Kiwanja cha Jay Dee kupigwa mnada baada ya kushindwa kulipa deni la mkopo

Kiwanja cha Jay Dee kupigwa mnada baada ya kushindwa kulipa deni la mkopo

Sio nyumba wadau ni kiwanja uko kinondoni.

Musician Lady Jaydee aka Komando Jide, her plot in Kinondoni is up for auction by EFC Tanzania Limited. Darcity center tried to find Lady Jaydee's Manager to confirm if it was true regarding the rumuours.

Hata mm nimesoma hapo ni Plot na sio nyumba kama mleta izi alivyosema
 
Apo jide atakuja na jibu kila mtu atabaki mdomo wazi yule mwanamke kama mwanaume yani haogipi na ana akili zake"strong girl japo mkurupukaji sometmz. Hawez kubali kulose kuna kitu kinaendelea
 
Dah kazi ipo pole yao

Jana kwenye instagram yake aliandika maneno ya uchungu sana, akaweka angalizo kabisa kuwa hayo aloyaandika leo sio fix za instagram bali ni reality. Am sure jide anapitia magumu sana.
 
Pwa! Ha! Ha! Ha! Ha! Ha!

Komandoooooo

Pwa! Ha! Ha! Ha! Ha! Ha!

:becky::becky::becky::becky::becky::becky::becky::becky::becky::becky::becky::becky::becky::becky::becky::becky::becky::becky::becky::becky::becky::becky::becky::becky::becky::becky::becky::becky::becky::becky:

Wale wapenzi wake wako wapi waje waokoe jahaza?

Pwa! Ha! Ha! Ha! Ha! Ha! Ha!

Team Anakonda:biggrin::biggrin::biggrin::biggrin::biggrin::biggrin::biggrin::biggrin::biggrin::biggrin::biggrin::biggrin::biggrin::biggrin::biggrin::biggrin::biggrin::biggrin:.
 
vipi Ruge hajahusika this time???!!

Hihihihihihihhiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii

Ruge [and Clouds Media Group for that matter] are always the scapegoats.

Always get blamed for the misfortune of others.

So my sneaking suspicion is, it's just a matter of time before Ruge and Co. start getting blamed for this foreclosure [or whatever it is].
 
Pwa! Ha! Ha! Ha! Ha! Ha!

Komandoooooo

Pwa! Ha! Ha! Ha! Ha! Ha!

:becky::becky::becky::becky::becky::becky::becky::becky::becky::becky::becky::becky::becky::becky::becky::becky::becky::becky::becky::becky::becky::becky::becky::becky::becky::becky::becky::becky::becky::becky:

Wale wapenzi wake wako wapi waje waokoe jahaza?

Pwa! Ha! Ha! Ha! Ha! Ha! Ha!

Team Anakonda:biggrin::biggrin::biggrin::biggrin::biggrin::biggrin::biggrin::biggrin::biggrin::biggrin::biggrin::biggrin::biggrin::biggrin::biggrin::biggrin::biggrin::biggrin:.

Cc. warumi
 
Last edited by a moderator:
Pwa! Ha! Ha! Ha! Ha! Ha!

Komandoooooo

Pwa! Ha! Ha! Ha! Ha! Ha!

:becky::becky::becky::becky::becky::becky::becky::becky::becky::becky::becky::becky::becky::becky::becky::becky::becky::becky::becky::becky::becky::becky::becky::becky::becky::becky::becky::becky::becky::becky:

Wale wapenzi wake wako wapi waje waokoe jahaza?

Pwa! Ha! Ha! Ha! Ha! Ha! Ha!

Team Anakonda:biggrin::biggrin::biggrin::biggrin::biggrin::biggrin::biggrin::biggrin::biggrin::biggrin::biggrin::biggrin::biggrin::biggrin::biggrin::biggrin::biggrin::biggrin:.

Mbona kama umefurahia hiyo habariii
 
Jana kwenye instagram yake aliandika maneno ya uchungu sana, akaweka angalizo kabisa kuwa hayo aloyaandika leo sio fix za instagram bali ni reality. Am sure jide anapitia magumu sana.

Ilikua kuhusu nini???

Maana alishaniblokua komando
 

Attachments

  • 1436018424675.jpg
    1436018424675.jpg
    53 KB · Views: 1,192
jaman mjini akili ulilemaa wenzako wanasogea!jide sio mzito kiasi hicho mchezo huo wajanja wachache wanajua.hiyo michezoinachezwa sana hapa mjini hasa na couple zilizovunjika.jiulize mara mbili jide ni wakukosa hiyo hela.ahaaa wakuja ndo watahadaika ila michezo kama hiyo tushaiona mara kibao.
sh ngapi?
 
Wabongo bwana eti Jide wa kukosa hiyo pesa dada yupo choka mbaya zaidi wameuza kiwanja chao cha tegeta na sasa watauza nyumba yao ya kimara zote mbili zilitumika kama collateral kwa ajili ya biashara ya nyumbani lounge
 
Back
Top Bottom