Kiwanda bubu cha Mawese ni sawa, ila viwanda bubu vya pombe ni haramu

Kiwanda bubu cha Mawese ni sawa, ila viwanda bubu vya pombe ni haramu

Baraka DSM

Member
Joined
Sep 12, 2017
Posts
68
Reaction score
76
Nimeshangaa sana chapuo wanazopigiwa Mh. Bashe na Zito.

Juzi tu hapa kaskazini kule jamaa ana kiwanda bubu cha pombe kali (Kabrand ka Konyagi) wamemsweka ndani na kumuanika kwenye media kama haramia hatari kisa pombe.

Mbona hamjatoa tamko SIDO wamsaidie nae au tumpe share breweries apeleke ujuzi wake pale wa kuchakata kitu kikali?

Kiwanda bubu cha mawese its ok, unajua huyu asaidiwe apelekwe SIDO ana ujuzi sana na mjasiria mali mzuri na maneno mazuri kibao. Hii sio sawa kabisa ni DOUBLE STANDARD na sisi wanywaji tunataka viwanda bubu vinavyotunywesha vitetewa kwa nguvu zote kama hiki cha Mawese. HATUKUBALI KAMWE kama mbwai na iwe mbwai.

Tunakuomba Mhe. Dkt. Ashatu K. Kijaji uwasidie na wenye viwanda bubu vya Pombe kama Bashe alivyofanya.
 
Kosa la huyu Wa Pombe ni tofauti na huyu Wa Mawese.

Anatengeneza Pombe zake na kuuza kwa kujifanya kuwa yeye ni Konyagi.

Hata ingekuwa ni wewe; je ungekubali mtu atumie majina yako kufanya Biashara zake hata kama ndiyo ubunifu?
 
Wanaingiza siasa kwenye mambo sensitive. Subiri utitiri wa viwanda vya bidhaa feki uanze, si watawasaidia wote tu.
 
Kosa la huyu Wa Pombe ni tofauti na huyu Wa Mawese.

Copyright violation.

Anatengeneza Pombe zake na kuuza kwa kujifanya kuwa yeye ni Konyagi.

Hata ingekuwa ni wewe; je ungekubali mtu atumie majina yako kufanya Biashara zake hata kama ndiyo ubunifu?
Sawa asaidiwe atengeneze brand yake, sbb ata wamawese tumembiwa urasimu wa vibali ni sababu, kwahyo hata hawa wa pombe ishu ni URASIMU WA VIBALI
 
ulishamuona Nani katumia mafuta ya mawese AKADHULIKA?
Ila pombe kila siku tunasikia zinaua asa gongo .
Kwani hujasikia hayo mawese hayana viwango na hayathibitishwa na TBS? Sio pombe tu inaua ata dawa ya meno isipokua na kiwango cha matumizi ya afya ya binadamu inaua.
 
Sawa asaidiwe atengeneze brand yake, sbb ata wamawese tumembiwa urasimu wa vibali ni sababu, kwahyo hata hawa wa pombe ishu ni URASIMU WA VIBALI
Kumsaidia ni kwanza amalizane na aliotumia majina yao kufanya Biashara zake.

Ingekuwa anatengeneza Pombe zake hazina label na zina ubora tungesema asaidike..
 
Kosa la huyu Wa Pombe ni tofauti na huyu Wa Mawese.

Copyright violation.

Anatengeneza Pombe zake na kuuza kwa kujifanya kuwa yeye ni Konyagi.

Hata ingekuwa ni wewe; je ungekubali mtu atumie majina yako kufanya Biashara zake hata kama ndiyo ubunifu?

Nafikiri halijui hilo na kurukia tu
Jamaa yangu alikuwa anauza bidhaa zake kwa jina lake na analipia kila kitu
Jamaa mwingine akawa anakusanya mifuko tena kwa kuwatuma watu wakusanye kwa kuwalipa
Akawa anaweka bidhaa zake humu tena na kiwango anapunguza

Alikuja kuumbuka baada ya wateja wa jamaa yangu kulalamika na ubora pamoja na upungufu wa ujazo
Ndipo akashtuka na kumsaka mwizi wake

Sasa huyu ni wa kumfunga sio kumsaidia hapo ni sawa kabisa na wa Konyagi
 
Sababu sheria na taratibu vipo ukiukwaji wake ni makosa na athari zake zinaweza kuligharimu sana taifa
Sasa cha kushangaza badala watu waangalie ukweli kwa maslahi ya afya zetu wanakua mashabikivipofu

Hadi yawakute ndio watajua kutokusimamiwa kwa hizi bidhaa kuna hatari kiasi gani
 
Nimeshangaa sana chapuo wanazopigiwa Mh, Bashe na Zito.

Juzi tu hapa kaskazini kule jamaa ana kiwanda bubu cha pombe kali (Kabrand ka Konyagi) wamemsweka ndani na kumuanika kwenye media kama haramia hatari kisa pombe.

Mbona hamjatoa tamko SIDO wamsaidie nae au tumpe share breweries apeleke ujuzi wake pale wa kuchakata kitu kikali?

Kiwanda bubu cha mawese its Ok, unajua huyu asaidiwe apelekwe SIDO ana ujuzi sana na mjasiria mali mzuri na maneno mazuri kibao. Hii sio sawa kabisa ni DOUBLE STANDARD na sisi wanywaji tunataka viwanda bubu vinavyotunywesha vitetewa kwa nguvu zote kama hiki cha Mawese. HATUKUBALI KAMWE kama mbwai na iwe mbwai.

Tunakuomba Mhe. Dkt. Ashatu K. Kijaji uwasidie na wenye viwanda bubu vya Pombe kama Bashe alivyofanya.
nchi ina uhaba wa mafuta ya kupikia na siyo konyagi.nadhani tuanzie hapo
 
Mafuta ya mawese hata Kama hayajathibitishwa hayajawahi kuua mtu hayo NI mafuta ya asili ambayo Bibi wa mama yangu alikuwa anayatumia Sana tu.
Miaka ya nyuma na hatujawahi kupata madhara Tena halikuwa yanatoka kigoma moja kwa moja.
Alafu mbona hauulizi mafuta ya Nazi Kama nayo yanadhibitishwa na tbs ?
Mimi naamini ARDHI HAINA MADHARA
Kwani hujasikia hayo mawese hayana viwango na hayathibitishwa na TBS? Sio pombe tu inaua ata dawa ya meno isipokua na kiwango cha matumizi ya afya ya binadamu inaua.
 
nchi ina uhaba wa mafuta ya kupikia na siyo konyagi.nadhani tuanzie hapo


Kwahiyo kukiwa na uhaba wa mafuta wafanyabiashara wazalishe chochote na sisi tutumie chochote bila kujali hata kama ni hatari?
 
Labda Kama haujawahi kuishi mikoa ya bara.
Ila hayo mafuta yanatengenezwa miaka na miaka kwa njia za asili na hakuna kesi hata moja kuwa Kuna mtu alitumia mafuta ya mawese AKADHULIKA.ni sawa na mafuta ya Nazi yanatengenezwa mitaani kwa njia ya asili na tunayatumia
Kwahiyo mkuu tusubiri mpaka mtu adhurike ndio tuchukue hatua?
Remember safety first.
 
Nani umemuona katumia mafuta ya mawese akadhurika
Kwahiyo kukiwa na uhaba wa mafuta wafanyabiashara wazalishe chochote na sisi tutumie chochote bila kujali hata kama ni hatari?
 
Nimeshangaa sana chapuo wanazopigiwa Mh, Bashe na Zito.

Juzi tu hapa kaskazini kule jamaa ana kiwanda bubu cha pombe kali (Kabrand ka Konyagi) wamemsweka ndani na kumuanika kwenye media kama haramia hatari kisa pombe.

Mbona hamjatoa tamko SIDO wamsaidie nae au tumpe share breweries apeleke ujuzi wake pale wa kuchakata kitu kikali?

Kiwanda bubu cha mawese its Ok, unajua huyu asaidiwe apelekwe SIDO ana ujuzi sana na mjasiria mali mzuri na maneno mazuri kibao. Hii sio sawa kabisa ni DOUBLE STANDARD na sisi wanywaji tunataka viwanda bubu vinavyotunywesha vitetewa kwa nguvu zote kama hiki cha Mawese. HATUKUBALI KAMWE kama mbwai na iwe mbwai.

Tunakuomba Mhe. Dkt. Ashatu K. Kijaji uwasidie na wenye viwanda bubu vya Pombe kama Bashe alivyofanya.
Unalinganisha Mafuta ya Mawese na Ujinga ujinga
 
Nafikiri halijui hilo na kurukia tu
Jamaa yangu alikuwa anauza bidhaa zake kwa jina lake na analipia kila kitu
Jamaa mwingine akawa anakusanya mifuko tena kwa kuwatuma watu wakusanye kwa kuwalipa
Akawa anaweka bidhaa zake humu tena na kiwango anapunguza

Alikuja kuumbuka baada ya wateja wa jamaa yangu kulalamika na ubora pamoja na upungufu wa ujazo
Ndipo akashtuka na kumsaka mwizi wake

Sasa huyu ni wa kumfunga sio kumsaidia hapo ni sawa kabisa na wa Konyagi
Wewe ndo umerukia tu, soma vizuri ishu sio brand, ishu ni uwezo wake na apewe msaada wa kuwa na brand yake na awezeshwe MTAJI na utaalamu zaidi, hapo vipi?
 
Back
Top Bottom