Kiwanja cha Jay Dee kupigwa mnada baada ya kushindwa kulipa deni la mkopo

Sio nyumba wadau ni kiwanja uko kinondoni.

Musician Lady Jaydee aka Komando Jide, her plot in Kinondoni is up for auction by EFC Tanzania Limited. Darcity center tried to find Lady Jaydee's Manager to confirm if it was true regarding the rumuours.

Hata mm nimesoma hapo ni Plot na sio nyumba kama mleta izi alivyosema
 
Apo jide atakuja na jibu kila mtu atabaki mdomo wazi yule mwanamke kama mwanaume yani haogipi na ana akili zake"strong girl japo mkurupukaji sometmz. Hawez kubali kulose kuna kitu kinaendelea
 
Dah kazi ipo pole yao

Jana kwenye instagram yake aliandika maneno ya uchungu sana, akaweka angalizo kabisa kuwa hayo aloyaandika leo sio fix za instagram bali ni reality. Am sure jide anapitia magumu sana.
 
Pwa! Ha! Ha! Ha! Ha! Ha!

Komandoooooo

Pwa! Ha! Ha! Ha! Ha! Ha!

:becky::becky::becky::becky::becky::becky::becky::becky::becky::becky::becky::becky::becky::becky::becky::becky::becky::becky::becky::becky::becky::becky::becky::becky::becky::becky::becky::becky::becky::becky:

Wale wapenzi wake wako wapi waje waokoe jahaza?

Pwa! Ha! Ha! Ha! Ha! Ha! Ha!

Team Anakonda:biggrin::biggrin::biggrin::biggrin::biggrin::biggrin::biggrin::biggrin::biggrin::biggrin::biggrin::biggrin::biggrin::biggrin::biggrin::biggrin::biggrin::biggrin:.
 
vipi Ruge hajahusika this time???!!

Hihihihihihihhiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii

Ruge [and Clouds Media Group for that matter] are always the scapegoats.

Always get blamed for the misfortune of others.

So my sneaking suspicion is, it's just a matter of time before Ruge and Co. start getting blamed for this foreclosure [or whatever it is].
 

Cc. warumi
 
Last edited by a moderator:

Mbona kama umefurahia hiyo habariii
 
Jana kwenye instagram yake aliandika maneno ya uchungu sana, akaweka angalizo kabisa kuwa hayo aloyaandika leo sio fix za instagram bali ni reality. Am sure jide anapitia magumu sana.

Ilikua kuhusu nini???

Maana alishaniblokua komando
 
sh ngapi?
 
Wabongo bwana eti Jide wa kukosa hiyo pesa dada yupo choka mbaya zaidi wameuza kiwanja chao cha tegeta na sasa watauza nyumba yao ya kimara zote mbili zilitumika kama collateral kwa ajili ya biashara ya nyumbani lounge
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…