Kivuli cha Hayati Mwalimu Nyerere kinawatisha

Kivuli cha Hayati Mwalimu Nyerere kinawatisha

Sisi tunataka muungano uvunjwe wazanzibar muondoke huku bara
mkuu Muungano mbona kama naona unavunjika kirahisi sana ati kwa kufanya yafuatayo tu

1. kuwafufua Nyerere na Karume wasaini makubaliano ya kuvunja Muungano
2.Kuchukua ule mchanga uliochanganywa 1964 na kuutenganisha wa Zenji na wa bara
3. Kuchukua hati ya Muungano na kwenda nayo UN kuichana mbele ya Biden na Putin
4. Kuondoa wazenji wote Bara kuwarudisha Zenji pamoja na two Zanzibar finest Fei Toto na Mama pamoja na kurudisha wabara wote kwao Manzese kwa Binti Madenge
5. Kujenga makanisa 1000 Zenji na kuruhusu watu wapige msosi barabarani mwezi mtukufu pale mji mkongwe
6. Kumuondoa dikteta Miwani Makengeza bin Mmbowe kwenye kiti apishe wengine
7. Kuzuia Mama kuzunguka dunia kutafuta pesa za kuijenga bongo iwe kama mtoni
8. Kumruhusu Mbaatia kuendelea na uenyekiti
9. Kumzuia Mayele kuifunga Simba na wananchi kutetema
10. Simba kuifunga Yanga CCM Kirumba bila Boko kumrukia Aucho injini ya Yanga

in short kuwaza muungano kuvunjika ni ndoto za mchana si kwenye miaka hii labda 100 years , unaonaje ukiwaza kupata pesa ndefu utakatishe!
mkuu ni vizuri binadamu kuwaza vitu realistic ili kupata afya ya mwili na roho.

Soma
International Marine Laws and Delimitation Treaty itakusaidia kujua Muungano wetu hauvunjiki
 
mkuu Muungano mbona kama naona unavunjika kirahisi sana ati kwa kufanya yafuatayo tu

1. kuwafufua Nyerere na Karume wasaini makubaliano ya kuvunja Muungano
2.Kuchukua ule mchanga uliochanganywa 1964 na kuutenganisha wa Zenji na wa bara
3. Kuchukua hati ya Muungano na kwenda nayo UN kuichana mbele ya Biden na Putin
4. Kuondoa wazenji wote Bara kuwarudisha Zenji pamoja na two Zanzibar finest Fei Toto na Mama pamoja na kurudisha wabara wote kwao Manzese kwa Binti Madenge
5. Kumuondoa dikteta Miwani Makengeza bin Mmbowe kwenye kiti apishe wengine

in short kuwaza muungano kuvunjika ni ndoto za mchana si kwenye miaka hii labda 100 years , unaonaje ukiwaza kupata pesa ndefu utakatishe!
Lazima tuuvunje tumechoka
 
Katiba mpya itakuwa nzuri kama ikidaiwa na wanainchi wenyewe kupitia asasi za kiraia ila sio vyama vya siasa ambavyo wao wanajali maslahi yao na vyeo zaidi kuliko maslahi ya wananchi.

Hivi sasa vyama vya siasa vimegeuza katiba mpya kama ndio agenda yao, na sio agenda ya wananchi tena, wananchi wengi hawana habari na katiba mpya wao wanapambana na makali ya maisha, swali la kujiuliza je katiba mpya ikija itapunguza ugumu wa maisha kwa mtanzania? Na kama ndivyo ni vipengele vipi hivyo vitachagiza hilo? Kwa nini visiwekwe kwenye katiba hii iliyopo tukasonga mbele..

Katiba mpya inaweza kuwa ni muhimu ila bado wananchi wengi hawana uelewa wa kutosha nini hasa kipo humo kwenye katiba mpya, makundi kama ya wakulima na wafugaji ndio kabisa sijui hata kama maslahi yao yameelezwa kwenye katiba. Isije ikawa ni katiba inayobeba agenda za kisiasa zaidi kuliko agenda za maendeleo ya wananchi. Elimu ya kutosha inahitajika kabla ya kuanza kudai katiba mpya.
Vyama vya siasa vinjengwa na nani?
 
Katiba mpya itakuwa nzuri kama ikidaiwa na wanainchi wenyewe kupitia asasi za kiraia ila sio vyama vya siasa ambavyo wao wanajali maslahi yao na vyeo zaidi kuliko maslahi ya wananchi.

Hivi sasa vyama vya siasa vimegeuza katiba mpya kama ndio agenda yao, na sio agenda ya wananchi tena, wananchi wengi hawana habari na katiba mpya wao wanapambana na makali ya maisha, swali la kujiuliza je katiba mpya ikija itapunguza ugumu wa maisha kwa mtanzania? Na kama ndivyo ni vipengele vipi hivyo vitachagiza hilo? Kwa nini visiwekwe kwenye katiba hii iliyopo tukasonga mbele..

Katiba mpya inaweza kuwa ni muhimu ila bado wananchi wengi hawana uelewa wa kutosha nini hasa kipo humo kwenye katiba mpya, makundi kama ya wakulima na wafugaji ndio kabisa sijui hata kama maslahi yao yameelezwa kwenye katiba. Isije ikawa ni katiba inayobeba agenda za kisiasa zaidi kuliko agenda za maendeleo ya wananchi. Elimu ya kutosha inahitajika kabla ya kuanza kudai katiba mpya.
Ndugu yangu,
Wananchi wengi wa kawaida hapa nchini, bado wanaishi kwenye mashaka, hofu na uoga uliyopandikizwa na awamu ya tano. Kwa hali ilivyo, watajivuta sana kabla ya kujitokeza wenyewe na kuanza kushiriki kudai Katiba mpya.
Katika kipindi hiki NYIE wenye mwanga wa uelewa, mnatakiwa kuungana SASA na hawa waliyoonyesha UJASIRI, ili muweze kuimarisha maslahi ya wananchi. Asasi za kiraia nazo watakiwa kuzinduka SASA, waanze kuhamasisha na kutoa elimu kwa wananchi. AMEN
 
Hofu ya muungano ni kuchukuliwa kwa kigambon na sehem ya pwan ya tanganyika maana mjerunan alipokua anakabidh mamlaka ya kolon baada ya kudundwa na muingereza alitamka kwenyee maandish kua tukianza na ziwa malaw au ziwa nyasa ziwa litakua mali ya malawi eneo la fukwe upande wa tanganyika ndio mpaka wa nch na nch n akwa zanzibar sultan apewe kilomita 16 ku toka pwan kuingia ndan ya tanganyika ndio uwe mpaka sasa zanzibar ikiwa huru itataka haki yake bora tuwabinyr kiroho mbaya tu
 
Wavivu wakubwa nyie, mpaka umeme tunawalipia mnatumia bure
Una ushahidi hatulipii!?..kwa hela gani mliyo nayo mpaka mtulipie umeme!!..kabla ya muungano tuliomba chakula bara!?..ulishawahi sikia Zanzibar Kuna njaa serikali inagawa chakula,au huko kwenu!?
 
Back
Top Bottom