Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Ndiyo tunataka hicho tuVunja muungano
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndiyo tunataka hicho tuVunja muungano
mkuu Muungano mbona kama naona unavunjika kirahisi sana ati kwa kufanya yafuatayo tuSisi tunataka muungano uvunjwe wazanzibar muondoke huku bara
Lazima tuuvunje tumechokamkuu Muungano mbona kama naona unavunjika kirahisi sana ati kwa kufanya yafuatayo tu
1. kuwafufua Nyerere na Karume wasaini makubaliano ya kuvunja Muungano
2.Kuchukua ule mchanga uliochanganywa 1964 na kuutenganisha wa Zenji na wa bara
3. Kuchukua hati ya Muungano na kwenda nayo UN kuichana mbele ya Biden na Putin
4. Kuondoa wazenji wote Bara kuwarudisha Zenji pamoja na two Zanzibar finest Fei Toto na Mama pamoja na kurudisha wabara wote kwao Manzese kwa Binti Madenge
5. Kumuondoa dikteta Miwani Makengeza bin Mmbowe kwenye kiti apishe wengine
in short kuwaza muungano kuvunjika ni ndoto za mchana si kwenye miaka hii labda 100 years , unaonaje ukiwaza kupata pesa ndefu utakatishe!
Vyama vya siasa vinjengwa na nani?Katiba mpya itakuwa nzuri kama ikidaiwa na wanainchi wenyewe kupitia asasi za kiraia ila sio vyama vya siasa ambavyo wao wanajali maslahi yao na vyeo zaidi kuliko maslahi ya wananchi.
Hivi sasa vyama vya siasa vimegeuza katiba mpya kama ndio agenda yao, na sio agenda ya wananchi tena, wananchi wengi hawana habari na katiba mpya wao wanapambana na makali ya maisha, swali la kujiuliza je katiba mpya ikija itapunguza ugumu wa maisha kwa mtanzania? Na kama ndivyo ni vipengele vipi hivyo vitachagiza hilo? Kwa nini visiwekwe kwenye katiba hii iliyopo tukasonga mbele..
Katiba mpya inaweza kuwa ni muhimu ila bado wananchi wengi hawana uelewa wa kutosha nini hasa kipo humo kwenye katiba mpya, makundi kama ya wakulima na wafugaji ndio kabisa sijui hata kama maslahi yao yameelezwa kwenye katiba. Isije ikawa ni katiba inayobeba agenda za kisiasa zaidi kuliko agenda za maendeleo ya wananchi. Elimu ya kutosha inahitajika kabla ya kuanza kudai katiba mpya.
Ndugu yangu,Katiba mpya itakuwa nzuri kama ikidaiwa na wanainchi wenyewe kupitia asasi za kiraia ila sio vyama vya siasa ambavyo wao wanajali maslahi yao na vyeo zaidi kuliko maslahi ya wananchi.
Hivi sasa vyama vya siasa vimegeuza katiba mpya kama ndio agenda yao, na sio agenda ya wananchi tena, wananchi wengi hawana habari na katiba mpya wao wanapambana na makali ya maisha, swali la kujiuliza je katiba mpya ikija itapunguza ugumu wa maisha kwa mtanzania? Na kama ndivyo ni vipengele vipi hivyo vitachagiza hilo? Kwa nini visiwekwe kwenye katiba hii iliyopo tukasonga mbele..
Katiba mpya inaweza kuwa ni muhimu ila bado wananchi wengi hawana uelewa wa kutosha nini hasa kipo humo kwenye katiba mpya, makundi kama ya wakulima na wafugaji ndio kabisa sijui hata kama maslahi yao yameelezwa kwenye katiba. Isije ikawa ni katiba inayobeba agenda za kisiasa zaidi kuliko agenda za maendeleo ya wananchi. Elimu ya kutosha inahitajika kabla ya kuanza kudai katiba mpya.
Vunja,unangoja nini!?..tutangaze jamhuri ya kiislam ya zanzibarNdiyo tunataka hicho tu
Mtakufa njaa wapuuzi wakubwaVunja,unangoja nini!?..tutangaze jamhuri ya kiislam ya zanzibar
Kabla ya muungano ulisikia tumekufa njaa au kuleta bakuli bara!?Mtakufa njaa wapuuzi wakubwa
Wavivu wakubwa nyie, mpaka umeme tunawalipia mnatumia bureKabla ya muungano ulisikia tumekufa njaa au kuleta bakuli bara!?
Una ushahidi hatulipii!?..kwa hela gani mliyo nayo mpaka mtulipie umeme!!..kabla ya muungano tuliomba chakula bara!?..ulishawahi sikia Zanzibar Kuna njaa serikali inagawa chakula,au huko kwenu!?Wavivu wakubwa nyie, mpaka umeme tunawalipia mnatumia bure