kivumbiiii

kivumbiiii

Ina maana mtangazaji hatambui utamaduni wetu wa uswazi? na hajui kuwa necha ni mswazi?
 
Guyz, EATV hamna kipindi kama hicho. Kipindi ninachofahamu mimi kinaitwa Friday Night Live na siyo Saturday Night Live. Sometimes tusiwe tunatetea au kuunga mkono ujinga. Kweli mtu uingie studio umevaa malapa, pensi na umelewa halafu mtangazaji akuchekee tu! Tusiwe tunadharau ofisi za watu eti kisa we msanii. Ustaarabu ni kila kitu. Angekuwa amevaa vizuri na kichwani yuko vizuri angerudishwa? kwani ni mara ngapi amekuwa akifanya interviews kwenye kipindi hicho hicho akiwa yuko sawa bila kurudishwa?
NB: Zaidi ya kumjua Sam kupitia vipindi anavyoendesha, sina uhusiano wowote naye. Kama vipi na yeye ajitokeze aeleze yake.

well said mkuu, ustaarabu ndo kila kitu aftreall kila ofisi ina sheria, kanuni na taratibu zake eti kisa TMK sijui uanaume halisi ndo uvae unavyotaka kwny ofisi ya watu na kumtungia nyimbo wakati kafuata utaratibu wa kazi yake huo ni ushamba na ulimbukeni tu
 
Mijeusi kwa kujiumbua yenyewe kwa yenyewe bwana!

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
well said mkuu, ustaarabu ndo kila kitu aftreall kila ofisi ina sheria, kanuni na taratibu zake eti kisa TMK sijui uanaume halisi ndo uvae unavyotaka kwny ofisi ya watu na kumtungia nyimbo wakati kafuata utaratibu wa kazi yake huo ni ushamba na ulimbukeni tu
Umeongea point sana
 
Ndala ni za kuendea bafuni, chanel five wapo sahihi. hata makao makuu ya JWTZ Ngome ukienda umevaa Jeans huruusiwi kuingia getini. kila sehemu na utaratibu wake. Miaka ya nyuma nilishawahi kukataliwa kuingia Le Grand Casino nilikuwa nimevaa pensi.
Sahihi kabisa
 
Back
Top Bottom