Vhagar
JF-Expert Member
- Jun 8, 2015
- 20,550
- 39,949
Nani kakwambia sina hela..?Wivu unakusumbua tafuta hela usije ukawa shoga
Punguza makasiriko dada. naweza kukulisha ww na dada zako na mambwana zenu maisha yenu yote.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nani kakwambia sina hela..?Wivu unakusumbua tafuta hela usije ukawa shoga
Wivu utakuua soon utakuwa shogaDada imekuaje tena?
Hela ya nyoko?Nani kakwambia sina hela..?
Punguza makasiriko dada. naweza kukulisha ww na dada zako na mabwana zenu maisha yenu yote.Hela ya nyoko?
Kama mimi ninavyolisha mumeo?Punguza makasiriko dada. naweza kukulisha ww na dada zako na mabwana zenu maisha yenu yote.
Unaleta kinyeo mbele ya wanaume, Tutapita nacho dada. Kakitulize nyumbani kwa matumizi ya bwana wako.Kama mimi ninavyolisha mumeo?
basi lala upumzike,tutazungumza kesho sawa yakhe,usisahau kupiga pasi ule msuli wangu na baghalashia yangu sawa yakhe.
Unaleta kinyeo mbele ya wanaume, Tutapita nacho dada. Kakitulize nyumbani kwa matumizi ya bwana wako.
kapembue mchele muda ndio huu mumeo ashibe akishindilie vizuri kinyeo uchoke ukose muda wa kuja kupitisha kinyeo hapa JF
Mkuu unamjua mpk Hans Macha !!!Hapana kusema ana vijihela na maanisha ana hela ndogo tu za kawaida, kwasabbau wenye pesa nyingi wapo na wanafahamika akina Bakhresa, Abood, Hans Macha, Davis Mosha, Ally Awadh, Fida Hussein, Rostam, GSM, Mo Dewji n.k. Yeye ni sahihi kusema ana vijihela kwasababu ni muajiriwa na pengine ana biadhara zake ndogondogo.
Namfahamu toka akisoma Mnazi Mmoja Primary School 1992
Kahitimu Form Four tu
Ana Cerificate ya uandishi wa habari
Ndio alimaliza darasa la saba
Duh kumbe Elimu yake ndogo sana, angejiendeleza Sasa hivi anagalau angekuwa na B.A yake safi kabisa anyway kama anapata hela Kwa elimu yake Ile ile ya certificate safi tu,Namfahamu toka akisoma Mnazi Mmoja Primary School 1992
Kahitimu Form Four tu
Ana Cerificate ya uandishi wa habari
Si haba!! hiyo ni bora zaidi..Amehifadhi juzuu 4
Yule sio mchambuzi yule ni mtangazaji wachambuzi ni akina AmbangileYule janja janja tuu na ka elimu kidogo ka uandishi habari basi sema utangazaji wa mpira na uchambuzi ndio unambeba
Jana nimemsikia kwenye kipindi anaboronga kutamka hata civics hawezi[emoji38]
Mtoto wa mjini yule,hakuna mwanafunzi aliyesomea mnazi moja miaka ile ambaye hana connectionDuh kumbe Elimu yake ndogo sana, angejiendeleza Sasa hivi anagalau angekuwa na B.A yake safi kabisa anyway kama anapata hela Kwa elimu yake Ile ile ya certificate safi tu,
Ebana mwanangu sana hebu nipe udaku PM... ni nani huyo analiwa tope?! 😃Unauliza jibu upo dsm lakini umejichimbia bunyokwa tembea na wengine ukikutana nao huwezi kuamini utaishi kwa hofu ni wakubwa sana
Kuna tukio moja nilishuhudia mlimani pale sijawai msimulia mtu maana nahisi kama nafwatiliwa ni jamaa mtu mkubwa sana hapa tz na ana heshima kubwa sana niishie hapo
Ebana mwanangu sana hebu nipe udaku PM... ni nani huyo analiwa tope?! [emoji2]
We akili hunaga una haki ya kuwa BlockedKaniblock Twitter