Kivuko Cha Magogoni Feri

Kivuko Cha Magogoni Feri

Tman900

JF-Expert Member
Joined
May 30, 2017
Posts
589
Reaction score
1,897
Serikali imeshindwa kuendesha kivuko Cha Magogoni Ferry,
Azam amewekeza ktk usafiri wa maji, Sasa hivi ndo anatoa huduma/ Biashara ya akuvusha watu pale ferry, kwa Uhakika kabisa. Na watu Wengi wanaona Bora wapande kivuko cha Azam kuliko cha Serikali.

Kivuko kilichopo, kitakufa kama vilivyokufa vingine, Swali la kujiuliza inamaana Azam ni bora sana kwenye utendaji kazi kuliko Serikali.
Ina maana Serikali inazidiwa na mtu Binafsi.

Vivuko vyote vimekufa, Je, huu ni mtazamo wangu, au Kuna watu wamehusika kukihujumu kivuko vife/ viwe vibovu vishindwe kufanya kazi.

Ninachoona kwa mtazamo wangu kivuko kilichopo ni kibovu, nacho kinaenda kwa kusua sua nacho kitakufa.

Baada ya vivuko vyote Kufa, Azam anabudi kupewa kivuko kuendesha, maana na Tafsiri yake Watu wanapewa Dhamana ktk shughuri za Serikali sio waaminifu na sio wazalendo ingawa wanahubiri uzalendo.
 
Serikali imeshindwa kuendesha kivuko Cha Magogoni Ferry,
Azam amewekeza ktk usafiri wa maji, Sasa hivi ndo anatoa huduma/ Biashara ya akuvusha watu pale ferry, kwa Uwakika kabisa. Na watu Wengi wanaona Bora wapande kivuko cha Azam kuliko cha Serikali.
Kivuko kilichopo, kitakufa kama vilivyokufa vingine, Swali la kujiuliza inamaana Azam ni borq sana kwenye utendaji kazi kuliko Serikali.
Inamaana Serikali inazidiwa na mtu Binafsi.
Vivuko vyote vimekufa, Je, huu ni mtazamo wangu, au Kuna watu wamehusika kukihujumu kivuko vife/ viwe vibovu vishindwe kufanya kazi.
Ninachoona kwa mtazamo wangu kivuko kilichopo ni kibovu, nacho kinaenda kwa kusua sua nacho kitakufa.
Baada ya vivuko vyote Kufa, Azam anabudi kupewa kivuko kuendesha, maana na Tafsiri yake Watu wanapewa Dhamana ktk shughuri za Serikali sio waaminifu na sio wazalendo ingawa wanahubiri uzalendo.

"Black people are good for nothing apart from indulging in sex and having so many wives."

Pieter W. Botha, a former President of South Africa during the Apartheid era.
 
Serikali imeshindwa kuendesha kivuko Cha Magogoni Ferry,
Azam amewekeza ktk usafiri wa maji, Sasa hivi ndo anatoa huduma/ Biashara ya akuvusha watu pale ferry, kwa Uwakika kabisa. Na watu Wengi wanaona Bora wapande kivuko cha Azam kuliko cha Serikali.
Kivuko kilichopo, kitakufa kama vilivyokufa vingine, Swali la kujiuliza inamaana Azam ni borq sana kwenye utendaji kazi kuliko Serikali.
Inamaana Serikali inazidiwa na mtu Binafsi.
Vivuko vyote vimekufa, Je, huu ni mtazamo wangu, au Kuna watu wamehusika kukihujumu kivuko vife/ viwe vibovu vishindwe kufanya kazi.
Ninachoona kwa mtazamo wangu kivuko kilichopo ni kibovu, nacho kinaenda kwa kusua sua nacho kitakufa.
Baada ya vivuko vyote Kufa, Azam anabudi kupewa kivuko kuendesha, maana na Tafsiri yake Watu wanapewa Dhamana ktk shughuri za Serikali sio waaminifu na sio wazalendo ingawa wanahubiri uzalendo.
Idara ya Usalama wa Taifa umelala fofofo
 
Kile walichopeleka kenya vipi
Ukitaka kuzilaumu serikali za Black Africa utachoka.

Kuna sehemu wako vizuri hapo wanafanya mbinu kuwa vizuri nayo ni kuhakikisha wanabaki madarakani.. hayo mengine washajiandikiaga F ila la kujibakiza madarakani wana A*
 
Nina wazo na kuhusu mchezo uliofanywa ferry, kuanzia mwaka 2019- 2022 ule unekana kabisa ni mipango mikakati, ndo umehusika pale.
 
Serikali haijashindwa kuendesha hiko kivuko. Tungeachiwa moja tungelia, Azam Marine sasa zinatumika kuvusha abiria kati ya Magogoni na Kigamboni kutokana na makubaliano kati ya Wakala wa Ufundi na Umeme Tanzania (TEMESA) na kampuni ya Azam Marine. Ili kutoa huduma ya uhakika wakati ambapo vivuko vya serikali vinafanyiwa matengenezo makubwa ili kuhakikisha vinakuwa katika hali bora na salama zaidi.
Pia, maboresho haya yanajumuisha ujenzi wa maeneo mapya ya kupokelea na kusubiria abiria, pamoja na mipango ya kuongeza maeneo ya kutia nanga ili kuruhusu feri tatu kufanya kazi kwa wakati mmoja. Na ndio maana azam marine yupo pale. Siku za nyuma tulikua tunafix tu, sahvi zinatengenezwa kwa ubora zaidi.
 
Serikali haijashindwa kuendesha hiko kivuko. Tungeachiwa moja tungelia, Azam Marine sasa zinatumika kuvusha abiria kati ya Magogoni na Kigamboni kutokana na makubaliano kati ya Wakala wa Ufundi na Umeme Tanzania (TEMESA) na kampuni ya Azam Marine. Ili kutoa huduma ya uhakika wakati ambapo vivuko vya serikali vinafanyiwa matengenezo makubwa ili kuhakikisha vinakuwa katika hali bora na salama zaidi.
Pia, maboresho haya yanajumuisha ujenzi wa maeneo mapya ya kupokelea na kusubiria abiria, pamoja na mipango ya kuongeza maeneo ya kutia nanga ili kuruhusu feri tatu kufanya kazi kwa wakati mmoja. Na ndio maana azam marine yupo pale. Siku za nyuma tulikua tunafix tu, sahvi zinatengenezwa kwa ubora zaidi.

Ulichoandika wewe mwenyewe unakielewa kweli?
 
Hiyo ndo proof Kwamba serikali haitakiwi kufanya biashara .
Yale Yale ya Mwendokasi .Miundo mbinu ipo safi mabasi hakuna.
Mabasi ambayo unaweza kuagiza leo kabla ya mwezi kuisha yameshaingia lakini wananchi wanadhalilika Kila siku serikali ipo tu .
 
Serikali haijashindwa kuendesha hiko kivuko. Tungeachiwa moja tungelia, Azam Marine sasa zinatumika kuvusha abiria kati ya Magogoni na Kigamboni kutokana na makubaliano kati ya Wakala wa Ufundi na Umeme Tanzania (TEMESA) na kampuni ya Azam Marine. Ili kutoa huduma ya uhakika wakati ambapo vivuko vya serikali vinafanyiwa matengenezo makubwa ili kuhakikisha vinakuwa katika hali bora na salama zaidi.
Pia, maboresho haya yanajumuisha ujenzi wa maeneo mapya ya kupokelea na kusubiria abiria, pamoja na mipango ya kuongeza maeneo ya kutia nanga ili kuruhusu feri tatu kufanya kazi kwa wakati mmoja. Na ndio maana azam marine yupo pale. Siku za nyuma tulikua tunafix tu, sahvi zinatengenezwa kwa ubora zaidi.
Tusijazane Siasa, na Mimi sio mwanasia, Haya mambo ya kuoneana aibu kusema ukweli ndomana waafrica Kila Jambo atuwezi kulifanya kwa ustadi 100%
 
Tusijazane Siasa, na Mimi sio mwanasia, Haya mambo ya kuoneana aibu kusema ukweli ndomana waafrica Kila Jambo atuwezi kulifanya kwa ustadi 100%
Sawa wewe sio mwana siasa, ulitaka siasa iliyomleta azam marine, wasizilete na zipo zimepaki tu pale, tubaki na MV kazi? Tusubirie almost 80 mins kupanda kuvuka? Serious?
 
Sawa wewe sio mwana siasa, ulitaka siasa iliyomleta azam marine, wasizilete na zipo zimepaki tu pale, tubaki na MV kazi? Tusubirie almost 80 mins kupanda kuvuka? Serious?
100% Kivuko kimewashinda Serikali sio kuremba kwa maelezo au kupaka mafuta, mradi wa mwendo kasi nao unasua sua. Kiufupi nao umewashinda Tayari, Bado kumleta tu Mtu wakuja kuwasaidia, Sasa, Swali la kujiuliza Serikali inaweza Nini...
 
"Black people are good for nothing apart from indulging in sex and having so many wives."

Pieter W. Botha, a former President of South Africa during the Apartheid era.
Mleta mada kama anaakili ya kiuchambuzi na kimantiki asome hii👆👆👆 koment vitu binavyotokea Afrika sio vya kuumiza kicha kabisa.Ni mambo yalitarajiwa tangu enzi na enzi.
 
Back
Top Bottom