Kivuli cha Rais Magufuli kitalitesa taifa na kitamtesa Rais ajaye

Kivuli cha Rais Magufuli kitalitesa taifa na kitamtesa Rais ajaye

Superbug

JF-Expert Member
Joined
Jan 31, 2018
Posts
13,864
Reaction score
35,079
Ni wazi kwamba kwasasa Rais Magufuli anaogopwa Sana kuliko mtanzania yeyote aliyewahi kuwako mpaka Sasa. Nadhani Rais magufuli anaogopwa kuliko alivyoogopwa Nyerere aka mchonga Mwinyi, Mkapa na Kikwete.

Hivyo basi nadhani hata atakapostaafu kivuli chake kitakuwa na nguvu sana ndani ya taifa, serikali ijayo na Rais ajae.

Nadhani hata Rais ajae akisikia jina la Magufuli atakuwa anatetemeka kwasababu ya kile kivuli chake bado kitakuwa na nguvu.

Kwa viwango vyovyote Rais Magufuli sio dikteta kiviile Kama anavyosemwa kwenye social media ila narudia Tena ila tukipata Rais atakayemzidi ukali Magufuli hapo tutakuwa tumepata dikteta kamili haswaaa.

Kwasasa naendelea kuamini rais Magufuli ni mwajibikaji wa kawaida ambae hatukuzoea viongozi wetu wawe hivyo na pia anateleza kibinadamu kwasababu pengine washauri wake wanamwogopa.

Jambo moja nadhani ni hakika Rais Magufuli atakuwa na nguvu kubwa hata baada ya kustaafu urais mwaka 2025. Sababu kubwa ni namna anavyowapelekesha watu wema na wazembe katika utendaji wake.
 
Tofautisha kati ya kuogopwa na kuwatisha watu ili wakuogope!! Kwenye uongozi wala sifa kuu ya kufanikiwa sio kuwafanya watu wakuogope!

Ingekuwa ni kuogopwa toka ameingia madarakani hadi sasa usingesikia kuna pesa zinapigwa! Mbona bado mambo hayaendi?!! Cha muhimu ni kutengeneza mifumo! Mtu anasema ndio maana sitaki kwenda ulaya huku majizi yataiba? Kweli?
 
Hii nimeiona pahala, sorry ni kwa lugha ingine inamhusu Putin wa Urusi:

"Putin, after all, is a post-modern dictator. His regime has to a large extent maintained itself not through fear and force, but apathy. Russians have been convinced that, however imperfect, what they have is about the best for which they could hope.

They have also been sold the idea that there is no point in politics. In a stage-managed fake democracy, the ‘opposition’ parties are toothless and ugly, so why vote for them? If change is impossible, why risk persecution by working for it"

Inamalizikia hivi:
"The more the current regime is revealed as an authoritarian tribalcracy, the less it can claim legitimacy. And the longer the opposition can survive, the greater the chances of rekindling optimism and hope amongst those many Russians unhappy with the status quo"

Wenziwe nao walikua hivyohivyo.
 
Serikali imekua yaki jambazi, bank wanakwapua hela za watu bila taarifa, mitandao ya simu gharama hazikamatiki, kodi zimepanda maradufu, makato kwenye mishahara ni kizaizai, trafic na madereva ni kuwindana kama wanyama pori, TRA ni kubambikizana kodi, bei za vyakula kizunguzungu.
 
Niwazi kwamba kwasasa rais Magufuli anaogopwa Sana kuliko mtanzania yeyote aliyewahi kuwako mpaka Sasa.
Nadhani rais magufuli anaogopwa kuliko alivyoogopwa nyerere aka mchonga mwinyi mkapa na kikwete.

Hivyo basi nadhani hata atakapostahafu kivuli chake kitakuwa na nguvu sana ndani ya taifa serikali ijayo na rais ajae.

Nadhani hata rais ajae akisikia jina la magufuli atakuwa anatetemeka kwasababu ya kill kivuli chake bado kitakuwa na nguvu.

Kwa viwango vyovyote rais magufuli sio dikteta kiviiile Kama anavyosemwa kwenye social media ila narudia Tena ila tukipata rais atakayemzidi ukali magufuli hapo tutakuwa tumepata dikteta kamili haswaaa.
Kwasasa naendelea kuamini rais Magufuli ni mwajibikaji wa kawaida ambae hatukuzoea viongozi wetu wawe hivyo na pia anateleza kibinadamu kwasababu pengine washauri wake wanamwogopa.

Jambo moja nadhani ni hakika rais magufuli atakuwa na nguvu kubwa hata baada ya kustahafu urais mwaka 2025. Sababu kubwa ni namna anavyowapelekesha watu wema na wazembe katika utendaji wake.
Si mnamwogopa huko CCM Vilaza wenzie? Mchache wa Maarifa kama huyu nani amwogope?

Wanaogopwa wenye akili, siyo Kilaza kama huyu
 
20210201_204424.jpg
 
Mheshimiwa Ally Kessy Hili Jambo Lako Kaanalo Inshallah
Bunge Lijalo Ulilete Wewe Mwenyewe, Atake Asitake
Katiba Siyo Msahafu, Huyu Atawale Milele!!
🙁😖😞😟☹😲🤤😒😪😯🤐😮😥😣😴😌😞😖🙁😅😄😃
Nasuburi huyo mh. apeleke hilo ombi lake 😂😂😂😂😂😂😂
 
Nasuburi huyo mh. apeleke hilo ombi lake [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Saizi yuko nje ya mrija hawezi tamani tena ata kuyaskia matamashi yake mwenyewe manake, yale maneno unaeza kuyatamka tu pale unapokua unanufaika na uwepo wa rais kama hunufaiki huwez yasema
 
Ni wazi kwamba kwasasa Rais Magufuli anaogopwa Sana kuliko mtanzania yeyote aliyewahi kuwako mpaka Sasa.
Nadhani Rais magufuli anaogopwa kuliko alivyoogopwa Nyerere aka mchonga Mwinyi, Mkapa na Kikwete.

Hivyo basi nadhani hata atakapostaafu kivuli chake kitakuwa na nguvu sana ndani ya taifa, serikali ijayo na Rais ajae.

Nadhani hata Rais ajae akisikia jina la Magufuli atakuwa anatetemeka kwasababu ya kile kivuli chake bado kitakuwa na nguvu.

Kwa viwango vyovyote Rais Magufuli sio dikteta kiviiile Kama anavyosemwa kwenye social media ila narudia Tena ila tukipata Rais atakayemzidi ukali Magufuli hapo tutakuwa tumepata dikteta kamili haswaaa.
Kwasasa naendelea kuamini rais Magufuli ni mwajibikaji wa kawaida ambae hatukuzoea viongozi wetu wawe hivyo na pia anateleza kibinadamu kwasababu pengine washauri wake wanamwogopa.

Jambo moja nadhani ni hakika Rais Magufuli atakuwa na nguvu kubwa hata baada ya kustaafu urais mwaka 2025. Sababu kubwa ni namna anavyowapelekesha watu wema na wazembe katika utendaji wake.
Huyu kiumbe atapata tabu sana akijidanganya kuondoka ikulu maana aliyoyafanya kwa taifa hili na watu wake ni MUNGU tu anayejua
 
Ni wazi kwamba kwasasa Rais Magufuli anaogopwa Sana kuliko mtanzania yeyote aliyewahi kuwako mpaka Sasa.
Nadhani Rais magufuli anaogopwa kuliko alivyoogopwa Nyerere aka mchonga Mwinyi, Mkapa na Kikwete.

Hivyo basi nadhani hata atakapostaafu kivuli chake kitakuwa na nguvu sana ndani ya taifa, serikali ijayo na Rais ajae.

Nadhani hata Rais ajae akisikia jina la Magufuli atakuwa anatetemeka kwasababu ya kile kivuli chake bado kitakuwa na nguvu.

Kwa viwango vyovyote Rais Magufuli sio dikteta kiviiile Kama anavyosemwa kwenye social media ila narudia Tena ila tukipata Rais atakayemzidi ukali Magufuli hapo tutakuwa tumepata dikteta kamili haswaaa.
Kwasasa naendelea kuamini rais Magufuli ni mwajibikaji wa kawaida ambae hatukuzoea viongozi wetu wawe hivyo na pia anateleza kibinadamu kwasababu pengine washauri wake wanamwogopa.

Jambo moja nadhani ni hakika Rais Magufuli atakuwa na nguvu kubwa hata baada ya kustaafu urais mwaka 2025. Sababu kubwa ni namna anavyowapelekesha watu wema na wazembe katika utendaji wake.
next president hatakua na shida bali kurudisha njia bora za uatawala tu
 
Back
Top Bottom