asanteelimu2016
JF-Expert Member
- Sep 23, 2016
- 235
- 127
Nakuhakikishia sio mnunuaji na yeye ni dalali anatafuta mteja.Bado kipo mkuu. karibu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nakuhakikishia sio mnunuaji na yeye ni dalali anatafuta mteja.Bado kipo mkuu. karibu
Duh mkuu nikuondoe was was hcho kiwanja ni Mali yangu angalia vizuri hzo picha zinajieleza kabisaNakuhakikishia sio mnunuaji na yeye ni dalali anatafuta mteja.
Kama hujauza mkuu ntakisubiri mvua zikianza nijiridhishe vizuriHaya haya wikiendi ndo hyo kesho jumapili , ukifika chanika mwisho utapelekwa kukiona kiwanja bure kabisa, changamka upate kiwanja kwa bei ya jioni
Poa poa karibu sanaKama hujauza mkuu ntakisubiri mvua zikianza nijiridhishe vizuri
Mkuu bado kipoEneo: Chanika mwisho mtaa wa zogoali kwa wambili.
Bei: Tsh. 950,000/=
Umeme Upo na maji visima vipo karibu
Ukubwa : mita 13/13 au miguu 18 kwa 18
Hakuna Dalalii
Piga namba 0627864823
Huduma za kijamii kama shule na zahanati zipo karibu.
View attachment 1502678View attachment 1502682View attachment 1502683View attachment 1502685View attachment 1502686View attachment 1502687View attachment 1502688View attachment 1502689View attachment 1502698
Hauna kingineEneo: Chanika mwisho mtaa wa zogoali kwa wambili.
Bei: Tsh. 950,000/=
Umeme Upo na maji visima vipo karibu
Ukubwa : mita 13/13 au miguu 18 kwa 18
Hakuna Dalalii
Piga namba 0627864823
Huduma za kijamii kama shule na zahanati zipo karibu.
View attachment 1502678View attachment 1502682View attachment 1502683View attachment 1502685View attachment 1502686View attachment 1502687View attachment 1502688View attachment 1502689View attachment 1502698
Yap mkuu bado kipoMkuu bado kipo
Chukua mzigo fasta kwa 5000 per square metre. Maana nikiiangalia kwa ramani ni mpakani kabisa na Pwani halafu mwendo mrefu. Huko kiwanja hakizidi hiyo bei. Ukiwa tayari ni PMKiwanja sas kipo kwenye bei ya ofa ya Tsh. 950,000/= tu karibuni sana