Parrot_2024
Member
- Dec 16, 2017
- 63
- 28
Habari zenu,
Kiwanja kinahtajika Tanga mjini isizid 1.5 - 2M. Mwenye nacho anisaidie.
Asanteni
Kiwanja kinahtajika Tanga mjini isizid 1.5 - 2M. Mwenye nacho anisaidie.
Asanteni
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yategemea unmbie iko wap na ukubwa ganUtakubaliana na sq utakazo pewa?
size? mjini sehemi gani? kwa 2M labda 20x15 mtrsHabari zenu,
Kiwanja kinahtajika Tanga mjini isizid 1.5 - 2M. Mwenye nacho anisaidie.
Asanteni
Viko wapi hivi nikiwa na 6m napata 60m kwa 45m nahitajisize? mjini sehemi gani? kwa 2M labda 20x15 mtrs
Utapata 60x15Viko wapi hivi nikiwa na 6m napata 60m kwa 45m nahitaji
Sure mkuu haiwezekani city centre ukutane na plot ya chini ya 500mBasi tanga sio JIJI....kama mjini kati kuna kiwanja cha 1.5 au 2 million
unaumwa niniHabari zenu,
Kiwanja kinahtajika Tanga mjini isizid 1.5 - 2M. Mwenye nacho anisaidie.
Asanteni
Bado kuna mikoa city center unapata kiwanja milioni 70mil yaani within town kama singida, Ila Tanga hupati.... simiyu na katavi hii mikoa mipya.Sure mkuu haiwezekani city centre ukutane na plot ya chini ya 500m
Sq 680 kiko KANGE kina hati safi TSH MIL 9LViko wapi hivi nikiwa na 6m napata 60m kwa 45m nahitaji