Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Afu sio mara ya kwanza, mbna ishakua kawaida yake.Clip yake akimvua mtu nguo za jeshi ilikuwa inamaanusha nini?
Tunaweza kuiona clip hiyo mkuuClip yake akimvua mtu nguo za jeshi ilikuwa inamaanusha nini?
So jamaa ni AfisaAfu sio mara ya kwanza, mbna ishakua kawaida yake.
Alipotea kipindi fulani, tulikua nae US, camp Fort Meade, mambo ya intelligence, five years🤷🏼♂️Namfahamu toka akisoma Mnazi Mmoja Primary School 1992
Kahitimu Form Four tu
Ana Cerificate ya uandishi wa habari
Hivi magomeni wapo wengi napo nilijua watu wa unga?Sasa hili nalo jipyaa mjini?
Nani hajui khanga ni mwanaume wa Magomeni?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Intelligence gwanyoko hakuna kitu kama hichoAlipotea kipindi fulani, tulikua nae US, camp Fort Meade, mambo ya intelligence, five years🤷🏼♂️
Duhh! Dunia ina mambo 😂🙌🏾Dimpoz ana pedeshee uturuki na Dubai ya wapiii?
Ni mke halali wa Gavana Joho, usitake kuharibu ndoa za watu? Wametoka mbali? Muachee dimpoz atulie, amepitia mengi jaman khaaaaah.
Yuko pale GSM sababu Gavana ni rafik mkubwa wa Salaah. Na Ghraib. Ko shem anasaidia majukumu baadhi anayo yamudu.
Khaaaaah
Yeye na mwenzie "Mwanahamisi mangi... a.k.a Bi. Jazeni!" Ndo naona ni gays wenye mafanikio kidogo ila yote yataishia hapahapa duniani tu 😔Ni yeye na ame haso kweli, gays wangapi wanauza kiziboo hata bajaji hawamilikiii. Why yeye??
Ameolewaaaa yulee hana boifwend, kaa kwa kutuliaaa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Yule janja janja tuu na ka elimu kidogo ka uandishi habari basi sema utangazaji wa mpira na uchambuzi ndio unambeba
Jana nimemsikia kwenye kipindi anaboronga kutamka hata civics hawezi[emoji38]
🤔 IkawajeAccording to people jamaa katoroka zizini?
Kuhusu elimu sijui hila jamaa ni mwanaume wa dar tena konkodi kuna kipindi tulikuwa tuna wasiliana akadhindwa ficha mapungufu yake
Huyu muache tu dada.... Inaumiza sana moyo. Sijui hili janga litaisha lini. Huyu mwache.....tusiseme mengi.Hivi nyie watu humu kila mtu maarufu huko Daslamu ni shoga??? Acheni kuupromote ndo maana vijana wanaharibikiwa wanadhani ndo njia ya kwenda ulaya
Anataka ku-expose au kuweka wazi au bayana kwa umma na dunia kwamba wajue yeye ni agent wa serikali kitu ambacho ni kosa kubwa sana! Wanamstahi tu iko siku itamgharimu.Clip yake akimvua mtu nguo za jeshi ilikuwa inamaanusha nini?
Kitamkuta kitu siku moja 😊Afu sio mara ya kwanza, mbna ishakua kawaida yake.
Huo ni uongo! Kambi za U.T zinafanyikaga hapahapa nyumbani bongo kusikojulikana!Alipotea kipindi fulani, tulikua nae US, camp Fort Meade, mambo ya intelligence, five years🤷🏼♂️
Anakuwa na mkalimani pembeni ambaye huwa mwenyeji wake, sio lazima kila unakoenda utaweza kuongea lugha yao,jiulize ukienda China,Japani,Ujerumani,Uholanzi na kwingineko utaongeaje lugha ya kwao? lazima uwe na mwenyeji anayejua hizo lugha bwashee,kwani wewe hujawahi kusafiri nje ya nchi? hata hapo Ethiopia mkuu.Akifika Marekani anaongea lugha gani?