Kiungo wa club ya Yanga sc "Mukoko Tonombe' (Teacher) asajiliwa rasmi na matajiri wa Congo DRC "Tp Mazembe''

Huyo jamaa kama kaondoka yanga nimefurai sana.maana kati ya wachezaji niliokua nawaona wamekamilika na alikua anatukamata pale kati ni huyo jamaa.Hao viungo wenu waliobaki hakuna mtu wa kazi kama mukoko.

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Mapenzi ya mukoko kwa Yanga ni dhahiri kabisa jumlisha na juhudi zake daah nimesikitika ila Mungu atambariki tuu.
Mchezaji hawezi kukaa timu ambayo hachezi inamharibia Cv ata ukicheki umri wake plus malengo aliyojiwekea inakua ngumu.
 
Yupo Mzee wa kazi chafu, kitasa Yanik Bangala litombo muulize lwanga anamjua mchizi alipigwa dole hadi pumzi ilikata, akigeuka Feisal mbrazibar akala kanzu mwana akaanza kucheza marafu ya kiboya akala red hiyo ilikua ngao ya jamii.
 
Habari njema hizi ...
Kila la kheri Mukoko .
 
Nami kaniuma sana ati.
 
Kila lakheri Mukoko Teacher.
Ukiwa mwananchi utaendelea tu kuwa mwananchi, jamaa kasaini mkataba na TP Mazembe akiwa full na gwanda za kiuwananchi

 
Yupo Mzee wa kazi chafu, kitasa Yanik Bangala litombo muulize lwanga anamjua mchizi alipigwa dole hadi pumzi ilikata, akigeuka Feisal mbrazibar akala kanzu mwana akaanza kucheza marafu ya kiboya akala red hiyo ilikua ngao ya jamii.
Hao wote hakuna anayefikia mziki wa mkoko.Kwenye ligi hii yakukamiana huyo bangala wako atachoka mapema sana.Sema uzuri yanga wana wachezaji wengi wa kucheza katikati.

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…