Kiusalama Marehemu Mchungaji Mtikila alikuwa na cheo gani??

Ufafanuzi mzuri huuuπŸ™πŸ™πŸ™πŸ™
 
Mkuu haya mambo Huwa yanafikirisha Sana, inawezekana ikawa uko sahihi kwamba anaweza akaitwa akaenda lakini wakati mwingine wanaitwa na hawaendi mfano TUNDU LISU juzi tu aliitwa na akasema haendi
Ukikataa ndo pale police atakufata physically kukukamata ikiwa kweli kuna kosa la jinai umefanya
 
Askari anayekuja kukukamata anapaswa kuwa na warrant of arrest, hivyo kukukamata bila warrant of arrest kuna cheo anaweza kufanya hivyo.
 
Mkuu haya mambo Huwa yanafikirisha Sana, inawezekana ikawa uko sahihi kwamba anaweza akaitwa akaenda lakini wakati mwingine wanaitwa na hawaendi mfano TUNDU LISU juzi tu aliitwa na akasema haendi

..kumuita mhusika kituo cha Polisi kuna sheria na taratibu zake.

..pia kumkamata mtuhumiwa kuna sheria na taratibu zake.

..Lissu alipokataa kuripoti Polisi alitoa sababu za kisheria na kiutaratibu za kukataa wito.

..kwa mfano, Igp Sirro alikwenda ktk vyombo vya habari na kumtaka Lissu aripoti kituo Moshi, Kilimanjaro.

..Lissu alikuwa Dsm na alikataa wito huo kwasababu Igp Sirro hakufuata sheria wala taratibu za kumuita kituoni.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…