Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ufafanuzi mzuri huuu🙏🙏🙏🙏Kiongozi wa kitaifa anapaswa kufanyiwa arresting na Police officer sio askari wa polisi. Labda kwa makosa yale tu ambayo unaweza kuyaweka sehemu ya dharula. Maana kuna makosa mtu akitenda hata raia wa kawaida anaweza kumdaka na kumpeleka kituoni bila kujali wadhifa wa mtu. Mfano: ukimkuta mtu anaua na una uwezo wa kumshika utamshika au utakwenda police kuwapa taarifa?
Polisi wanajua Sheria ila huzipuuza wakidhani kuwa wananchi hawazijui
Ukikataa ndo pale police atakufata physically kukukamata ikiwa kweli kuna kosa la jinai umefanyaMkuu haya mambo Huwa yanafikirisha Sana, inawezekana ikawa uko sahihi kwamba anaweza akaitwa akaenda lakini wakati mwingine wanaitwa na hawaendi mfano TUNDU LISU juzi tu aliitwa na akasema haendi
… raraa reree njoo utoe madini huku unaitwararaa reree mtu wa system msaada wako tafadhali.
Mtwangie simu aje Kwa kukimbia maana huyu mtikila Hadi tembea yake inaashiria alikuwa ana kaconfidence flani iv 🤣🤣🤣… raraa reree njoo utoe madini huku unaitwa
Labda music systemraraa reree mtu wa system msaada wako tafadhali.
Hapana mimi jobless tuuKUmbe mzee wa likes ni teeth?
Anafanya doria humu ndiyo maana kila post anaisoma na kutia alama kuwa ameipitia.KUmbe mzee wa likes ni teeth?
Mkuu wana wa nchi wamekugutukia kuwa wewe ni nyoka.Labda music system
Basi nitakuwa naachaAnafanya doria humu ndiyo maana kila post anaisoma na kutia alama kuwa ameipitia.
Mkuu haya mambo Huwa yanafikirisha Sana, inawezekana ikawa uko sahihi kwamba anaweza akaitwa akaenda lakini wakati mwingine wanaitwa na hawaendi mfano TUNDU LISU juzi tu aliitwa na akasema haendi
Usiache mkuu, kwani kuwa mtu wa mfumo ni dhambi? Wewe ni familia JF,Basi nitakuwa naacha
😃😃😃🙃🙃🙃🙃Hata wewe ukipelekwa kituoni, askari anaetakiwa kukuhoji ni lazima awe na cheo cha kuanzia Corporal.