Conquistador
JF-Expert Member
- Jun 10, 2024
- 1,435
- 3,463
Viongozi wengi wa Tanzania wameiba pesa nyingi Sana na Sasa wamekua matajiri wakubwa wenye mabiashara ya petrol station, mabasi ya mikoani, timu za mpira, kampuni za kubeti na nyumba za kupangisha .
Sasa tajiri hawezi kumsikiliza MTU anayedhani Hana pesa.
Kwanza ana ona wanànchi Kama wananuka kinyesi kwa umaskini walio nao.
Sasa tajiri hawezi kumsikiliza MTU anayedhani Hana pesa.
Kwanza ana ona wanànchi Kama wananuka kinyesi kwa umaskini walio nao.