KERO Kivuko Kigamboni ni changamoto kubwa

KERO Kivuko Kigamboni ni changamoto kubwa

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua

Parit

New Member
Joined
Jan 1, 2014
Posts
4
Reaction score
3
Kwa siku za hivi karibuni kivuko hiki kimekuwa ni changamoto kubwa. Kwa sasa wananchi wengi walio na haraka kuelekea kazini wanalazimika kutumia bodaboda kupitia Daraja la Nyerere ambayo hii ni gharama kubwa sana ukizingatia kipato cha mtanzania.

Hili ni suala ambalo limeendelea kuwafanya wananchi kuuliza maswali mengi na kuwafanya wafikirie kuhusu uongozi mbadala wa ule uliopo sasa.
 
Kwa siku za hivi karibuni kivuko hiki kimekuwa ni changamoto kubwa. Kwa sasa wananchi wengi walio na haraka kuelekea kazini wanalazimika kutumia bodaboda kupitia Daraja la Nyerere ambayo hii ni gharama kubwa sana ukizingatia kipato cha mtanzania.
Kimekuwa changamoto kivipi?
 
Kwa siku za hivi karibuni kivuko hiki kimekuwa ni changamoto kubwa. Kwa sasa wananchi wengi walio na haraka kuelekea kazini wanalazimika kutumia bodaboda kupitia Daraja la Nyerere ambayo hii ni gharama kubwa sana ukizingatia kipato cha mtanzania.

Hili ni suala ambalo limeendelea kuwafanya wananchi kuuliza maswali mengi na kuwafanya wafikirie kuhusu uongozi mbadala wa ule uliopo sasa.

Daraja la kigamboni mkopo wa NSSF unaisha lini? Bora siku hizi kuna daraja ,zamani enzi za MV usiwe Kupe,MV Dezo na MV Alina kama pantoni likiharibika na upo kigamboni inakubidi uzunguke Kibada->Kongowe->Mbagala kwenda mjini....Enzi hizo nafanya kibarua TAZAMA maana jioni msaada wa kivuko cha TIPER au TAFICO hakivushi.
 
The main reason kwanini siwezi kuishi Kigamboni.
 
Back
Top Bottom