macho_mdiliko
Platinum Member
- Mar 10, 2008
- 25,191
- 48,765
mrangi bangi ya skanka ndiyo bangi gani tena? Siyo hii hii inayouzwa mitaani?Hizo biskuti au kashata wadada mjini wanazipenda kweli kweli
Ova
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mrangi bangi ya skanka ndiyo bangi gani tena? Siyo hii hii inayouzwa mitaani?Hizo biskuti au kashata wadada mjini wanazipenda kweli kweli
Ova
Unataka kutumia au umeshaanza kutumia bangi?nazipataje hizo biscuit please naomba utaratibu. NB ni kwa ajili ya matumizi yangu binafsi
Hata pombe ilikuwa haramu kama bangi ila ikaruhusiwa miaka ya 1930s
Wazungu wametukuta na vilevi vyetu kwanini tufuate sheria zao za vilevi ?
Pombe na Sigara zinaua watu lakini zinaruhusiwa, bangi haijawai kuua na ni dawa ya kansa kwanini inakatazwa ?
Ndy wamejuwa leo mbona hizi kashata kitambo tu wadada wanakulaAisee...hali si hali kwakweli. Kongole kwa DCEA!
ULIDANGANYWAMbona nasikia ukivuta bange unaweza geuka mwehu? au uwongo?
Nina Mwana ( Rafiki ) hapo najua nae atakuwa Kakamatwa japo nilimuonya sana hakusikia.Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya imekamata kilogramu 423.54 za bangi iliyosindikwa maarufu kama skanka katika operesheni maalum zilizofanyika kwenye mipaka na fukwe za Bahari ya Hindi.
Kilogramu 158.54 zilikamatwa eneo la Kigamboni na Kawe jijini Dar es salaam zikiwa zimehifadhiwa ndani ya mabegi ya nguo tayari kwa kusafirishwa, kilogramu 265 zilikamatwa katika matukio tofauti mikoa ya nyanda za juu kusini zikiwa zimefichwa ndani ya magan kwa kuchanganywa na bidhaa nyingine ikiwemo maboksi yenye matunda aina ya apples zikisafirishwa kuelekea jijini Dar es salaam.
Aidha, Mamlaka imekamata watu wanaojihusisha na utengenezaji wa biskuti kwa kuchanganya na skanka katika eneo la Kawe jijini Dar es salaam. Katika tukio hilo, watuhumiwa walikutwa wakiendelea na uzalishaji wa biskuti hizo kwa kutumia mtambo mdogo wa kusaga skanka na vifaa vya kutengeneza biskuti za bangi.
Inalimwa kinamna nyingine au ni mbegu special? Kama ni mbegu huweza kupanda Bongo? Nashangaa kwa nini tutoe Swaziland wakati sisi tuna walimaji wengi tu. Msaada kwa yeyote mwenye kujua please...Ni bangi inayotoka Swaziland
Inalimwa huko,ina soko kubwa sana
Na ina watumiaji wengi sana
Ova
Ni kama pombe. Kuna watu inawakataa na kuna watu wanakunywa maisha yao yote. Mimi najua watu wengi wenye heshima na familia + ukwasi mzuri lakini ni wavutaji wa bangi na wanaishi maisha ya kawaida kabisa. Wana hekima na mtaani wanategemewa kwenye kutoa mawazo ya kujenga jamii.Mbona nasikia ukivuta bange unaweza geuka mwehu? au uwongo?
Kwa bongo ukipanda haitoki kama ya kule swazy, naona hali ya hewa huko inakubali...na wapandaji kule wanaipiga mpaka madawa nkInalimwa kinamna nyingine au ni mbegu special? Kama ni mbegu huweza kupanda Bongo? Nashangaa kwa nini tutoe Swaziland wakati sisi tuna walimaji wengi tu. Msaada kwa yeyote mwenye kujua please...
It's all about business bro,Hata pombe ilikuwa haramu kama bangi ila ikaruhusiwa miaka ya 1930s
Wazungu wametukuta na vilevi vyetu kwanini tufuate sheria zao za vilevi ?
Pombe na Sigara zinaua watu lakini zinaruhusiwa, bangi haijawai kuua na ni dawa ya kansa kwanini inakatazwa ?
Pesa yake tamu sana , yaan kazi kidogo pesa ndefuNina Mwana ( Rafiki ) hapo najua nae atakuwa Kakamatwa japo nilimuonya sana hakusikia.
Kwani ulikuwa huui?Korie nikitimoto hamsemi