KIWANJA CHA NDEGE CHATO FANYENI CHUO CHA URUBANI LA SIVO MTAKUWA MMEPOTEZA PESA ZA WANANCHI

KIWANJA CHA NDEGE CHATO FANYENI CHUO CHA URUBANI LA SIVO MTAKUWA MMEPOTEZA PESA ZA WANANCHI

Kaka yake shetani

JF-Expert Member
Joined
Feb 1, 2023
Posts
5,771
Reaction score
14,732
Naumia sana na hii nchi yangu japo na mimi nipo hapa nikisubiri mabadiliko.ila najiuliza kwa nini kile kiwanja cha chato ambacho kinaweza kutua ndege za kila aina kikatelekezwa tu.

Kwa nini serikali isitafute wabia toka nje kuja kukifanya kiwe shule ya urubani ili kuendeleza uchumi.mbona mnaweza kutafuta mikopo.

geografia ya chato ni nzuri kwa pale na ndio itakuwa kitovu kwa afrika mashariki kama chuo kikiwekwa pale kuliko kung'angania uwanja wa JK kufundishia.
 
Hata wakiweka kambi ya Jeshi la Anga napo itakuwa vizuri tu,ila chuo cha urubani ni wazo zuri sana,au kwa kuwa NIT wanatoa kozi ya urubani,sasa huko Chato waweke Campus ya kozi ya urubani
 
Hata wakiweka kambi ya Jeshi la Anga napo itakuwa vizuri tu,ila chuo cha urubani ni wazo zuri sana,au kwa kuwa NIT wanatoa kozi ya urubani,sasa huko Chato waweke Campus ya kozi ya urubani
NIT HAWANA KIWANJA NI BORA KUPELEKA HUKO HIYO KOZI
 
Tatizo uwanja huo ukiendelezwa na mafanikio yakapatikana, Joni atasifiwa, na itaonekana alikuwa na njozi bora ya maendeleo.

Mamluki wa Kuala Lumpa hawataki kabisa kusikia hizo maneno.
 
Mnatengeneza marubani bila ndege sio? Au tutengeneze rubani wengi kwa ajili ya emirates sio?
 
Tatizo uwanja huo ukiendelezwa na mafanikio yakapatikana, Joni atasifiwa, na itaonekana alikuwa na njozi bora ya maendeleo.

Mamluki wa Kuala Lumpa hawataki kabisa kusikia hizo habari.
Strategically ili ile miradi ya chato iwe na faida waunde mkoa mpya.
 
Wapewe NIT waendeshee kozi ya urubani. Kama ikishindikana pawekwe kambi ya anga ya JWTZ. Panazidi kufubaa tu tutakuja kushtuka ni hasara
 
Naumia sana na hii nchi yangu japo na mimi nipo hapa nikisubiri mabadiliko.ila najiuliza kwa nini kile kiwanja cha chato ambacho kinaweza kutua ndege za kila aina kikatelekezwa tu.

Kwa nini serikali isitafute wabia toka nje kuja kukifanya kiwe shule ya urubani ili kuendeleza uchumi.mbona mnaweza kutafuta mikopo.

geografia ya chato ni nzuri kwa pale na ndio itakuwa kitovu kwa afrika mashariki kama chuo kikiwekwa pale kuliko kung'angania uwanja wa JK kufundishia.
Halafu hicho kiwanja huwa hakiwekwi pichani
 
Back
Top Bottom