Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inategemea na ukubwa wa banda mkuu kuna mabanda ya kuku yanaweza kuchukua hata heka mbili13x13 labda banda la kuku ndio utajenga ,ukiwa na angalau 20x 20 nistue
Swali zuri sana mkuu, sema nakushauri maswali mengine kama haya uwe una jaribu kuiuliza Google, kuwa nautamaduni huo Google haishindwi kirahisiYaani nitoke bunju hadi chanika kuja kununua kiwanja cha kujenga choo mita 13/13?.
Halafu nyumba nitajenga wwpi?
Dah mtetezi wangu yu hai 😀 😀 😀 😀13/13 chanika mwisho kwa hiyo bei, ni nzuri,unaweza toa servant cotter na frem kadhaa hapo,wengi hamjamiliki viwanja,viwanja vingi vya mjini ni 15/15,unayoona maghorofa yameota
Akukujibu nitag, namlipa hata keshoBado kipo hiki kiwanja?
Last Seen yake oct 9 sijui kama kitakuwepo hiki sina uhakika maana hili lilikua ni zaidi ya dodo.Akukujibu nitag, namlipa hata kesho