njaakalihatari
JF-Expert Member
- Feb 12, 2019
- 4,081
- 8,671
Mara mojamoja tu Simba warushieni vijisenti hawa ndalakyuya, wako sokoni wanajiuza hawana tofauti na wale viumbe wa corner bar mwenye dau kubwa ndiye watamuheshimu na kumnyenyekea, wengi wao hawajui hata taaluma ya uandishi ni kitu gani, hopeless creatures
Kwa sasa PESA ZA MWARABU ZINAWACHANGANYA KABISA I HOPE HAWAJAFIKIA HATUA ILEEE YA KUFANYA MICHEZO ILEE SABABU WAARABU HAWAJALI NI MWANAMKE AU MWANAUME
Kuna mmoja roho ilimuuuma sana kusikia Nabi inazushwa kwamba hatakuwepo kwenye benchi akasema ROHO MBAYA YA NINI? he mangi Priva wewe umekesha siku mbili unasambaza fake news kwamba Mgunda hana cheti.
hata radhi hukuomba ukaona sawa tu ila kwa mwarabu Nabi ni roho mbaya au ushanogewa na waarabu?
Halafu kuna siku unayasikia na mada zao za kinafiki. LEO TUJADILI HIVI MAKOCHA WA KIBONGO WANAKWAMA WAPI? kumbe wenyewe kutwa kuwasakama.
Kwa sasa PESA ZA MWARABU ZINAWACHANGANYA KABISA I HOPE HAWAJAFIKIA HATUA ILEEE YA KUFANYA MICHEZO ILEE SABABU WAARABU HAWAJALI NI MWANAMKE AU MWANAUME
Kuna mmoja roho ilimuuuma sana kusikia Nabi inazushwa kwamba hatakuwepo kwenye benchi akasema ROHO MBAYA YA NINI? he mangi Priva wewe umekesha siku mbili unasambaza fake news kwamba Mgunda hana cheti.
hata radhi hukuomba ukaona sawa tu ila kwa mwarabu Nabi ni roho mbaya au ushanogewa na waarabu?
Halafu kuna siku unayasikia na mada zao za kinafiki. LEO TUJADILI HIVI MAKOCHA WA KIBONGO WANAKWAMA WAPI? kumbe wenyewe kutwa kuwasakama.