Edward wa kwetu
New Member
- Apr 17, 2022
- 1
- 1
Wataalam naomba mchango wenu wa mawazo.
Hivi kiwanja chenye ukubwa wa futi 40 kwa futi 50 kinaweza kutosha kujenga nyumba ya vyumba vitatu sebule public toilet na jiko.
Naomba mwenye uzoefu anisaidie hili
Maelezo haya yanajitoshelezaHicho n sawa na meter 12 kwa 15 ambapo n sawa na 180 square meter, kinaweza kutosha kama utajenga nyumba yenye vyumba vya ukubwa wa kawaida tu sio vile vikubwa sana ila tu hutopata sehem hata ya parking ya gari kwa ukubwa huo, na unatakiwa upangilie vizur position ya kuiweka nyumba ili upate sehem hata ya kuchimba shimo la choo.
NB:: usipende kununua kiwanja kikiwa kimepimwa kwa vipimo vya futi kama huna ujuzi mzuri wa kudeal na namba za vipimo, kipimo cha futi kinawachanganya sana wengi unaweza kuona kama umepata kiwanja kikubwa sana kumbe n cha kawaida tu.
Utajenga lakini hata pakuchimba choo hupatiWataalam naomba mchango wenu wa mawazo.
Hivi kiwanja chenye ukubwa wa futi 40 kwa futi 50 kinaweza kutosha kujenga nyumba ya vyumba vitatu sebule public toilet na jiko.
Naomba mwenye uzoefu anisaidie hili
Umemaliza kula kituHicho n sawa na meter 12 kwa 15 ambapo n sawa na 180 square meter, kinaweza kutosha kama utajenga nyumba yenye vyumba vya ukubwa wa kawaida tu sio vile vikubwa sana ila tu hutopata sehem hata ya parking ya gari kwa ukubwa huo, na unatakiwa upangilie vizur position ya kuiweka nyumba ili upate sehem hata ya kuchimba shimo la choo.
NB:: usipende kununua kiwanja kikiwa kimepimwa kwa vipimo vya futi kama huna ujuzi mzuri wa kudeal na namba za vipimo, kipimo cha futi kinawachanganya sana wengi unaweza kuona kama umepata kiwanja kikubwa sana kumbe n cha kawaida tu.
Mkuu kama alivyoreply RWANTANG, hapo unatoa nyumba nzuri ya wastani yenye kila kitu, parking gari yako na wife, banda la kuku na kasehemu kakuchezea watoto. Ndio itakua imejibana lkn sio kiivyo. Naishi kwny nyumba kiwanja mita 9x14 sawa na futi 30 kwa 47 Ina izo facilities zote nilizozitaja except ina vyumba 2. KaribuWataalam naomba mchango wenu wa mawazo.
Hivi kiwanja chenye ukubwa wa futi 40 kwa futi 50 kinaweza kutosha kujenga nyumba ya vyumba vitatu sebule public toilet na jiko.
Naomba mwenye uzoefu anisaidie hili
Bila shaka kiwanja kipo chamazi au vikindu mana ndo wanapima kwa futi. Ovyo kabisa!Wataalam naomba mchango wenu wa mawazo.
Hivi kiwanja chenye ukubwa wa futi 40 kwa futi 50 kinaweza kutosha kujenga nyumba ya vyumba vitatu sebule public toilet na jiko.
Naomba mwenye uzoefu anisaidie hili
Siku ukifa tutaagia kanisani hakuna hata sehemu ya kuweka jeneza lako wala kufunga turubai la msibaMkuu kama alivyoreply RWANTANG, hapo unatoa nyumba nzuri ya wastani yenye kila kitu, parking gari yako na wife, banda la kuku na kasehemu kakuchezea watoto. Ndio itakua imejibana lkn sio kiivyo. Naishi kwny nyumba kiwanja mita 9x14 sawa na futi 30 kwa 47 Ina izo facilities zote nilizozitaja except ina vyumba 2. Karibu
π π πSiku ukifa tutaagia kanisani hakuna hata sehemu ya kuweka jeneza lako wala kufunga turubai la msiba