Tetesi: Kiwanda kipya cha sigara,Kingorwila Morogoro ukweli ni upi?

Tetesi: Kiwanda kipya cha sigara,Kingorwila Morogoro ukweli ni upi?

Ninachojua mimi kiwanda kile wanachokiita MOIL ni cha PMI_Philip Moris Inc(Wamarekani)
Kilianza kufanyakazi mwaka wa jana kama mtakumbuka vizuri mbio za mwenge kiliweka jiwe la msingi na pia Prime Minister alishakitembelea na sigara zao nafikiri zimeingia sokoni (Marlborro)

Pale nilichojua mimi MOIL kama mtanzania ambaye ndio mbia wa kitanzania ndio anawafanyakazi hao 200.
kile kiwanda kimefungwa mitambo ya kisasa sana inaowezesha kuendeshwa na wafanyakazi wachache saaana kama tujuavyo zao la Tumbaku ni la msimu kwahiyo kitakuwa na wafanyakazi wachache waajiriwa na watakaobaki wa msimu kama wenzao wa Alliance One ambao wanawaajiri wachache wasiozidi 400,
waliobaki zaidi ya 2100 wa msimu kutokana na zao lenyewe.

Najua kwa sasa kiwanda kina wafanyakazi wasiofika 90 lakini wanalipwa vizuri saana kutokana na wateja walengwa
na wamelenga soka la Africa kwa ujumla.
Waajiriwa wengi ni watanzania ,wizara ya mambo ya ndani kwa sasa ipo makini saana na work permit kulinda soko la ajira kwa wazalendo


Wadau wanaojua zaidi watakuja kufafanua zaidi.
umeeleza vizuri sana, Philip morris au kwa kifupi "PMI" ndio mnunuzi mkubwa wa tumbaku inayozalishwa Tanzania chini ya Alliance one na Tltc(30mil kg, kwa makadirio),
alliance one na tltc wana viwanda vikubwa sana hapo morogoro lakini hawatengenezi final product Bali wanafanya processing then inasafirishwa nje ya nchi kwa ajili ya kutengenezwa final product, sasa kitendo cha wao kuja kufungua kiwanda ambacho kinatengeneza final product hapahapa nchini ni jambo kubwa sana na la kimaslahi kwa taifa.
kwa kuweka kumbukumbu sawa kiwanda cha sigara cha TCC kinamilikiwa na JTI na JTi sio mnunuzi mkubwa sana wa tumbaku Tanzania ukilinganisha na Philip morris, hvyo hicho kiwanda kitakuwa kikubwa sana chenye tija!
[HASHTAG]#uvutaji[/HASHTAG] wa sigara ni hatari kwa afya yako#
 
umeeleza vizuri sana, Philip morris au kwa kifupi "PMI" ndio mnunuzi mkubwa wa tumbaku inayozalishwa Tanzania chini ya Alliance one na Tltc(30mil kg, kwa makadirio),
alliance one na tltc wana viwanda vikubwa sana hapo morogoro lakini hawatengenezi final product Bali wanafanya processing then inasafirishwa nje ya nchi kwa ajili ya kutengenezwa final product, sasa kitendo cha wao kuja kufungua kiwanda ambacho kinatengeneza final product hapahapa nchini ni jambo kubwa sana na la kimaslahi kwa taifa.
kwa kuweka kumbukumbu sawa kiwanda cha sigara cha TCC kinamilikiwa na JTI na JTi sio mnunuzi mkubwa sana wa tumbaku Tanzania ukilinganisha na Philip morris, hvyo hicho kiwanda kitakuwa kikubwa sana chenye tija!
[HASHTAG]#uvutaji[/HASHTAG] wa sigara ni hatari kwa afya yako#
Sasa Mkuu ajira tunazipataje haswa sie tusiokuwa na watu tunaowajua humo ndani? Maana kipindi hiki kila kitu mpaka ujuane na mtu
 
Sasa Mkuu ajira tunazipataje haswa sie tusiokuwa na watu tunaowajua humo ndani? Maana kipindi hiki kila kitu mpaka ujuane na mtu
ajira walitangaza na mfano wa ajira waliyotanganza ilikuwa ya marketing kama ntakuwa sijakosea! ila ingia kwenye website yao.
note;
Philip morris ni kampuni kubwa sana duniani, yaani sana , hvyo unapoomba kazi hakikisha umeandika vizuri CV na barua yako. ukipata kazi huko, utakuwa umeula na umaskini utauskia kwa jirani
 
Na nyie wapinzani wa bongo tuelezeni vision yenu sio kila siku kukosoa kila kitu..hapo ndio naona upinzani uchwara wa bongo ni seti tupu hamna kitu mnarukia matukio. Hovyoo kabisa.
 
Ukiona kimya ujue jina lakp halikuchaguliwa usitafute sababu ya kutoona majina akaunganisha na mambo mengine
 
uongozi huu ili uende nao sawa we danganya ili kumfurahisha mkuu .
 
Ukiona kimya ujue jina lakp halikuchaguliwa usitafute sababu ya kutoona majina akaunganisha na mambo mengine
Mkuu hakuna kweli inawezekana walioomba wote wakawa hawana sifa? Au ni mda bado tu wa kuwaita
 
umeeleza vizuri sana, Philip morris au kwa kifupi "PMI" ndio mnunuzi mkubwa wa tumbaku inayozalishwa Tanzania chini ya Alliance one na Tltc(30mil kg, kwa makadirio),
alliance one na tltc wana viwanda vikubwa sana hapo morogoro lakini hawatengenezi final product Bali wanafanya processing then inasafirishwa nje ya nchi kwa ajili ya kutengenezwa final product, sasa kitendo cha wao kuja kufungua kiwanda ambacho kinatengeneza final product hapahapa nchini ni jambo kubwa sana na la kimaslahi kwa taifa.
kwa kuweka kumbukumbu sawa kiwanda cha sigara cha TCC kinamilikiwa na JTI na JTi sio mnunuzi mkubwa sana wa tumbaku Tanzania ukilinganisha na Philip morris, hvyo hicho kiwanda kitakuwa kikubwa sana chenye tija!
[HASHTAG]#uvutaji[/HASHTAG] wa sigara ni hatari kwa afya yako#
Promo at work
 
ajira walitangaza na mfano wa ajira waliyotanganza ilikuwa ya marketing kama ntakuwa sijakosea! ila ingia kwenye website yao.
note;
Philip morris ni kampuni kubwa sana duniani, yaani sana , hvyo unapoomba kazi hakikisha umeandika vizuri CV na barua yako. ukipata kazi huko, utakuwa umeula na umaskini utauskia kwa jirani
Mkuu naweza kukufata pm? Naona kama unanigonga kichwani nikisoma comments zako! Sory lakini kama utakwazika.
 
ajira walitangaza na mfano wa ajira waliyotanganza ilikuwa ya marketing kama ntakuwa sijakosea! ila ingia kwenye website yao.
note;
Philip morris ni kampuni kubwa sana duniani, yaani sana , hvyo unapoomba kazi hakikisha umeandika vizuri CV na barua yako. ukipata kazi huko, utakuwa umeula na umaskini utauskia kwa jirani
Natamani sana nipige kazi za tumbaku mkuu,nimeizoea tumbaku tangu kwenye makaratasi,nursery, field,,kuvuna,kuikausha,kuipaki,kuigrade,na kuipaki direct kwenye maboxt kwa mda wa miaka mitatu! Niko eddicted haswa na hili zao nalipenda japo sipendi kulitumia
 
Nina viwanda vingi sana vilikuwa havijazinduliwa..
1. Cha maandazi na kashata
2. Cha Bisi
3. Cha kushona viatu

Kesho tunazindua hapa Kilwa, karibuni wote
 
Natamani sana nipige kazi za tumbaku mkuu,nimeizoea tumbaku tangu kwenye makaratasi,nursery, field,,kuvuna,kuikausha,kuipaki,kuigrade,na kuipaki direct kwenye maboxt kwa mda wa miaka mitatu! Niko eddicted haswa na hili zao nalipenda japo sipendi kulitumia
ulikuwa unafanyia wapi kazi? mkoa gani na kampuni gani?
 
Nchi za dunia ya kwanza wanafunga viwanda vya sigara na bidhaa za tumbaku ndio maana huoni vkiruhusiwa kujitangaza.
Sasa hawa wauwaji wameamua kuhamishia sumu zao Shithole countries.
Ntajie kiwanda kilichofungwa
 
Na nyie wapinzani wa bongo tuelezeni vision yenu sio kila siku kukosoa kila kitu..hapo ndio naona upinzani uchwara wa bongo ni seti tupu hamna kitu mnarukia matukio. Hovyoo kabisa.
Huyo jamaa hapo chini ana mwenzie anaitwa salary slip kazi yao ni kupinga chochote kila cha serikali.
uongozi huu ili uende nao sawa we danganya ili kumfurahisha mkuu .
 
Salaam wanabodi.....
Niende moja kwa moja kwenye Maada ya swali hili,Kiwanda kipya cha sigara Kingolwira Morogoro kilitoa nafasi za kazi tangu mwaka jana mwezi wa nane.

Pamoja na ukimya wote ule lakini juzi kapita mweshimiwa Rais Magufuli kuweka jiwe la msingi na kuruhusu rasmi kiwanda kufanya kazi ,katika hotuba ya Mwakilishi wa kiwanda alisema wametoa ajira 200 na tayari majina ya wahusika yamebandikwa!!!!

Sasa swali ni wapi haya majina yalipo? Kiwandani kule hakuna majina na hakuna taarifa yoyote ya wafanya kazi waliopo mle kuhusu majina hayo ya ajira mpya.

Najua humu wapo baadhi ya wahusika naomba mtupe ukweli hapa!!
Waongo hao PMI.
 
Back
Top Bottom