Hawa ni wauzaji wanaoaminika.....site yao inaitwaje
mkuu, Alibaba wengi wanaweka display price, na wanaifanya iwe chini ili ikuvutie wewe kutembelea duka lao (ni sawa na kariakoo maduka ya ghorofani wanatangaza bidhaa bei ya chini, ila ukipanda unakuta bei tofauti, huna jinsi unajikuta unanunua tu au kuangalia bidhaa nyingine duka hilo).
mkuu hii ailibaba inauzwa $800,
hapa
Complete Production Line Bamboo Toothpick Making Machine Price - Buy Machine To Make Toothpicks,Automatic Bamboo Toothpick Making Machine,Bamboo Toothpick Making Machine Product on Alibaba.com
hii inatengeneza toothpicks kutoka kwenye miazi.
price $500 -5500
mkuu inaonekana waziri yuko sahihi, ni suala la kutafuta taarifa tu ndio shida.
Natamani atokee mtalaam wa manunuzi ya hivi vitu aje atolee ufafanuzi kama hizo price ni halisi.
Tembelea ukurasa wa facebook/instagram, jina ni: thebridgetz & thebridgegulio.Hawa ni wauzaji wanaoaminika.....site yao inaitwaje
Mkuu, hiyo bei ni pamoja na kila kitu? Yaani equipment, location na vitendea kazi vyote au?Nauza mashine 3 ya kiwanda cha alizeti.
1. Mashine ya kupepeta alizeti.
2. Mashine ya kukamua alizeti.
3. Mashine ya kuchuja mafuta ya alizeti.
Na vifungashio pamoja na labels. Brand niliyonayo ina TFDA.
Vyote kwa 9.5M
View attachment 631653 View attachment 631654
Sio yeye tu, hata mimi nilitaka na bado nataka sana tu. I hope my dream will one day come true. Nilishaandaa maandiko toka 2014, tatizo noti.
Binafsi ni muumini wa kilimo na Teknolojia. Najaribu kuwaza kiwanda gani naweza kununua au kutengeneza kwa gharama ya millioni nne za kitanzania angalau kije kufunguliwa na kiongozi wangu wa mtaa.
Kiwanda chochote cha kuongeza thamani bidhaa za shamba au asili.
Naamini hakuna ambacho kimewahi shindikana humu.
Msaada please.
bado mkuu.Mkuu ushapata kiwanda au bado ?
Labda cha kukamua juice ya miwaBinafsi ni muumini wa kilimo na Teknolojia. Najaribu kuwaza kiwanda gani naweza kununua au kutengeneza kwa gharama ya millioni nne za kitanzania angalau kije kufunguliwa na kiongozi wangu wa mtaa.
Kiwanda chochote cha kuongeza thamani bidhaa za shamba au asili.
Naamini hakuna ambacho kimewahi shindikana humu.
Msaada please.
Bet inalipaje ebu fafanua tuoneAnzisha Bet Tuuuu
Anzisha kiwanda cha kutengeneza juice ya miwa tuu
Kiwanda cha kuchuja mafuta ya alizeti kinahitaji zaidi ya milioni 10 Mkuu.Uko mkoa gani?
Unaweza kuanzisha kiwanda cha mafuta ya alizeti, karanga ufuta nk.
Tengeneza machinjio yako ndogo ya kisasa ya kuweza kuchinja ng'ombe watano tu kwa siku baada ya hapo utaendelea kupanua kiwanda chako
what an idea....safi hii mkuu ukikomaa nayo inakutoa anza taratibu ifanye iwe long term goalMimi Nina mpango wa kuanzisha mini-dairy nifanyr processing ya strictly goats milk... Maziwa ya Mbuzi yana advantages nyingi sana na Soko lake ni kubwa pia.. Nimeanza kwa kununua Shamba na kufanya breeding nipate mbegu nzuri sana.. Am still raising capital for purchasing machinery
baba mwenye nyumba ameshasema jenga halafu ndio taratibu zifuatweI am just worried, lazima kutakuwa na utaratibu mrefu sana wa aina hii ya kiwanda
baba mwenye nyumba ameshasema jenga halafu ndio taratibu zifuatwe
ukitaka biashara yenye utaratibu mfupi kwa Tanzania ni kilimo pekee, ila huko kwingine utakutana na tbs, tfda, osha nk nk nknkI am just worried, lazima kutakuwa na utaratibu mrefu sana wa aina hii ya kiwanda