🤣🤣🤣SHIDA YA WATZ KUPEWA KATINA MPYA NI HOFU YA KUUVUNJA MUUNGANO WA NYERERE AMBAO KIMSINGI MUUNGANO HUO HAUPO KILA RAIS AJAYE ANAOGOPA KIVULI CHA NYERERE. NA KWA SABABU HIYO TZ INARUDISHWA NYUMA. SIKUTEGEMEA KAMA ALIYEKUWA MWEKITI WA BUNGE LA KATIBA NAYE ANGEONA KUWA SI WAKATI MUAFAKA.
SHIDA YA WATZ KUPEWA KATINA MPYA NI HOFU YA KUUVUNJA MUUNGANO WA NYERERE AMBAO KIMSINGI MUUNGANO HUO HAUPO KILA RAIS AJAYE ANAOGOPA KIVULI CHA NYERERE. NA KWA SABABU HIYO TZ INARUDISHWA NYUMA. SIKUTEGEMEA KAMA ALIYEKUWA MWEKITI WA BUNGE LA KATIBA NAYE ANGEONA KUWA SI WAKATI MUAFAKA.
Sijaweza kusoma haki, nimeshtuka that capital lettersBwashee unayemkoromea kwa maherufi makubwa hayo nani sasa? Kwani unadhani ukiandika kwa herufi ndogo hautaeleweka?
kuna wasiwasi kwamba endapo Zanzibar itapewa mamlaka kamili kama nchi ndani ya Muungano wa nchi mbili basi huenda huko mbele Zanzibar wakapata Rais ambaye ataifanya Zanzibar kujiunga ama kuingia mikataba ambayo itaathiri Tanzania bara ki ulinzi na usalama.Shida ya watanzania kupewa Katiba Mpya ni hofu ya kuuvunja Muungano wa Nyerere ambao kimsingi Muungano huo haupo kila Rais ajaye anaogopa kivuli cha Nyerere.
Na kwa sababu hiyo Tanzania inarudishwa nyuma. Sikutegemea kama aliyekuwa Mwenyekiti wa Bunge la Katiba naye angeona kuwa si wakati muafaka.
Hujui hata unachoandika,OAC ndiyo nini!?..hiyo athari ya usalama kwa Uganda iliyojiungaOAC(OIC) ni ipi!?..ni hofu/chuki dhidi ya uislam mliyojijengea kwa vizazikuna wasiwasi kwamba endapo Zanzibar itapewa mamlaka kamili kama nchi ndani ya Muungano wa nchi mbili basi huenda huko mbele Zanzibar wakapata Rais ambaye ataifanya Zanzibar kujiunga ama kuingia mikataba ambayo itaathiri Tanzania bara ki ulinzi na usalama.
Kumbukeni sakata na Zanzibar kujiunga na OAC miaka ya nyuma.
ushaelewa ndiyo maana ume-comment, CCM haiwezi kuiacha Zazibar ikapata mamlaka kamili ya kidola, huo ndiyo wasiwasi wao na ndiyo maana katiba pendekezwa ya Jaji Warioba ikaishia kabatini.Hujui hata unachoandika,OAC ndiyo nini!?..hiyo athari ya usalama kwa Uganda iliyojiungaOAC(OIC) ni ipi!?..ni hofu/chuki dhidi ya uislam mliyojijengea kwa vizazi
Ukivunja muungano Zanzibar haitaweza hata kulipa mishahara yake yenyewe achana kabisa na maendeleoShida ya watanzania kupewa Katiba Mpya ni hofu ya kuuvunja Muungano wa Nyerere ambao kimsingi Muungano huo haupo kila Rais ajaye anaogopa kivuli cha Nyerere.
Na kwa sababu hiyo Tanzania inarudishwa nyuma. Sikutegemea kama aliyekuwa Mwenyekiti wa Bunge la Katiba naye angeona kuwa si wakati muafaka.
Sisi tunataka muungano uvunjwe wazanzibar muondoke huku baraHujui hata unachoandika,OAC ndiyo nini!?..hiyo athari ya usalama kwa Uganda iliyojiungaOAC(OIC) ni ipi!?..ni hofu/chuki dhidi ya uislam mliyojijengea kwa vizazi
Siyo ccm,Bali Dola..na sababu anazo lukuvi,kamuulizeushaelewa ndiyo maana ume-comment, CCM haiwezi kuiacha Zazibar ikapata mamlaka kamili ya kidola, huo ndiyo wasiwasi wao na ndiyo maana katiba pendekezwa ya Jaji Warioba ikaishia kabatini.
Aliyetaka muungano ni mbara,kwa maelekezo ya mabwana zake..kwa Sasa ajenda za mabwana zimeisha,kilichobaki ni zile sababu aluzosema lukuvi na yule kasisi kule Zanzibar mwaka 2006Sisi tunataka muungano uvunjwe wazanzibar muondoke huku bara
Ondokeni mrudi kwenuAliyetaka muungano ni mbara,kwa maelekezo ya mabwana zake..kwa Sasa ajenda za mabwana zimeisha,kilichobaki ni zile sababu aluzosema lukuvi na yule kasisi kule Zanzibar mwaka 2006
Una uhakika wewe ni mtanzania!?Ondokeni mrudi kwenu
Ndiyo maana nipo TanzaniaUna uhakika wewe ni mtanzania!?
Hakuna Tanzania bila zanzibarNdiyo maana nipo Tanzania
Ondokeni hatunufaiki na chochoteHakuna Tanzania bila zanzibar
Vunja muunganoOndokeni hatunufaiki na chochote