Kiwango cha Sukari unachotakiwa kutumia kwa Siku kulingana na Umri

Kiwango cha Sukari unachotakiwa kutumia kwa Siku kulingana na Umri

Leo mpaka saiv nishapiga soda tatu achilia mbali ile maziwa ya asubuhi!
 
Nakunywa soda kila siku tangu nimeanza kujitambua. Ningekuwa nishakufa sasa hivi.
Elewa neno uwezekano, kuna mtu anavuta sigara mpaka na miaka 95, mwingine anavuta moja au mbili anaparalaizi. Kinachofundishwa ni ili ujihami, na hapo ujue wanajitutumua tu kuweka wazi wanajua tusipoumwa biashara hazitafanyika, kimsingi kwa mwanaume hata hivyo tisa ni vingi.
 
Back
Top Bottom