macho_mdiliko
Platinum Member
- Mar 10, 2008
- 25,191
- 48,765
Tutumie akili hata kidogo na tusipende kuzusha mambo ambayo hayapo. Hivi angekuwa na cheo cha siri angetoa tena siri hadharani? Naona wengine ni watoto wadogo na mlikuwa hamjui Mtikila alikuwa mtu wa namna gani!Kwamantiki, kama viongozi wa kitaifa watatenda makosa,Sheria itafanya kazi pasipo kujali cheo Wala wadhifa wa mtu yeyote, je mtikila alipata wapi ujasiri wa kusema aliyo yasema, au anacheo ambacho raia tulikuwa hatukijui?