#COVID19 Kiwanda cha kuzalisha barakoa milioni 86 kwa siku? Hizi 'exaggerations' zitatuua

#COVID19 Kiwanda cha kuzalisha barakoa milioni 86 kwa siku? Hizi 'exaggerations' zitatuua

Ugumu uko wapi kwani Beatrice?

Labda umesahau. Barakoa ni kitambaa tu. Unachohitaji ni hicho kipande kidogo tu cha kitambaa kama mali ghafi na cherehani. Ukipanga mafundi cherehani 100,000 nchi nzima na kila mmoja akazalisha barakoa 850 kwa siku hujapata hiyo idadi unayoishangaa?

Na mbona hata viwanda vya nguo viko kibao? Urafiki, Mwatex, Tabora Textile, Mutex nk nk

Ni Tanzania na the left over una export Uganda, Kenya, China na hata USA nk nk...!

1. No, it is real. It's possible kuzalisha kiwango hicho cha barakoa ukiamua...

2. Kwani ukichukua $100,000,000 ukazidisha na rate ya Tshs. 2300 kwa dola unapata shilingi ngapi wewe kama siyo 2.3trn...?

Kwa hili sijaona problem yoyote mimi. Labda kwa mengine naweza kukubaliana na wewe hasa la utetezi wake wa tozo za miamala ya simu...

Hilo serikali imechemka for a big time kwa sababu huwezi kutumia kigezo cha kujenga barabara vijijini kukamua wanyonge mpaka watoe damu badala ya maziwa..

Kigezo kuwa tumekuwa tukipiga kelele serikali kubuni vyanzo vipya vya kodi na kwa hiyo ubunifu wao ukaishia kwenye mifuko ya hawa masikini, basi there's a problem somewhere, somehow ndani ya serikali ktk kufikiri kwao...!
No.2.
Tuchukue;
100,000,000/- x 2300/-
Tunapata 230,000,000,000/=.
Hivi kwa kiswahili hiyo ndo 2.3t?
 
Huko shule mlienda kusomea ujinga? Wengine walienda kuondoa ujinga, wengine mkaenda kuusomea kabisa?

Ama kweli hesabu ugonjwa wa Taifa🤣, au ndo yale MAGAZIJUTO bado yanasumbua?
CCM yote anayejua hisabati ni Polepole unategemea nini kwa mtu anayekopa, anaongeza anakopa tena, anakwenda na 2 kichwani, akiisahau hiyo 2 huko kichwani ndo taabu inapoanza.
 
Jf kuna watu hua wanajifanya wajuaji kumbe kichwani wanamiliki kamasi.... umesikia hizo barakoa lazima ziuzwe ndani tuu? hairuhusiwi kuexport kwa majirani kama msiumbiji, malawi, zambia, burundi, congo drc, rwanda, uganda, kenya n.k? na je hujui kua barakoa ni disposable kwamba mtu anaweza kutumia zaidi ya moja kwa siku? Saa zingine muwe mnaacha akili ziwe huru kufikiri sio mnashikiwa akili na wafungwa!

Sent from my M2101K7AI using JamiiForums mobile app
 
Tuanzie hapa, mkuu umesema uwepo wa covid 19 tangu utambulike una miezi 3, pekee? Are you serious?
Not serious for sure,
Mtoa mada ameshindwa kuelewa kwamba huwezi kutumia barakoa moja kwa siku kama unatumia hasa hizi disposable.Pia akumbuke kwamba si lazima ulichokizalisha utumie mwenyewe vinginevyo akina mama lishe wasingepika chakula kingi maana hawawezi maliza.
 
Kwani Tanzania si tulikubaliana tumeitokomeza corona rasmi tangu Mei 2020 na tukaambiwa tuwe na siku ya kusherekea ushindi? Sasa kiwanda cha nini tena wakati hatukuwa na corona.
Uko kama fala
 
Taifa la watu milioni 60 ambalo wengi Ni watoto na hakuna dawa mahospitalini linawaza kuzalisha barakoa milioni 86 kwa siku ndani ya kiwanda kimoja, tunaelewana?

Kwanza napinga uzalishaji wa barakoa milion 86 haupo, lakini cha pili najiuliza lini hiki kiwanda kimejengwa maana tuna miezi mitatu tangu tukubali uwepo wa COVID-19 Duniani. Huyu mjenzi alikuwa ameshajenga?

Tatu, soko la mamilioni haya ya barakoa lipo wapi? Kila siku barakoa milioni 86 du Gerson Msigwa pls.

Press moja unazungumzia barakoa milioni 86 unrealistic lakini pia unatuamisha dola milioni mia moja ni sawa na trilioni 2.3 hesabu mlisoma wenyewe?

Mnajua mnazungumza na Dunia? Mnatufanya huko nje tuonekane watu wasiosoma na ndio maana tumetawaliwa kila Kona mchina ameweka himaya, huu Ni utumwa
Nimeona hii nikasema hili taifa halina watu wenye uwezo wa kufikiri sawasawa unaanzishaje kiwanda kikubwa hivyo kwa bidhaa ambaye mahitaji yake ni ya msimu?



Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
231,900,001,936.37 Hii ni Tillioni 2.3?
Hii Nchi imeharibu kizazi chake.
Ugumu uko wapi kwani Beatrice?

Labda umesahau. Barakoa ni kitambaa tu. Unachohitaji ni hicho kipande kidogo tu cha kitambaa kama mali ghafi na cherehani. Ukipanga mafundi cherehani 100,000 nchi nzima na kila mmoja akazalisha barakoa 850 kwa siku hujapata hiyo idadi unayoishangaa?

Na mbona hata viwanda vya nguo viko kibao? Urafiki, Mwatex, Tabora Textile, Mutex nk nk

Ni Tanzania na the left over una export Uganda, Kenya, China na hata USA nk nk...!

1. No, it is real. It's possible kuzalisha kiwango hicho cha barakoa ukiamua...

2. Kwani ukichukua $100,000,000 ukazidisha na rate ya Tshs. 2300 kwa dola unapata shilingi ngapi wewe kama siyo 2.3trn...?

Kwa hili sijaona problem yoyote mimi. Labda kwa mengine naweza kukubaliana na wewe hasa la utetezi wake wa tozo za miamala ya simu...

Hilo serikali imechemka for a big time kwa sababu huwezi kutumia kigezo cha kujenga barabara vijijini kukamua wanyonge mpaka watoe damu badala ya maziwa..

Kigezo kuwa tumekuwa tukipiga kelele serikali kubuni vyanzo vipya vya kodi na kwa hiyo ubunifu wao ukaishia kwenye mifuko ya hawa masikini, basi there's a problem somewhere, somehow ndani ya serikali ktk kufikiri kwao...!
 
Hii ni Serikali ya majizi na mafisadi yanayoiba trillions za walipa kodi kila mwaka na ripoti zote za CAGs zimethibitisha hivyo na hakuna yeyote yule anayewajibishwa. Mwaka huu CAG Kichere katishiwa kuuawa kwa kufanya kazi zake na kusema ukweli.

BB0DEA66-47E2-4121-9851-B94D2DC7FEEE.jpeg

Mimi kwa mtazamo wangu serikali ingetengeneza barakoa za vitambaa za rangi moja (nyeupe au bluu) kwenye viwanda vya nguo (khanga, Vitenge na vitambaa) ili hiyo million 600 ingetafutiwa matumizi mengine kama kununua vifaa tiba (microscope, centrifuge, suction machine etc) ambazo zingesaidia hospitali na zahanati zenye ukosefu wa vifaa tiba. Au wangeboresha wodi ya wamama wajawazito ambao wanakosa huduma nzuri pindi ifikapo siku ya kujifungua. Au wangeangalia mapungufu ambayo yapo kwenye sekta ya afya ambayo hicho kiasi cha hela kingetoshea kutatua hiyo changamoto.




Toa maoni yako kuhusu hili swala..
 
Huko shule mlienda kusomea ujinga? Wengine walienda kuondoa ujinga, wengine mkaenda kuusomea kabisa?

Ama kweli hesabu ugonjwa wa Taifa[emoji1787], au ndo yale MAGAZIJUTO bado yanasumbua?

ccm wanapenda namba ila hawajui hesabu[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Back
Top Bottom