Ukame na ndizi wapi na wapi?Wewe angalia mtama.
Fake newz!Hebu onja maji ya kunywa hapo kama siyo chai.Wee usije kuchekwa bureee 🤣 🤣 🤣 kuna mama analima ndizi hekari 20 hivi..kwa kumwagilia tuu...juzi tulikua huku na mkuu wa mkoa...
Na ndicho walichojaribu kufanya kwa moses phiri ila makolo wakaamua liwalo na liweMimi nadhani Yanga huwa hawana nia ya kumsajili ila wanachofanya ni kumpaisha mchezaji kama vile wanamsajili ingawa nia yao ni kuwakomoa Simba watoe fedha nyingi kwa mchezaji.
Hawa watt wapuuzi kweli..hivi kweli mwanaume shababy unapata wapi ujasiri wa kusema ninge...inge..na maneno ya hivyo eti angenioa??...yani tabu sana...
Ww unapinga ushafika Dodoma au unaishi dodoma?? Mbona unapinga hovyo tuu? Fake news?? Mm mwenyewe kwangu nina migomba ya ndizi...mahali popote unalima kama una vyanzo vy maji..kilimo cha kutegemea mvua kimepitwa na wakati njoo Dom uone watu wanavyolima mashamba kwa maji ya kumwagilia toka kwny visima vikubwa walivyochimba...Fake newz!Hebu onja maji ya kunywa hapo kama siyo chai.
Ongezea kiungo aliye top ten ya wafungaji wa muda wote club bingwaBaada yakupandwa hasira na kuamua kuondoka nchini hivi karibuni na kurudi kwako, Habari za hivi punde ni kwamba yule kiungo mwenye mwendo wa bibi harusi, mwendo wa pole kama mdudu aina ya konokono sasa hivi hapatikani kwenye simu.
Paka tunapoenda mitamboni ni kwamba
Viongozi wanahaha kumtafuta bila mafanikio,
Tutaendelea kuwajuza kila kinachoendelea
Inaitwa Draw No Bet!Mchezaji kila dirisha la usajili hua anasajiliwa yanga msimu unapo anza anacheza Simba sijui hii kitaalum imekaaje
Mwalimu hakukosea ila kasi ya utandawazi ndiyo imelazimisha aonekane kituko kwa PhD Holder wa 2000yrs.Kwa hiyo mwalimu aliyekafundisha katoto ka mwaka 2000 alikosea?Jitazame upya hapo chini.
Hongera sana kwa kuwa bize kimasilahi, huo ndiyo ukubwa Mama.Hahaha nipo huku mitaa ya Hombolo naangalia shamba darasa la ndizi
Litakua jambo la kijinga kuendelea kumng'ang'ania Chama mchezaji asiyeiheshimu club.Mchezaji kila dirisha la usajili hua anasajiliwa yanga msimu unapo anza anacheza Simba sijui hii kitaalum imekaaje
Mi nilishangaa aliporudishwa timu ilianza kuvurugika pale.Tatizo la Simba ni kutokua na umahiri wa kufanya replacement sahihi ya wachezaji kwa Sasa..Ni dhahiri kwamba kwa manufaa ya timu chama angetakiwa apewe mkono wa kwaheri maana ameshaota mapembe kiasi hata yy mwenyewe anajiona yupo juu ya klabu