Kiuno . . . . . .

Kiuno . . . . . .

Wambie wakupe ntalipa!
Maana umemwaga mavitu ya kufa mtu.......lol.Sasa hako kaelimu sisi wakaka huwezi kutupa?alafu unatufanyia na ka-practical ili uone kama tumeweza?Ebu funguka pls.
spika elimu gani tena na nimesha kueleza kila kitu yaani umuhimu wake katika kunogesha tendo la ndoa. cha msingi wee kama hujui kukatika fanya hivi jifungie rum weka mziki hasa wa kilingala halafu katika taratibu bila jasho. ukiweza kupractce kwa kutumia muziki wkwenye tv ni vizuri zaid. Jitahidi bwana manake haipendez kila siku mtu unakuna nazi tu lol!

kuhusu practcal sitoweza kukusaidia manake swala la ngono halina kushare na pia siwez nikakupatia binti halaf nkaa nikawa naangalia unavyofanya. ila naamin katika kujifunza hasa yale mambo mazuri ambayo mtu ulikuwa huyajui.
 
Last edited by a moderator:
spika elimu gani tena na nimesha kueleza kila kitu yaani umuhimu wake katika kunogesha tendo la ndoa. cha msingi wee kama hujui kukatika fanya hivi jifungie rum weka mziki hasa wa kilingala halafu katika taratibu bila jasho. ukiweza kupractce kwa kutumia muziki wkwenye tv ni vizuri zaid. Jitahidi bwana manake haipendez kila siku mtu unakuna nazi tu lol!

kuhusu practcal sitoweza kukusaidia manake swala la ngono halina kushare na pia siwez nikakupatia binti halaf nkaa nikawa naangalia unavyofanya. ila naamin katika kujifunza hasa yale mambo mazuri ambayo mtu ulikuwa huyajui.

au kama vipi akawacheck kanga moko laki si pesa kule ndio atapata somo zuri la practical
 
Last edited by a moderator:
Heheh.....mie nimekufagilia kweli kwa lile comment lako gfsonwin, full ujazo!! Ila sasa kwa sie wenye viuno kama viazi mbatata duh....kazi ipo!

@ Kipipi usiseme kiuno kigumu hapana fanya mazoezi ya kukilegeza. mwili wa mtu uko very flexible kama atautrain kuwa hivyo. Mimi ni mnene kiais kg 75 ila nyuzi 360 napeleka kama kawa na nina mazoezi ya kutosha ili kuwa flexible. tena wewe mdada achana na hiyo kitu ya uvivu, kata nyonga anza kujifunza taratibu na usione aibu.
 
Mimi nilidhani ndiyo unataka kutoa darasa kwa wale tusiojua ili tuweze kujifunza umuhimu wake badala yake kumbe unatuacha hewani tu, sasa tutajifunza wapi??

ndo nilikua natoa macho hapa,,,halafu tips sizioni
 
mh kiuno ndo kinaboresha uhusiano hii mpya
ogo

wala siyo mpya mtotowamjini siku zote kiuno huleta mnogo kwenye sebene so, na kama sebene siyo la uhakika nakuhakikishia kucheat lazima kutakuwepo tu. Kuna study moja ilifanywa na watu wa gender huko south africa, kuhusu uaminifu katika ndoa, idadi kubwa ya walioonekana kucheat miongoni mwa wanaume sababu kubwa ya wao kucheat ilikuwa ni tabia, bali miongoni mwa wanawake sababu kubwa ya wao kucheat ni kukosa vitu wanavyovitaka na wengi wao walisema kuridhika katika tendo la ndoa. So ili kumfanya mwenzi wako aridhike ni busara kutumia kila mbinu ya utundu ikiwemo kukitumia vizur kiuno chako. Hope umenielewa.
 
Last edited by a moderator:
Preta naomba nikwambie kidogo tu japo hapa siyo pa kujimwaga zaid. Iko hivi kiuno kama kiuno kina kazi moja tu katika game, hiki huleta hamasa na mnogo fulani. Kiuno chako kama mwanamke unatakiwa ukirembe kwa shanga kidogo siyo nyingi zenye rangi nzuri na zisizo kuwa nene sana yaani zile za shingoni. kama unaweza basi kiveshe mkufu wa dhahabu au silver. Urembaji huu unatokana na ukweli kuwa mwanamke ni pambo la nyumba so chumbani kwako ndipo nyumbani kwako wakati huo na ndipo unapotakiwa uwe na mvuto sana na mrembo zaid.

Sasa kiuono kilichoveshwa urembo huu au hata kama hakija veshwa kina kazi moja tu ya kuleta uwanja wa mchezo kuwa na raha. Jamani siyo siri wote tunapaswa kukatika tena ikiwezekana mmoja akikata kulia mwingine ana kata kushoto lol hapo lazima mtafurahia tendo la ndoa kuliko kawaida. haitakiwi ukate kama una cheza ngoma la bali ni taratibu stail ya staki nataka huku ukibadili mwendo mara kushoto mara kulia unamalizia na kushtua kiduku kidogo.

Binafsi sipend jinsi ambavyo wadada wanavyovianika viuno vyao nje, hii hukera sana kwani huwa najiuliza hizo shanga anamuonyesha nani? na je akiambiwa aseme maana yake naijua? sisi tuliochezwa zamani tuliambiwa maana ya kila rangi ya shanga na idadi yake bali wadada wa kileo hilo hakuna wa kuwaambia. Kwao wanakwenda na wakati basi.

wakaka na ninyi jifunzeni kukata viuno vyenu, mapenzi ya kukuna nazi hayapo tena siku hizi ni stail ya nyuzi 360 mpo wakaka wa jf? Babu yenu ODM awape shule, ila ukweli ni kwamba mkaka anayejua kukitumia kiuno chake ipasavyo huwa anapagawisha sana tu tena huwa hachoki sana kwani huwa anapokata kunavibration fulani ambayo humfanya mwanamke afike mapema zaid tena pasi kutumia nguvu nyingi. mmmmh! jaman naishia hapa kwa leo. maswali mnipm manake hapa naogopa kusema zaid
gfsonwin umemaliza kila kitu,big up..
 
Last edited by a moderator:
Nani mwanamke mwenye kiuno kizuri hapa JF.
 
Kiuno kila mmoja wetu anakijua,kinamatumizi mengi kwenye shughuli zetu za kila siku.Lakini kwenye mapenzi au mahusiano kina kazi nyingine hasa kunako game,kiuno kikitumika vyema husaidia kuboresha uhusiano ila ukichemka kinakosa maana.Na matumizi au umuhimu wake ni kwa jinsia zote.Je wajua matumizi yake?Kama hujui ni bora ukajifunza umuhimu wake ili uboreshe uhusiano wako!

naona teacher umetoa hints madesa kutafuta wenyewe.
 
Preta naomba nikwambie kidogo tu japo hapa siyo pa kujimwaga zaid. Iko hivi kiuno kama kiuno kina kazi moja tu katika game, hiki huleta hamasa na mnogo fulani. Kiuno chako kama mwanamke unatakiwa ukirembe kwa shanga kidogo siyo nyingi zenye rangi nzuri na zisizo kuwa nene sana yaani zile za shingoni. kama unaweza basi kiveshe mkufu wa dhahabu au silver. Urembaji huu unatokana na ukweli kuwa mwanamke ni pambo la nyumba so chumbani kwako ndipo nyumbani kwako wakati huo na ndipo unapotakiwa uwe na mvuto sana na mrembo zaid.

Sasa kiuono kilichoveshwa urembo huu au hata kama hakija veshwa kina kazi moja tu ya kuleta uwanja wa mchezo kuwa na raha. Jamani siyo siri wote tunapaswa kukatika tena ikiwezekana mmoja akikata kulia mwingine ana kata kushoto lol hapo lazima mtafurahia tendo la ndoa kuliko kawaida. haitakiwi ukate kama una cheza ngoma la bali ni taratibu stail ya staki nataka huku ukibadili mwendo mara kushoto mara kulia unamalizia na kushtua kiduku kidogo.

Binafsi sipend jinsi ambavyo wadada wanavyovianika viuno vyao nje, hii hukera sana kwani huwa najiuliza hizo shanga anamuonyesha nani? na je akiambiwa aseme maana yake naijua? sisi tuliochezwa zamani tuliambiwa maana ya kila rangi ya shanga na idadi yake bali wadada wa kileo hilo hakuna wa kuwaambia. Kwao wanakwenda na wakati basi.

wakaka na ninyi jifunzeni kukata viuno vyenu, mapenzi ya kukuna nazi hayapo tena siku hizi ni stail ya nyuzi 360 mpo wakaka wa jf? Babu yenu ODM awape shule, ila ukweli ni kwamba mkaka anayejua kukitumia kiuno chake ipasavyo huwa anapagawisha sana tu tena huwa hachoki sana kwani huwa anapokata kunavibration fulani ambayo humfanya mwanamke afike mapema zaid tena pasi kutumia nguvu nyingi. mmmmh! jaman naishia hapa kwa leo. maswali mnipm manake hapa naogopa kusema zaid

mwaga hapa hapa hakuna anayekujua kwa id yako hyo.
 
gfsonwin, nawaza tuu yukoje huyu maana mambo haya si mchezo!
Ronn M, usihofu sana mimi ni wa kawaida tu ni mwanamke, ambaye nilkulia kijijini enzi hizo vigori wakiwa wanafundwa unyago. Nataman sana kama ingewezekana basi warudishe mafundo yale ya zamani siyo haya ya sasa nafikir wengi wa vijana kama wewe mngefaid sana
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom