Kiwango cha elimu cha Maulid Kitenge?

Kama mimi ninavyolisha mumeo?
Unaleta kinyeo mbele ya wanaume, Tutapita nacho dada. Kakitulize nyumbani kwa matumizi ya bwana wako.
kapembue mchele muda ndio huu mumeo ashibe akishindilie vizuri kinyeo uchoke ukose muda wa kuja kupitisha kinyeo hapa JF.
 
Kama nilivyokupitia jana umesahau?
Unaleta kinyeo mbele ya wanaume, Tutapita nacho dada. Kakitulize nyumbani kwa matumizi ya bwana wako.
kapembue mchele muda ndio huu mumeo ashibe akishindilie vizuri kinyeo uchoke ukose muda wa kuja kupitisha kinyeo hapa JF
 
Mkuu unamjua mpk Hans Macha !!!
 
Namfahamu toka akisoma Mnazi Mmoja Primary School 1992

Kahitimu Form Four tu
Ana Cerificate ya uandishi wa habari
Duh kumbe Elimu yake ndogo sana, angejiendeleza Sasa hivi anagalau angekuwa na B.A yake safi kabisa anyway kama anapata hela Kwa elimu yake Ile ile ya certificate safi tu,
 
Ebana mwanangu sana hebu nipe udaku PM... ni nani huyo analiwa tope?! πŸ˜ƒ
 
Mkimalizana na hili mtuambie na Ommy Dimpoz ana elimu gani?! Au ile Division foo yake ya twenty something kutoka Mbezi ice-cool ndo ilimpa kazi GSM?! Au ndo πŸ˜‹πŸ€€

πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ‘πŸΎ
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…