Kiwanda cha kuchakata uongo dhidi ya Simba na mawakala wake, wapandieni dau wako sokoni wanajiuza

Kiwanda cha kuchakata uongo dhidi ya Simba na mawakala wake, wapandieni dau wako sokoni wanajiuza

njaakalihatari

JF-Expert Member
Joined
Feb 12, 2019
Posts
4,081
Reaction score
8,671
Mara mojamoja tu Simba warushieni vijisenti hawa ndalakyuya, wako sokoni wanajiuza hawana tofauti na wale viumbe wa corner bar mwenye dau kubwa ndiye watamuheshimu na kumnyenyekea, wengi wao hawajui hata taaluma ya uandishi ni kitu gani, hopeless creatures

Kwa sasa PESA ZA MWARABU ZINAWACHANGANYA KABISA I HOPE HAWAJAFIKIA HATUA ILEEE YA KUFANYA MICHEZO ILEE SABABU WAARABU HAWAJALI NI MWANAMKE AU MWANAUME

Kuna mmoja roho ilimuuuma sana kusikia Nabi inazushwa kwamba hatakuwepo kwenye benchi akasema ROHO MBAYA YA NINI? he mangi Priva wewe umekesha siku mbili unasambaza fake news kwamba Mgunda hana cheti.

hata radhi hukuomba ukaona sawa tu ila kwa mwarabu Nabi ni roho mbaya au ushanogewa na waarabu?

Halafu kuna siku unayasikia na mada zao za kinafiki. LEO TUJADILI HIVI MAKOCHA WA KIBONGO WANAKWAMA WAPI? kumbe wenyewe kutwa kuwasakama.

MA AGENTS.jpg
 
Mara mojamoja tu simba sc warushieni vijisenti hawa ndalakyuya, wako sokoni wanajiuza hawana tofauti na wale viumbe wa corner bar mwenye dau kubwa ndiye watamuheshimu na kumnyenyekea...
Huyo Priva nahisi ndo kanogewa kabisa na mwarabu, haoni hasikii!
 
Huyo Priva nahisi ndo kanogewa kabisa na mwarabu, haoni hasikii!
alinishangaza sana issue ya uvumi wa Nabi kutokuwepo kwenye benchi ilimuuma sana, siku alipoonekana kwenye benchi akatweet eti roho mbaya ya nini?

Damn, prick kabisa yeye kashinda siku mbili nzima anasambaza fake news ya Mgunda kutokukaa kwenye benchi.

Hawa ni kama machangu ya barabarani hayajiheshimu, hayaheshimiki, simba sc wayapandie dau washidane na mwarabu sasa.
 
Mara mojamoja tu simba sc warushieni vijisenti hawa ndalakyuya, wako sokoni wanajiuza hawana tofauti na wale viumbe wa corner bar mwenye dau kubwa ndiye watamuheshimu na kumnyenyekea....
Kuna Watatu katika Picha hapa nimewaona ila Mwarabu Tajiri anahusika nao mno kwa Mambo yasiyotakiwa hadi katika Vitabu vya Dini.
 
Kuna Watatu katika Picha hapa nimewaona ila Mwarabu Tajiri anahusika nao mno kwa Mambo yasiyotakiwa hadi katika Vitabu vya Dini.
sitashangaaa .....uvumi wa mwarabu NABi umewauma sana ila wa Mgunda ni sawa tu tena huku wakimkebehi juu, sababu hawa washaamua kujizima data na kutojiheshimu wapandiwe dau tu ili wawe wana balance katika kuchakata habari za uongo
 
Makolo sasa hivi mpo busy kusaka mchawi tu 🤠🤠🤠

Ebu dada yangu Makiwendo
kusaka mchawi tena? wakati wanajulikana?hao wako sokoni mwenye dau lake ndiye anayepanga FAKE NEWS gani irushwe hewani, wapandiwe dau hawa na simba sc, hakuna waandishi humo ni rubbish kabisa
 
Mara mojamoja tu simba sc warushieni vijisenti hawa ndalakyuya, wako sokoni wanajiuza hawana tofauti na wale viumbe wa corner bar mwenye dau kubwa ndiye watamuheshimu na kumnyenyekea, wengi wao hawajui hata taaluma ya uandishi ni kitu gani, hopeless creatures

Kwa sasa PESA ZA MWARABU ZINAWACHANGANYA KABISA I HOPE HAWAJAFIKIA HATUA ILEEE YA KUFANYA MICHEZO ILEE SABABU WAARABU HAWAJALI NI MWANAMKE AU MWANAUME

Kuna mmoja roho ilimuuuma sana kusikia Nabi inazushwa kwamba hatakuwepo kwenye benchi akasema ROHO MBAYA YA NINI? he mangi Priva wewe umekesha siku mbili unasambaza fake news kwamba Mgunda hana cheti

hata radhi hukuomba ukaona sawa tu ila kwa mwarabu Nabi ni roho mbaya au ushanogewa na waarabu?
Halafu kuna siku unayasikia na mada zao za kinafiki....LEO TUJADILI HIVI MAKOCHA WA KIBONGO WANAKWAMA WAPI? kumbe wenyewe kutwa kuwasakama


View attachment 2354168
Hao wote wana vimelea vya jinsia ya tatu, na wakiendelea na huu ushuzi wao tutawaumbua na matendo yao ya hovyo.

Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
 
sitashangaaa .....uvumi wa mwarabu NABi umewauma sana ila wa Mgunda ni sawa tu tena huku wakimkebehi juu, sababu hawa washaamua kujizima data na kutojiheshimu wapandiwe dau tu ili wawe wana balance katika kuchakata habari za uongo
Ndo Tafsiri ya Nyani Haoni Kundule
 
Back
Top Bottom