BADILI TABIA
JF-Expert Member
- Jun 13, 2011
- 32,767
- 23,198
Nimepita tena
Nimepita tena
kuna tetesi gadna yuko nyuma ya mchezo mzima iki kumkomesha,anawastua wote wanaomdai walianzishe mpaka JD ashindwe ku concentrate na muziki,hata hivyo jide hana mtoto,anamuandalia urithi nani?Wabongo bwana eti Jide wa kukosa hiyo pesa dada yupo choka mbaya zaidi wameuza kiwanja chao cha tegeta na sasa watauza nyumba yao ya kimara zote mbili zilitumika kama collateral kwa ajili ya biashara ya nyumbani lounge
Kwani hiyo ndio mali pekee walio chuma?
kuna tetesi gadna yuko nyuma ya mchezo mzima iki kumkomesha,anawastua wote wanaomdai walianzishe mpaka JD ashindwe ku concentrate na muziki,hata hivyo jide hana mtoto,anamuandalia urithi nani?
Teh Teh huyu mdada ni kiburi sijawai ona kabisa...
Nahisi kuna kukomoana na ex wake.....
Inawezekana hizo ni moja ya mali walizochuma pamoja...
Hivyo anaziacha ziende in style
na bado nyumbani lounge wanamdai kimya kimya,wakichoka wanalilipua gazetini,anaweza kutembea kwa mguu mwaka huu
Pwa! Ha! Ha! Ha! Ha! Ha!
Komandoooooo
Pwa! Ha! Ha! Ha! Ha! Ha!
:becky::becky::becky::becky::becky::becky::becky::becky::becky::becky::becky::becky::becky::becky::becky::becky::becky::becky::becky::becky::becky::becky::becky::becky::becky::becky::becky::becky::becky::becky:
Wale wapenzi wake wako wapi waje waokoe jahaza?
Pwa! Ha! Ha! Ha! Ha! Ha! Ha!
Team Anakonda:biggrin::biggrin::biggrin::biggrin::biggrin::biggrin::biggrin::biggrin::biggrin::biggrin::biggrin::biggrin::biggrin::biggrin::biggrin::biggrin::biggrin::biggrin:.
Hivi kwa kiburi alicho nacho Jide unafikiri ange hitaji msaada wa mtu! Kuna wanawake wana viburi lakini huyu dada ni kiboko!
mizee mingine hamnazo kabisa kichwani, hata iishi pepon,
what z ur p with dis lady?
Ha ha ha ha mmh le finger
Inashangaza sana aiseeee..!!
Vidume vizima na vindevu vyao vinafurahia kushuka kwa Lafy Jd.! Huu kama si upunguani ni nini? Mliomba penzi akawadiss? Au mmechangia nini kwa mafanikio yake? Kwanini mfurahie kushuka kwa mtu? Kushuka kwenyewe ni kuuzwa kwa kiwanja ndiko kunawakenusha meno hapa? Kuna Mijitu humu ndani ni mijuha sana..!! Hivi mtu akifirisika wewe unapata nini? Maana kama akipata mafanikio waweza kuomba msaada, sasa akifirisika wewe unashangilia, faida gani unayoipata.....!! Mwacheni Komando na maisha yake jamani, inawahusu nini nyie vidume na midushee inayosimama? Au imelala..!!
Jiwe Kizani ukisikaa mayooo..Limekupata!
BACK TANGANYIKA