Kiwanda cha furniture katikati ya makazi kwa Aziz Ally kinawaka moto

Kiwanda cha furniture katikati ya makazi kwa Aziz Ally kinawaka moto

mirindimo

JF-Expert Member
Joined
Nov 2, 2009
Posts
901
Reaction score
1,742


- Raia wamesimama nje bila msaada wakisubiri hatma na huruma ya moto.

Kuna haja ya kuondoa hivi viwanda vikubwa kwenye makazi.
  • Kue na point za zimamoto mahali ambapo kuna makazi ya raia ila hizi pointi ziwe na maji pia
  • Tuandae raia kuyakabili majanga kama moto , mafuriko n.k
UPDATE
Fire wamefika wanajitajidi kupambana nao
 
Ajitokeze mtu akaokoe..anaweza kuwa kama majaliwa!
 
Hakuna Shuja huko aokoe jahazi
Au watu mnachukua picha na video
Mpost

Ova
 
Huo moto ni sawa na umekutana na petroli kwenye hicho kiwanda
 
Dar es salaam haina tofauti na dampo LA taka,kila kitu hakina mpangilio.
 
Tatizo la Tanzania ni siasa.
Nyerere aliiharibu hii nchi, hakuwekeza katika maendeleo ya nchi miaka 50 ijayo.
Hakupangilia miji kabisa
 
Back
Top Bottom