Kiwanda bubu cha Mawese ni sawa, ila viwanda bubu vya pombe ni haramu

Kiwanda bubu cha Mawese ni sawa, ila viwanda bubu vya pombe ni haramu

Juzi tu hapa kaskazini kule jamaa ana kiwanda bubu cha pombe kali (Kabrand ka Konyagi) wamemsweka ndani na kumuanika kwenye media kama haramia hatari kisa pombe.

Katengeneza pomba na kaiita 'ka Konyagi' au 'Konyagi'?

Kama ni jina la pili, hadi hapo anakosa kisheria la kutumia brand name ya wengine, na anaweza shitakiwa kulipa mpunga mrefu kwa hasara aliyosababisha...
 
ulishamuona Nani katumia mafuta ya mawese AKADHULIKA?
Ila pombe kila siku tunasikia zinaua asa gongo .
Mkuu magonjwa mengi yanayopata watu sasa na matatizo mengi ni sababu ya kula vyakula visivyo na viwango, kunaweza kutokea contamination inayoweza kugharimu jamii nzima....

Narudia viwanda bubu sio sawa kabisa..., ila kusaidiwa ni jambo la muhimu, na kufuata sheria na taratibu ni muhimu pia.... When it comes to people's healthy tusi-cut corners
 
Ukishakufa ndio utafuata sheria
kwa taarifa yako simu nyingi za kichina unazozikimbilia kkoo hakuna anayezipima kiwango cha mionzi ila unanunua,
kwanini hajatengeneza mbongo.
mimi ninachokiona hapa kwa asilimia kubwa ni WIVU
 
Mkuu magonjwa mengi yanayopata watu sasa na matatizo mengi ni sababu ya kula vyakula visivyo na viwango, kunaweza kutokea contamination inayoweza kugharimu jamii nzima....

Narudia viwanda bubu sio sawa kabisa..., ila kusaidiwa ni jambo la muhimu, na kufuata sheria na taratibu ni muhimu pia.... When it comes to people's healthy tusi-cut corners
Wamesahau hadi thread za wadada kuuliza wale WANAUME WANAOUNGANISHA HAD VITATU WAKO WAPI SIKUHIZI? Hzo ni effects za mavyakula yetu.
 
kwa taarifa yako simu nyingi za kichina unazozikimbilia kkoo hakuna anayezipima kiwango cha mionzi ila unanunua,
kwanini hajatengeneza mbongo.
mimi ninachokiona hapa kwa asilimia kubwa ni WIVU

Kakuambia nani natumia simu za kichina za kariakoo?
Halafu kama unazijua hazijapimwa fuata taratibu za kureport kwa kuilinda afya yako. Acha ujinga wa kutetea ujinga na kuwaambia wanakuambia ukweli wana wana wivu
 
Mkuu magonjwa mengi yanayopata watu sasa na matatizo mengi ni sababu ya kula vyakula visivyo na viwango, kunaweza kutokea contamination inayoweza kugharimu jamii nzima....

Narudia viwanda bubu sio sawa kabisa..., ila kusaidiwa ni jambo la muhimu, na kufuata sheria na taratibu ni muhimu pia.... When it comes to people's healthy tusi-cut corners
Fanya mlinganisho wa magonjwa ya sasa na zamani uone ni lini magonjwa yameongezeka. Mafuta ya mawese sio product mpya hapa nchini
na tunayala hata kwa kuyakamulia kwenye chakula moja kwa moja. nini kipya hapo?
 
Kakuambia nani natumia simu za kichina za kariakoo?
Halafu kama unazijua hazijapimwa fuata taratibu za kureport kwa kuilinda afya yako. Acha ujinga wa kutetea ujinga na kuwaambia wanakuambia ukweli wana wana wivu
wewe usiyekuwa mjinga unaishi huku kwa wajinga kufanya nini?
wahi kwa werevu wenzio tuachie tuishi kwa uhuru.
Huwezi kwenda porini kutafuta ustaarabu wakati wastaarabu wapo town,au umefukuzwa baada ya kujikuta ni mstaarabu wa kiwango cha chini
ukahamia huku uonekane mjanja.
Hatudanganyiki
 
Fanya mlinganisho wa magonjwa ya sasa na zamani uone ni lini magonjwa yameongezeka. Mafuta ya mawese sio product mpya hapa nchini
na tunayala hata kwa kuyakamulia kwenye chakula moja kwa moja. nini kipya hapo?
Tatizo sio product mawese bali ni processing..., wewe kutengeneza juice ya ukwaju nyumbani kwako (ukachemsha maji n.k. au hata usipochemsha) mkanywa na kuleta madhara kwenu ni tofauti na juice ile ya ukwaju ukiwauzia mtaa mzima (hapo lazima viwango viwe bora) uhakikishe unatengeneza kwa usafi usijeleta madhara kiafya kwa mtaa mzima....

Na huko ndipo tunapoelekea labelling na kuhakikisha viwango kwenye chakula cha kulisha jamii vipo sawa (kuna watu wapo allergic mfano na karanga) kwahio muuzaji ana wajibu wa kutoa information ya kila kilichomo kwa kwa kila mlaji....,

Viwanda / Kiwanda sio lelemama hususan linalohusu afya za watu (ndio maana aende Sido ili apate miongozo ambayo itakuwa faida sio kwake tu bali kwa walaji pia)
 
Nimeshangaa sana chapuo wanazopigiwa Mh. Bashe na Zito.

Juzi tu hapa kaskazini kule jamaa ana kiwanda bubu cha pombe kali (Kabrand ka Konyagi) wamemsweka ndani na kumuanika kwenye media kama haramia hatari kisa pombe.

Mbona hamjatoa tamko SIDO wamsaidie nae au tumpe share breweries apeleke ujuzi wake pale wa kuchakata kitu kikali?

Kiwanda bubu cha mawese its ok, unajua huyu asaidiwe apelekwe SIDO ana ujuzi sana na mjasiria mali mzuri na maneno mazuri kibao. Hii sio sawa kabisa ni DOUBLE STANDARD na sisi wanywaji tunataka viwanda bubu vinavyotunywesha vitetewa kwa nguvu zote kama hiki cha Mawese. HATUKUBALI KAMWE kama mbwai na iwe mbwai.

Tunakuomba Mhe. Dkt. Ashatu K. Kijaji uwasidie na wenye viwanda bubu vya Pombe kama Bashe alivyofanya.
Akishaachana na kesi ya copyright infringement dhidi ya Konyagi ndio atafute kusaidiwa
 
Hauwezi kufananisha mafuta ya mawese na mafuta ya viwandani.
Mkuu magonjwa mengi yanayopata watu sasa na matatizo mengi ni sababu ya kula vyakula visivyo na viwango, kunaweza kutokea contamination inayoweza kugharimu jamii nzima....

Narudia viwanda bubu sio sawa kabisa..., ila kusaidiwa ni jambo la muhimu, na kufuata sheria na taratibu ni muhimu pia.... When it comes to people's healthy tusi-cut corners
 
Nimeshangaa sana chapuo wanazopigiwa Mh. Bashe na Zito.

Juzi tu hapa kaskazini kule jamaa ana kiwanda bubu cha pombe kali (Kabrand ka Konyagi) wamemsweka ndani na kumuanika kwenye media kama haramia hatari kisa pombe.

Mbona hamjatoa tamko SIDO wamsaidie nae au tumpe share breweries apeleke ujuzi wake pale wa kuchakata kitu kikali?

Kiwanda bubu cha mawese its ok, unajua huyu asaidiwe apelekwe SIDO ana ujuzi sana na mjasiria mali mzuri na maneno mazuri kibao. Hii sio sawa kabisa ni DOUBLE STANDARD na sisi wanywaji tunataka viwanda bubu vinavyotunywesha vitetewa kwa nguvu zote kama hiki cha Mawese. HATUKUBALI KAMWE kama mbwai na iwe mbwai.

Tunakuomba Mhe. Dkt. Ashatu K. Kijaji uwasidie na wenye viwanda bubu vya Pombe kama Bashe alivyofanya.
Yaani wewe ni wa kuonewa huruma tu. Unalinganisha pombe na mawese, kweli?
 
Hayo mafuta ya mawese kwa watu wa bara wanatumia miaka na miaka na Wana afya nzuri kuliko watu wa dar.
Yaani kiufupi hauwezi kufananisha mafuta ya mawese na mafuta ya viwandani kwa ubora.
Ukishakufa ndio utafuata sheria
 
Hauwezi kufananisha mafuta ya mawese na mafuta ya viwandani.
Hata huko viwandani ni mafuta kama ya mawese wanayafanyia processing..., ukichuma kutoka kwenye mti ni tofauti na value addition ambayo kuna vitu wanaweka labda kuongeza shelf life, kuna packaging ambayo ikiwa kuna contamination inaweza kuleta madhara..., labda katika ukamuaji vyombo ni vichafu n.k.

Kwahio huyo bwana na processing plant yake (ni kiwanda) na sababu analisha watu ambao wana haki kama walaji..., basi anawajibu wa kuhakikisha kwamba product yake ni salama na sababu hatuwezi kuamini tu maneno yake akitwambia ni salama basi ni vema kama third party (mwenye viwango na vigezo vya kupima) pia ahusike..., unless anatengeneza kama organic ya kuwagawia marafiki zake, au raw material ya kwenda kuwa processed kabla ya kumfikia final consumer
 
Wanaingiza siasa kwenye mambo sensitive. Subiri utitiri wa viwanda vya bidhaa feki uanze, si watawasaidia wote tu.
ndio maana hii nchi haikui kiviwanda,!! fitina fitina,tujifunze ku appreciate ubunifu wenye tija kwa taifa!!, mtu kabuni kiwanda chake Cha kuchakata mafuta mnataka akamatwe na kushtakiwa.badala ya kusapoti mawazo yake!! kwa ujinga huu,mtaendelea kuwategemea China kwa kila Jambo,Hadi medula oblangata zenu zikae sawa!
 
Back
Top Bottom