Salaam wanabodi.....
Niende moja kwa moja kwenye Maada ya swali hili,Kiwanda kipya cha sigara Kingolwira Morogoro kilitoa nafasi za kazi tangu mwaka jana mwezi wa nane.
Pamoja na ukimya wote ule lakini juzi kapita mweshimiwa Rais Magufuli kuweka jiwe la msingi na kuruhusu rasmi kiwanda kufanya kazi ,katika hotuba ya Mwakilishi wa kiwanda alisema wametoa ajira 200 na tayari majina ya wahusika yamebandikwa!!!!
Sasa swali ni wapi haya majina yalipo? Kiwandani kule hakuna majina na hakuna taarifa yoyote ya wafanya kazi waliopo mle kuhusu majina hayo ya ajira mpya.
Najua humu wapo baadhi ya wahusika naomba mtupe ukweli hapa!!
Niende moja kwa moja kwenye Maada ya swali hili,Kiwanda kipya cha sigara Kingolwira Morogoro kilitoa nafasi za kazi tangu mwaka jana mwezi wa nane.
Pamoja na ukimya wote ule lakini juzi kapita mweshimiwa Rais Magufuli kuweka jiwe la msingi na kuruhusu rasmi kiwanda kufanya kazi ,katika hotuba ya Mwakilishi wa kiwanda alisema wametoa ajira 200 na tayari majina ya wahusika yamebandikwa!!!!
Sasa swali ni wapi haya majina yalipo? Kiwandani kule hakuna majina na hakuna taarifa yoyote ya wafanya kazi waliopo mle kuhusu majina hayo ya ajira mpya.
Najua humu wapo baadhi ya wahusika naomba mtupe ukweli hapa!!