Kiwango cha Viongozi kutowasikiliza Wananchi kiko juu kwa Tanzania kuliko Kenya

Kiwango cha Viongozi kutowasikiliza Wananchi kiko juu kwa Tanzania kuliko Kenya

BLACK MOVEMENT

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2020
Posts
4,548
Reaction score
11,901
Ni basi tu Wakenya wamepinda kama Wazulu wa South Affruca ila unapo kuja kuangalia kiwango cha Viongozi kuwasikiliza wananchi, basi Kenya kuna unafuu ukilinganisha na Tanzania, shida iko tu kwamba Tanzania ni mazeseta basi.

Viongozi wamejawa sana na Viburi na Dharau sana n kebehi, nakumbuka Mwigulu aliwahi waambia watu wahamie Burundi, ile statment huwezi itoa kwa raia wanao jitambua wataliamusha mbaya sana, Watanzania hata ukiwambia geukeni watageuka.

Angalia Kariakoo jana, Mkuu wa Mkoa anaenda na ukuu wake na anaongea kwa kebehi na wajinga wakakaa kweli kumsikiliza, ingekuwa ni Pale Nairobi kwa sasa tungekuwa tumekalia majamvi.

Viongozi wana Dharau sana, na Viburi juu yake, na usiombe sasa ukutane na Wakuu wa wilaya na Mikoa hao dharau na viburi walivyo navyo sio vya levo hii. Hawa ni kama Mungu kabisa wa Duniani.

Tushukuru tu ndivyo tulivyo umbwa na ukilema wa ujinga.
 
Wakenya asilimia kubwa Wana elimu huku kwetu ni tofauti CCM inatumia kigezo Cha elimu kuendelea kuwafanya watanzania watakacho, wanatoa elimu mbovu ili waendelee kututawala na kutufanya mazombi.
 
Uko sahihi .
Watu ambao wataleta machafuko Tanzania ni hawa wanasiasa. Tujipe muda Tu Kwanza bunge lifutwe halina tija kabisa. Wanaotuongoza majimboni hawana elimu unategemea waboreshe mfumo WA elimu nchini?
 
Ukitaka mfano wa maisha ya peponi yakoje kuwa kiongozi Tanzania
 
Umesahau wapi Wachawi wanaokuwangia ufilisike?!

Bongo nuksi.
Bongo waoga na wanafiki mfano mkiwa mnapanda lift mpo ground floor akatokea mtu akabonyeza lift kuelekea M ama first floor mijitu itakaa kimya tu ile mhusika anashuka yanaanza kuropoka kwa kujiamini eti watu wavivu floor ya kwanza unapanda lift kwa nini usipande ngazi wakati mhusika alipo kuwepo yalikuwa kimya kama vifaranga vilivyonyeshewa mvua.

Njoo kwenye mwendokasi mijitu inajifanya inajua kuongea ila kutake action ni sifuri hii nchi Ina usengerema sana
 
Ni basi tu Wakenya wamepinda kama Wazulu wa South Affruca ila unapo kuja kuangalia kiwango cha Viongozi kuwasikiliza wananchi, basi Kenya kuna unafuu ukilinganisha na Tanzania, shida iko tu kwamba Tanzania ni mazeseta basi.

Viongozi wamejawa sana na Viburi na Dharau sana n kebehi, nakumbuka Mwigulu aliwahi waambia watu wahamie Burundi, ile statment huwezi itoa kwa raia wanao jitambua wataliamusha mbaya sana, Watanzania hata ukiwambia geukeni watageuka.

Angalia Kariakoo jana, Mkuu wa Mkoa anaenda na ukuu wake na anaongea kwa kebehi na wajinga wakakaa kweli kumsikiliza, ingekuwa ni Pale Nairobi kwa sasa tungekuwa tumekalia majamvi.

Viongozi wana Dharau sana, na Viburi juu yake, na usiombe sasa ukutane na Wakuu wa wilaya na Mikoa hao dharau na viburi walivyo navyo sio vya levo hii. Hawa ni kama Mungu kabisa wa Duniani.

Tushukuru tu ndivyo tulivyo umbwa na ukilema wa ujinga.
Tuliandaliwa kuto kuhoji now it is too late
 
Siasa za Ujamaa na kujitegemea zimetulemaza tuliaminishwa kuwa hata kufikiri tusifikiri tumuachie Mwenyekiti wa CCM yeye ndie afikirie na sisi tukabakishwa kama Mazombi tukabakia tunapayuka "...zidumu fikra za Mwalimu Nyerere ZIDUMUU!!!..."
 
Back
Top Bottom