Superbug
JF-Expert Member
- Jan 31, 2018
- 13,864
- 35,079
Ni wazi kwamba kwasasa Rais Magufuli anaogopwa Sana kuliko mtanzania yeyote aliyewahi kuwako mpaka Sasa. Nadhani Rais magufuli anaogopwa kuliko alivyoogopwa Nyerere aka mchonga Mwinyi, Mkapa na Kikwete.
Hivyo basi nadhani hata atakapostaafu kivuli chake kitakuwa na nguvu sana ndani ya taifa, serikali ijayo na Rais ajae.
Nadhani hata Rais ajae akisikia jina la Magufuli atakuwa anatetemeka kwasababu ya kile kivuli chake bado kitakuwa na nguvu.
Kwa viwango vyovyote Rais Magufuli sio dikteta kiviile Kama anavyosemwa kwenye social media ila narudia Tena ila tukipata Rais atakayemzidi ukali Magufuli hapo tutakuwa tumepata dikteta kamili haswaaa.
Kwasasa naendelea kuamini rais Magufuli ni mwajibikaji wa kawaida ambae hatukuzoea viongozi wetu wawe hivyo na pia anateleza kibinadamu kwasababu pengine washauri wake wanamwogopa.
Jambo moja nadhani ni hakika Rais Magufuli atakuwa na nguvu kubwa hata baada ya kustaafu urais mwaka 2025. Sababu kubwa ni namna anavyowapelekesha watu wema na wazembe katika utendaji wake.
Hivyo basi nadhani hata atakapostaafu kivuli chake kitakuwa na nguvu sana ndani ya taifa, serikali ijayo na Rais ajae.
Nadhani hata Rais ajae akisikia jina la Magufuli atakuwa anatetemeka kwasababu ya kile kivuli chake bado kitakuwa na nguvu.
Kwa viwango vyovyote Rais Magufuli sio dikteta kiviile Kama anavyosemwa kwenye social media ila narudia Tena ila tukipata Rais atakayemzidi ukali Magufuli hapo tutakuwa tumepata dikteta kamili haswaaa.
Kwasasa naendelea kuamini rais Magufuli ni mwajibikaji wa kawaida ambae hatukuzoea viongozi wetu wawe hivyo na pia anateleza kibinadamu kwasababu pengine washauri wake wanamwogopa.
Jambo moja nadhani ni hakika Rais Magufuli atakuwa na nguvu kubwa hata baada ya kustaafu urais mwaka 2025. Sababu kubwa ni namna anavyowapelekesha watu wema na wazembe katika utendaji wake.