Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha dharau kwenye imani za watu choko wewe,, endeleeni kumjadili mwanaume mwenzenu huku yake yanamuendea , wakati nyie wenye masters bado mpo na makaratasi yenu mnazunguka nayo.Surrat~Zubaa
Akifika Marekani anaongea lugha gani?
Punguza hasira mkuuAcha dharau kwenye imani za watu choko wewe,, endeleeni kumjadili mwanaume mwenzenu huku yake yanamuendea , wakati nyie wenye masters bado mpo na makaratasi yenu mnazunguka nayo.
Sasa hili nalo jipyaa mjini?According to people jamaa katoroka zizini?
Kuhusu elimu sijui hila jamaa ni mwanaume wa dar tena konkodi kuna kipindi tulikuwa tuna wasiliana akadhindwa ficha mapungufu yake
Kwa hapa US kuna vidonge unapewa unakunywa, kizungu kinaflow chenyewe tu.Akifika Marekani anaongea lugha gani?
1992 ndo anasoma Mnazi Mmoja primary school?Namfahamu toka akisoma Mnazi Mmoja Primary School 1992
Kahitimu Form Four tu
Ana Cerificate ya uandishi wa habari
Ndio alimaliza darasa la saba1992 ndo anasoma Mnazi Mmoja primary school?
Kumbe soon anaitwa babuNamfahamu toka akisoma Mnazi Mmoja Primary School 1992
Kahitimu Form Four tu
Ana Cerificate ya uandishi wa habari
Ndio alimaliza darasa la saba
Kwamba jamaa ni gasho?Sasa hili nalo jipyaa mjini?
Nani hajui khanga ni mwanaume wa Magomeni?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Muulize kwenye mtandao wake...Mwenye kujua kiwango cha juu kabisa cha Elimu ya Mtangazaji Nguli Maulid Mbaraka Kitenge atujuze.
NB: Hapa usitaje elimu ya dini, nazungumzia elimu hii ya dunia.
Sasa hili nalo jipyaa mjini?
Nani hajui khanga ni mwanaume wa Magomeni?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sio wote....Ndio msion watu kila siku wanaenda marekani dubai uturuki wana jambo lao
Sio wote....
Mkuu Kitenge sio mmoja wao...Ndio hila wengi wao wanaenda kutumikia mihogo inayo wapa insurance ya kuishi bongo
Usimchukulie poa yule hakoso 43+Kumbe soon anaitwa babu
Kwamba jamaa ni gasho?