adriz
JF-Expert Member
- Sep 2, 2017
- 12,207
- 26,521
Tupe mrejesho baada ya hapo ikawaje ?Imagine huyo ni kiungo ana goli 14. kuna striker topolo mechi 40 gali 2
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tupe mrejesho baada ya hapo ikawaje ?Imagine huyo ni kiungo ana goli 14. kuna striker topolo mechi 40 gali 2
Hawezi kurudi 😄😄🤣Tupe mrejesho baada ya hapo ikawaje ?
Sidhani kam huwa una kazi ya kufanya wewe. Ninatoka tena, nikirudi naomba nikute notification nyingi ulizonitag.
Naomba kazi bossSidhani kam huwa una kazi ya kufanya wewe. Ninatoka tena, nikirudi naomba nikute notification nyingi ulizonitag.
Kwahiyo umepanick?Naomba kazi boss
Nitume CV kwenye email ipi boss?Kwahiyo umepanick?
Kwanini usmtumie Mayele akupe kazi ya kumfulia Bips zake akitoka mazoezini?Nitume CV kwenye email ipi boss?
Wewe ndio umeguswa na mimi kukosa kazi sio MayeleKwanini usmtumie Mayele akupe kazi ya kumfulia Bips zake akitoka mazoezini?
Ni ushauri tu.
Du!!..watu mnaona mbaliInasemekana huyu jamaa ana tabia ya kucheza timu mbili mahasimu kwenye nchi moja anayoenda kucheza baada ya misimu 2 ataenda upande wa pili.
YametimiaDu!!..watu mnaona mbali
Sema chochote kuhusu okrah Magic leo tupo nae wananchiImagine huyo ni kiungo ana goli 14. kuna striker topolo mechi 40 gali 2
Duuuh Mbumbumbu mna manenoNajaribu kuwaza hapa
6 Akpan
7 Sakho
8 Chama
9 Manzoki
10 Phiri
11 Okrah
Watu wanavuta pumzi ya motooo
Mhasibu fekiImagine huyo ni kiungo ana goli 14. kuna striker topolo mechi 40 gali 2
Vp kizibo vibe linaendaje au umezibuliwaYaani nina vibe na msimu ujao sijui kwanini!!!