Kiwango cha elimu cha Maulid Kitenge?

Hivi nyie watu humu kila mtu maarufu huko Daslamu ni shoga??? Acheni kuupromote ndo maana vijana wanaharibikiwa wanadhani ndo njia ya kwenda ulaya
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wanavyopendaa slope sasa, acha wafunguliwe kizibo. Lol
 
Ukionaa hivyo ujue hana wasi wasi, anajua anacho kifanyaaa.
 
Hyo Jux si alikuwa anakula mzungu WA hotel fulani (Mwanaume) na ndio chanzo cha kutemwa na mpare.
Jux na wenzake michezo Yao ni Ile Ile Wana kakundi Chao tena mmoja wao ni mjukuu WA babu yetu WA heshima. Sina ulinzi ngoja niishie hapa
Hahahaha! Unamzungumzia Edu. Nyenyere?! Kumbe yule dogo mpuuzi vile?! Hahaha! Nafahamiana nae... kanajifanyaga kana busara alafu smart kinoma kumbe anakula Mapelo?! Hahaha! Yaan wale kwao wote kama wana Laana fulani hivi 😅🙌🏾


Na juc alikuwa alikuwa anambandua muhindi sio mzungu... michezo hiyo wahindi wanayo sana!

Nikupe kituko kimoja... siku moja niko maeneo nikakutana na pisi kali sana ya kihindi nikaanza ujogoo nitupe jiwe yule manzi akawa ananielewa kwa sababu nilianza kusema nae kwa eye-contact.. naona kanalegea baadae akaja karibu yangu nikasema "yesss!... nishashinda" nikasalimiana nae nikaanza sound na kuomba mawasiliano mrembo hakusita akanichana direct kwamba yeye ni Lesbian. Nilichoka 😅🙌🏾


Washkaji wakaniambia siku hizi warembo wengi sana wanashiriki hayo maswala... the same applies to male, wengi machoko na michicha miba.
 
Unaweza ukawa zero darasani lakini maisha ya mtaani ukatoboa na ukaishi maisha bora kuliko hata mwenye madegree
Mafanikio na utajiri ni vitu viwili tofauti vyenye kushabihiana. Hii inataka somo la kufundishana na kuelekezana kwa muda mrefu kidogo... ila elewa hivyo.

Kila kimojawapo kina siri na mbinu zake... usilolijua ni sawa na usiku wa giza. Maisha si rahisi hivyo kama wanavyowaaminisheni vijana huko mitandaoni na hawa mablazameni na masistaduu wa kizazi kipya.


#TAFAKARI
 
Mimi nina jamaa zangu wengi hawajasoma, lakinii leo hii wanapesa na wengine wameajiri wenye degree zao. Kwahiyo kusoma sio kutajirika bali kutoa ujinga na sio kustaarabika. Kuna wasomi lakini wengi wao ustaarabu ni ZERO.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ni mzungu bhanaaa, Jux kaachwa na Vee alikuta text zake na yule wa kisiwani,

Pia Jux na Vee walisha wahi share kwa bwana m1 ambaye ni mzee wa Mjengoni, ilikua 2017 had waliachana na kuombana radhi hadharan Fiesta Dar,. Ambapoo Moro alikataliwaa.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Jux anacheza rolle zote.

Hatareeeee tupuuuu.
 
Yeah huyo huyo mjukuu WA babu yetu. Huyo alifumaniwa na demu kabisa(sijui mkewe) . Wako sitting room na jamaa mmoja hivi maarufu maana aliwaacha wakicheza haya fifa games saa 2 fulani usiku. Dada WA watu kuamka saa 6 hamuoni jamaa bed si ndio akajisogeza sitting room anawakuta wanakulana mate. Ilikuwa kesi kubwa... Sema ikaisha kimya kimya ndio demu nae akawa analiwa na huyu Jamaa anaekti movies sijui huba mwanamuziki anayeimba Fasta fasta........na ni msela WA mjukuu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila huyu mjukuu sijui alianza lini haya MAmbo alikuwa frsh tu. Tume Cheza nae sana soka mtaani mwenge.
 
Yule jamaa aliyeanza kumiliki TOYO akiwa na miaka 11?
 
Wabongo noma sana. Pamoja na yote, msisahau kumpa mshkaji maua yake akiwa hai. Nadhani anastahili heshima ya kuleta mapinduzi kwenye vipindi vya michezo. Alitisha sana kipindi cha michezo Radio One enzi hizo, kidogo wengine tushawishike kuwa watangazaji kwa sababu yake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…