gigabyte
JF-Expert Member
- May 27, 2015
- 5,717
- 6,465
Huyo jamaa kama kaondoka yanga nimefurai sana.maana kati ya wachezaji niliokua nawaona wamekamilika na alikua anatukamata pale kati ni huyo jamaa.Hao viungo wenu waliobaki hakuna mtu wa kazi kama mukoko.
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app