Kiwanda cha miwa cha Mkulazi ni kilio kwa wananchi

Kiwanda cha miwa cha Mkulazi ni kilio kwa wananchi

Yaani ni hatari kabisa. Nakumbuka walihamasishwa mno mno na wakaitikia wito. Wafanye utaratibu hiyo miwa iuzwe kwa viwanda vingine itunusuru hao wakulima.
Kuna mkandarasi mmoja alikopa mafuta kituo fulani cha mafuta ili awalimie wakulima, since december last year mpaka leo hajalipwa pesa yake.
 
Wakuu kama hizo miwa haziuziki ni bora muingie mtaani muiuze pingili 100, mrudishe hata nusu ya hela yenu sa mtafanyaje kilicho baki ni miwa kukauka
 
Management ilisavunjwa ikawekwa nyingine, but up to know nothing is going on.
Menejimenti haisaidii chochote, kinachohitajika ni kiwanda kufanya kazi watu wapate pesa...

Hapo bila kumpa hiyo kazi mwekezaji, hakuna hela..hakuna mwekezaji atakayekurupuka coz hakuna maeneo makubwa ya bure ya kulima miwa, kwa hayo maeneo, mengi ni mashamba yana wenyeji, itamgharimu kununua maeneo!

Hawezi kutegemea mali ghafi ya miwa toka kwa outgrowers.

Wafugaji migogoro wanavyojua kuvamia mashamba ya miwa michanga, historically na kwa uzoefu, ngumu SANA kumshawishi hata ILOVO kuingia chaka.

Wakulima wa mjini, tulikataa mashamba yetu kulima miwa hadi kiwanda kiwe operational, tunaelewa uchumi wa kisiasa.
#koro_show

Everyday is Saturday........................... 😎
 
Wanasiasa hawana habari na maisha yenu nyinyi wanyonge.

Pambaneni na hali tu.
 
Yaani ni hatari kabisa. Nakumbuka walihamasishwa mno mno na wakaitikia wito. Wafanye utaratibu hiyo miwa iuzwe kwa viwanda vingine itunusuru hao wakulima.
Mashamba huwa yanapigwa moto, miwa kufyekwa na kupelekwa kiwandani, kuna time frame, la sivyo miwa inaharibika ikicheleweshwa kuwa processed.

Viwanda ni Turiani Mtibwa na Kilombero navyo havipo karibu ni mbali na vina miwa yao. Nafikiri pia kutahitajika makubaliano, ambayo yatachukua muda, mwaka huu miwa imeshamiri vizuri na mvua.

Hasara na POLE kwa wakulima! Na wastaafu ambao mafao yao yametumika ndivyo sivyo!

Everyday is Saturday......................... 😎
 
VIWANDA IGENI WENZENU HAPA SIYO UMBEA TU
MTU ANAKUJENGEA FLY OVER YA KUPIGIA PICHA BADALA KIWANDA UKAWE BIZE KIWANDANI 🤣 🤣 🤣


PIC.png
 
Na wanasema wao ni watetezi wa wanyonge.

Tatizo watz wengi wetu ni wajinga mno.

Tunasifia kitu hata hatujui madhara yake.

Nimekutana na mtu mmoja anamsifia Rais Magufuli.
"Rais huyu noma sana...ni kiboko....aendelee hivi hivi....hakuna kuongeza mshahara toka aingie madarakani.....tutaheshimiana tu."

Yeye ni mchuuzi anauza matunda sokoni.

Hapo hapo analalamika biashara mbaya sana.....watu hawanunui matunda.
 
Tatizo watz wengi wetu ni wajinga mno.

Tunasifia kitu hata hatujui madhara yake.

Nimekutana na mtu mmoja anamsifia Rais Magufuli.
"Rais huyu noma sana...ni kiboko....aendelee hivi hivi....hakuna kuongeza mshahara toka aingie madarakani.....tutaheshimiana tu."

Yeye ni mchuuzi anauza matunda sokoni.

Hapo hapo analalamika biashara mbaya sana.....watu hawanunui matunda.
Huyo kama ulitaka kununua matunda kwake unaahirisha,akikuuliza kwanini hununui mwambie nasubiri nyongeza ya mshahara itakapopatikana nitakuungisha matunda yako.
 
Ni kiwanda cha miwa au cha sukari. Nilidhani ni kilimo cha miwa ila kiwanda ni cha sukari.
 
Back
Top Bottom