upendodaima
JF-Expert Member
- May 23, 2013
- 4,078
- 4,504
Mh,uko serious?Natamani sana nipige kazi za tumbaku mkuu,nimeizoea tumbaku tangu kwenye makaratasi,nursery, field,,kuvuna,kuikausha,kuipaki,kuigrade,na kuipaki direct kwenye maboxt kwa mda wa miaka mitatu! Niko eddicted haswa na hili zao nalipenda japo sipendi kulitumia
Labda anataka tuuze tumbaku ufipa pale Kinondoni.Tumbaku yetu tutauza wapi?
Sidhani kama ni promo,hii kampuni ni kubwa sana duniani mkuu na wana vigezo na masharti mengi sana mpaka wakubali kununua tumbaku yako ww kama kampuni inayonunua kutoka kwa mkulima huko field na kuprocess.Promo at work
Mbona huko duniani watu wanazindua viwanda vya kutengeneza makombora?Badala ya viwanda vya kusidika vyakula,,, tunazindua kiwanda cha kutengeneza vifo(ciggarete),, duuu
Nchi za dunia ya kwanza wanafunga viwanda vya sigara na kuzindua karakana za missiles.Nchi za dunia ya kwanza wanafunga viwanda vya sigara na bidhaa za tumbaku ndio maana huoni vkiruhusiwa kujitangaza.
Sasa hawa wauwaji wameamua kuhamishia sumu zao Shithole countries.
In kiwanda cha Marboral! au kingine? Kama ni hiki nakumbuka kilizinduliwa! Na sigara zake ziko mitaani.Salaam wanabodi.....
Niende moja kwa moja kwenye Maada ya swali hili,Kiwanda kipya cha sigara Kingolwira Morogoro kilitoa nafasi za kazi tangu mwaka jana mwezi wa nane.
Pamoja na ukimya wote ule lakini juzi kapita mweshimiwa Rais Magufuli kuweka jiwe la msingi na kuruhusu rasmi kiwanda kufanya kazi ,katika hotuba ya Mwakilishi wa kiwanda alisema wametoa ajira 200 na tayari majina ya wahusika yamebandikwa!!!!
Sasa swali ni wapi haya majina yalipo? Kiwandani kule hakuna majina na hakuna taarifa yoyote ya wafanya kazi waliopo mle kuhusu majina hayo ya ajira mpya.
Najua humu wapo baadhi ya wahusika naomba mtupe ukweli hapa!!
viwanda vingi wanaume ndo wanaofanya kazii kuliko wanawakee, sema mpaka upate mtu akuanganishieeAjila kwenye kiwanda iko zimekuwa kitendawili bila lushwa ya ela ama ngono kwenye kiwanda hiko aupati ajila unaonga laki mshaala 150 raisi bado yupo tuu kiki kila siku anafungaua viwanda bila kujali kusimamia miongozo ya ajila na shelia za kazi pinfi wawepo kazini
Wameishika biashara wapi?labda nchi nyingine ila sio Tanzania?na hapo ulipoandika JTI na TCC ni kama kuandika ITV na IPP kama washindani au watengeneza bidhaa tofautiSidhani kama ni promo,hii kampuni ni kubwa sana duniani mkuu na wana vigezo na masharti mengi sana mpaka wakubali kununua tumbaku yako ww kama kampuni inayonunua kutoka kwa mkulima huko field na kuprocess.
Hawa jamaa hawahitaji promo maana wameishika hii biashara sana na ni kama wanaamua bei wenyewe..ila ishu ya ajira 200 sidhani kama ni sawa coz jamaa hawapo field kama Alliance One,TLTC,Premium Active na JTI sasa hao watu 200 wapo wapi?hzo ajira za marketing hapo majuzi hazikuzidi 6 na ni baadhi tu ya mikoa ambako wameanza kusambaza hizo brands zao sana sana mikoa ya kaskazini Moshi na Arusha..
PMI,JTI,BAT,KT&G,CT hawa ni giants.
Kuna barabara ya Dodoma Iringa iliishajengwa tokea 2016 sehemu ya kuzindulia uwanja pale iringa imeota miti mikubwa nadhani anasubiriwa mheshimiwa aje aifungue 2019. Saizi kuna walinzi wanalinda ule uwanja ng"ombe wasiingie kula majani. Mwezi uliopita Mama Samia alienda kuweka jiwe la msingi la utalii pembeni kidogo ya huo uwanja anasubiriwa JPM kuja kufungua. Najiuliza ile siku aliyokuja makamu wa Raisi kwa nn asingeunganisha na ufunguzi wa Barabara? Mama Samia nae kaja kuweka jiwe la msingi pori tu usanii kibao eti kitakua kitovu cha utalii. Nimegundua hii ni serikali ya kiki sana
Mkuu kama haupo kwenye hii industry kaa tu kimya itapendeza zaidi.Kuhusu JTI na TCC najua sana na ndio maana nimeandika kimoja na si vyote kwa mpigo.Wameishika biashara wapi?labda nchi nyingine ila sio Tanzania?na hapo ulipoandika JTI na TCC ni kama kuandika ITV na IPP kama washindani au watengeneza bidhaa tofauti
Haihitaji kuwa kwenye Industry mkuu kujua kwamba TCC ina market share ya 97%sasa hao wengine unasemaje wameshika soko!unatumia vigezo gani kujua mtu hayupo kwenye hiyo "industry"?Mkuu kama haupo kwenye hii industry kaa tu kimya itapendeza zaidi.Kuhusu JTI na TCC najua sana na ndio maana nimeandika kimoja na si vyote kwa mpigo.
Lete ManenoMkuu kama haupo kwenye hii industry kaa tu kimya itapendeza zaidi.Kuhusu JTI na TCC najua sana na ndio maana nimeandika kimoja na si vyote kwa mpigo.