mngony JF-Expert Member Joined Jul 27, 2012 Posts 5,555 Reaction score 6,972 Sep 3, 2024 #61 njumu za kosovo said: KUmbe mzee wa likes ni teeth? Click to expand... Teeth ndio nini , mbona mnongea kwa kodi mnatutisha.
njumu za kosovo said: KUmbe mzee wa likes ni teeth? Click to expand... Teeth ndio nini , mbona mnongea kwa kodi mnatutisha.
Komeo Lachuma JF-Expert Member Joined Oct 31, 2014 Posts 7,926 Reaction score 17,030 Sep 3, 2024 #62 proff g said: Mkuu haya mambo Huwa yanafikirisha Sana, inawezekana ikawa uko sahihi kwamba anaweza akaitwa akaenda lakini wakati mwingine wanaitwa na hawaendi mfano TUNDU LISU juzi tu aliitwa na akasema haendi Click to expand... Aliona hawana hoja na hawatumii akili. Je walimkamata baada ya yeye kusema haendi?
proff g said: Mkuu haya mambo Huwa yanafikirisha Sana, inawezekana ikawa uko sahihi kwamba anaweza akaitwa akaenda lakini wakati mwingine wanaitwa na hawaendi mfano TUNDU LISU juzi tu aliitwa na akasema haendi Click to expand... Aliona hawana hoja na hawatumii akili. Je walimkamata baada ya yeye kusema haendi?
proff g Senior Member Joined Jul 16, 2016 Posts 146 Reaction score 113 Sep 3, 2024 Thread starter #63 njinjo said: Kukamata kunategemea na cheo cha mtu. Constable hawezi kumkamata Waziri Click to expand... thanks a lot mkuu
njinjo said: Kukamata kunategemea na cheo cha mtu. Constable hawezi kumkamata Waziri Click to expand... thanks a lot mkuu
proff g Senior Member Joined Jul 16, 2016 Posts 146 Reaction score 113 Sep 3, 2024 Thread starter #64 Komeo Lachuma said: Aliona hawana hoja na hawatumii akili. Je walimkamata baada ya yeye kusema haendi? Click to expand... mwamba bado anadunda mtaani na anawapiga nondo za maana
Komeo Lachuma said: Aliona hawana hoja na hawatumii akili. Je walimkamata baada ya yeye kusema haendi? Click to expand... mwamba bado anadunda mtaani na anawapiga nondo za maana
Jerry001 JF-Expert Member Joined Apr 29, 2020 Posts 585 Reaction score 1,299 Sep 3, 2024 #65 Mtanganyika Mtikila alikuwa mtu na nusu.
Boogman JF-Expert Member Joined Dec 28, 2014 Posts 2,439 Reaction score 5,612 Sep 3, 2024 #66 Jerry001 said: Mtanganyika Mtikila alikuwa mtu na nusu. Click to expand... Tena mtu wa maana kbs!