Kiwango cha makato ya mikopo ya elimu ya juu kinakiuka sheria ya marejesho

Kiwango cha makato ya mikopo ya elimu ya juu kinakiuka sheria ya marejesho

Status
Not open for further replies.

JamiiTalks

JF Advocacy Team
Joined
Aug 7, 2018
Posts
685
Reaction score
1,124
0001-19518679390_20210409_103330_0000.png


Ripoti ya CAG ya Mwaka 2019/20 imejibu kilio cha wanufaika wengi wa Mikopo ya Elimu ya Juu kupitia (HESLB)

Ripoti imebaini makato hayo ni makubwa sana na yanavunja Sheria ya Marejesho
 
Upvote 0
Mwamba alikuwa anaikanyaga katiba...Vilivo..... Transparency haikuwepo... Na hii ni hatari... Niliyokuwa nikiiona... Madudu ni mengi sana.... Na yalikuwa yanafichwa
 
Mwamba alikuwa anaikanyaga katiba...Vilivo..... Transparency haikuwepo... Na hii ni hatari... Niliyokuwa nikiiona... Madudu ni mengi sana.... Na yalikuwa yanafichwa
Tatizo alikuwa haambiliki
 
Niliwahi kusema na jamaa zangu miaka kama mi3 hivi imepita kwamba mwamba akija kumaliza madaraka ndipo tutjua inchi ilipigwaje
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom